Mume wangu anapenda tu kifo cha mende

Mume wangu anapenda tu kifo cha mende

Mfundishe na kifo cha chura wa snura, atabadilika tu. BTW, kwani hakufikishi kunako au unapenda mastyle ya kuvunjwa kiuno, mbavu, na uti wa mgongo?
 
Hayo ya kwangu na babu wangu kazi anaiweza!!

Wa kwake hawezi!ningekua mie hicho kifo cha cockroach angejutaaa!

Sisemi kokote tunaenda hvyo hvyo!mwanzo mwenga!
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Unasema tuuuu.....
Ungekinaii faster....kila Siku ugali na mchunga doh
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kufa sifi Ila cha moto nakiona.

yaani looohh!!nimejutraaa!
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Teh Teh sasa huoni wewe unavyo enjoy mwenzako anahitaji kupelekewa moto kama weewe.....

Style mbali mbali ikiwezekana paka style ya iPhone seven
 
Pole sana. Nillikuwa na mtu wa tabia hiyo, kwa kweli inakera yeye ni kudandia kama daladala hana hata muda wa maandalizi. Nilisema nikachoka na kubwaga manyanga.
 
Wadau nawasalimu.

Jamani mimi simuelewi mume wangu, kunako 6 x 6 yeye hataki style nyingine zaidi ya kifo cha mende mie nachoka, najitahidi kubadili mikao labda mie juu yeye chini anaigeuza fasta hataki..doggy style nayo ananigeuza fasta hataka namwambia tusimame basi hataki tupo kwenye ndoa mwaka wa pili sasa, hata wakati wa uchumba alikuwa hivyo..

Sijui nitumie njia gani ya kumfanya ajue mapenzi sio kifo cha mende peke yake mi nachoka yaani nimeshakremisha sasa atakachonifanyia hata kwenye romance pia hanitomasi tomasi akinichezea huko chini kidogo na kuninyonya maziwa basi kamaliza nampenda sana mume wangu sijui nifanyeje abadilike.
maoni yenu ya kujenga yatasaidia tafadhali.
kaanae mshauri kabla ya tendo la ndoa sio unasubili umwambie wakati tendo linafanyika [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji2]
 
Wakati mwingine mtu unahisi ulikosea sana kujihusisha na ngono kabla ya kuingia kwenye ndoa. Hakuna jipya, ni kubebana tu na kutengeneza maisha, hata hiyo fungate mnaenda tu ili kupumzisha akili, otherwise hakuna cha kuonyeshana. Mtu mmebanjuana three yrs, kabla ya hapo ulikuwa na chain.

Ngono kabla ya ndoa ni mbaya, sio kwa wanawake tu, hata kwa wanaume. Ndio maana mda mfupi baada ya kuoana watu wanachoka na kutafuta ladha nyingine.
Mkuu ni kweli swala la kuoa hususan bikra au mtu asiye mjuzi saana....
Kwavile mtoa mada kiasi Fulani anaathiriwa na swala la comparative maybe from her previously history.

Lakini sometimes mambo huenda sio hivvyo, mnaweza mkaoana wote sio wajuvi Wa mambo ila kuna swala La muvies hususani romantic movies ,swala la hata stories kutoka kwa wenzake, swala la nn anasoma from social network

Hivvyo vyote humtengenezea psychological pressure ambayo hupelekea yeye kufanya comparisons kutoka anachokipata ndoani na Nini kinatokea from outsides
 
seems your convincing power is low. maybe you change area of romance like in the bathroom or kitchen romance. not always in 6x6. maybe there will change position too
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mkuu unakuta mwana mke ana leseni ya kuendesha lori kabisa
Mwanaume bado lena.
Yaan haya mambo!!
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Mkuu ni kweli swala la kuoa hususan bikra au mtu asiye mjuzi saana....
Kwavile mtoa mada kiasi Fulani anaathiriwa na swala la comparative maybe from her previously history.

Lakini sometimes mambo huenda sio hivvyo, mnaweza mkaoana wote sio wajuvi Wa mambo ila kuna swala La muvies hususani romantic movies ,swala la hata stories kutoka kwa wenzake, swala la nn anasoma from social network

Hivvyo vyote humtengenezea psychological pressure ambayo hupelekea yeye kufanya comparisons kutoka anachokipata ndoani na Nini kinatokea from outsides
Upo sahihi kiongozi, pressure ya mitandao, marafiki nk pia ni sumu kwa maisha ya ndoa. Lakini mimi naamini sana katika kuutunza mwili, kitu ambacho nimejifunza baada ya kuwa mtu mzima.

Wengi tunaingia ndoani tukiwa wachovu wa mapenzi as in tumeshachoka, huna jipya la kutuonyesha, kutufanya tufurahie ndoa coz we've done it all. Ndio maana mda mfupi tu ndani ya ndoa tunaona michosho, tutoke tena nje tukaonje zile tests tofauti tulizozoea zamani.
 
Hizo style ni mbwembwe tu!
Mwanamme anaishia pale anapo piga bao!Kama mmeo anapiga bao kwa style yyt ile ishikilie hiyo hiyo!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom