Mume wake dada hataki kunipa mtaji

Mume wake dada hataki kunipa mtaji

Mimi ni kijana mdogo mwenye miaka 29, nimesoma diploma ya masuala ya afya, baada ya kuhitimu nilikaa sana kijijini bila ajira. Dada na mume wake wakaamua kuniita mjini nijaribu bahati yangu.

Ila huku nako hali imezidi kuwa mbaya, kazi hakuna. Cha ajabu siku hizi wamenianzishia visa, dada na mume wake wanataka na mm niwe nafanya kazi za hapa nyumbani, wakati wafanyakazi wapo. Nilivyokataa kutumikishwa, mume wake dada anataka kunirudisha kijijini. Nimemwambia kijijini siendi, labda anipe mtaji. Amekataa kata kata, na sio kwamba hela hana. Hela anazo maana kila mwisho wa wiki anapendaga kutoka yeye na dada.

Wanashindwa kujibana hata mwezi ili mimi nipate mtaji? Leo tumezozana sana, walivyo na tabia mbaya, wameanzisha haya malumbano wakati wa kula. Hapa nipo na msongo wa mawazo, pia njaa ni kali maana nimegoma kula chakula chao usiku.

Naombeni ushauri, sielewi nifanye nini.

Msaada sio haki yako, ni ihsani tu ya watoao.
 
Unakula ugali wa shemeji ,unajaza chemba ya shemeji na Bado unaleta nyodo,na ushukuru shemeji yako mpole NINGEKUWA Mimi muda sana nshakufulumusha saidia kazi za home Sasa ukiambiwa kufagia uwanja kosa ,hawezi wakakupa mtaji wakati unawadharau ACHA UFALA WE SI KIJANA MDOGO NI MTU MZIMA KIJANA MDOGO NI 18-23
 
Mashemegi wengine hamnazo ujue anaweza kukuhamishia chumba karibu na cha kwao kisha usiku anampelekea moto mkubwa dadaako hadi usikie [emoji23]

Ushauri
Kama unaipenda ndoa ya dada yako HAMA
 
Mimi ni kijana mdogo mwenye miaka 29, nimesoma diploma ya masuala ya afya, baada ya kuhitimu nilikaa sana kijijini bila ajira. Dada na mume wake wakaamua kuniita mjini nijaribu bahati yangu.

Ila huku nako hali imezidi kuwa mbaya, kazi hakuna. Cha ajabu siku hizi wamenianzishia visa, dada na mume wake wanataka na mm niwe nafanya kazi za hapa nyumbani, wakati wafanyakazi wapo. Nilivyokataa kutumikishwa, mume wake dada anataka kunirudisha kijijini. Nimemwambia kijijini siendi, labda anipe mtaji. Amekataa kata kata, na sio kwamba hela hana. Hela anazo maana kila mwisho wa wiki anapendaga kutoka yeye na dada.

Wanashindwa kujibana hata mwezi ili mimi nipate mtaji? Leo tumezozana sana, walivyo na tabia mbaya, wameanzisha haya malumbano wakati wa kula. Hapa nipo na msongo wa mawazo, pia njaa ni kali maana nimegoma kula chakula chao usiku.

Naombeni ushauri, sielewi nifanye nini.
mkuu.
Kukupa mtaji ilikuwa ni sehemu ya sharti la mahari?

Wapeleke Dawati la Jinsia wakiburuzwa huko utapata somo zuri
 
Mashemegi wengine hamnazo ujue anaweza kukuhamishia chumba karibu na cha kwao kisha usiku anampelekea moto mkubwa dadaako hadi usikie [emoji23]

Ushauri
Kama unaipenda ndoa ya dada yako HAMA
Mkuu
Huyu ni wa kumshauri afungue mashtaka Barazs la Kata.😀

Malalamiko yake mazito sana
 
Mimi nina miaka 25 lakin naona nimeshakua mzee natakiwa nipambane niwe na mali zangu wewe una miaka 29 unasema ni kijana mdogo??? Ningekua mimi ndo mume wa dada yako ningekufundisha adabu maana asiefunzwa na ***** hufunzwa na ulimwengu, na ulimwengu mwenyewe ndo mimi.
 
mtoa mada ni mvivu sijapata kuona, la hasha iwe ☕ ya moto kwenye baridi.
 
Mimi ni kijana mdogo mwenye miaka 29, nimesoma diploma ya masuala ya afya, baada ya kuhitimu nilikaa sana kijijini bila ajira. Dada na mume wake wakaamua kuniita mjini nijaribu bahati yangu.

Ila huku nako hali imezidi kuwa mbaya, kazi hakuna. Cha ajabu siku hizi wamenianzishia visa, dada na mume wake wanataka na mm niwe nafanya kazi za hapa nyumbani, wakati wafanyakazi wapo. Nilivyokataa kutumikishwa, mume wake dada anataka kunirudisha kijijini. Nimemwambia kijijini siendi, labda anipe mtaji. Amekataa kata kata, na sio kwamba hela hana. Hela anazo maana kila mwisho wa wiki anapendaga kutoka yeye na dada.

Wanashindwa kujibana hata mwezi ili mimi nipate mtaji? Leo tumezozana sana, walivyo na tabia mbaya, wameanzisha haya malumbano wakati wa kula. Hapa nipo na msongo wa mawazo, pia njaa ni kali maana nimegoma kula chakula chao usiku.

Naombeni ushauri, sielewi nifanye nini.
Mtaji ni afya yako..ondoka kwa dada kapambane mtaani...hata kuuza maji ya uhai ni kazi, saidia fundi ni kazi pia..

Maisha ni mapambano..
 
We jamaa bure kabisa😱😱 ukisikia mtu mzima hovyo ndo wewe🤣, yaani upo kwa shemeji yako miaka 29 kazi kula tu na kulala hata kusaidia kazi za nyumbani hutaki na bado unawapangia cha kufanya heti shem wako ajibane mshahara wa mwezi mmoja wakupe wewe😬😬 bure kabisa we unajua shemeji yako hiyo kazi ameipataje? Utapelekewa moto kubabako!!! hata hiyo pesa wakikupa unaweza usifanyie jambo la maana sababu huna uchungu nayo

Vijana tunapigika huku mjini kutafuta hela kwa jasho letu we upo kwa shemeji miaka 29 unadai ngekewa hata aibu huna.

Dah! Nimeandika kwa jazba mno mnisamehe kwa nilichoandika.
 
Mkuu unakosea sana... Ingia kwenye makampuni ya ulinzi..chukua shift ya night...usiku unakua job mchana unakua kitaa na masela.. nguo za kuvaa mchana, mafuta , dawa ya meno unaziacha lindon (ila ziache kimpangilio hata kwenye boksi na kwausafi), kadi ya bank na wallet unatembea nayo popote pale usiwe na cash nyingi unakua na hela tuu ya kula week .yani post inakua ndio geto lako..

Ukifanya hivyo kwa miezi sita utaweza kua na kwako mawe uwe unawapa wenzako akili kama hizi..

Usimwambie mtu kama wewe ni mlinzi hiyo ni siri yako na walinzi wenzako , pia usiambie viongozi kama umesoma wewe una vunga kimnya, uniform ( combats) unakua unazifua usiku night kali kukitulia, hufui zote unafua moja moja.. leo shati, kesho suruali, kesho kutwa sweta / rain cote kuepusha kua full kiraia kazini

Nb; kulingana na taaluma yako omba uwe unalinda maeneo ya vituo vya afya/ zahanati/ hospital ziwe za binafsi ..alafu usiogope kufanya goodwilling kwa kutumia taaluma yako kama mlinzi...waambie umesomea usifiche.. mwisho wa siku unakua na connection chap ajira hiyo hapo


UKISHINDWA KUFANYA HIVI HATA BOKSA ZA MUME WA DADA YAKO UTAFUA. ...

KUMBUKA WASOMI WENGI SIKUHIZI WANALINDA USIKU MCHANA WANAJICHANGANYA VIJIWENI UKITAKA KUJUA WATAFUTE MIDA YA JION UTAONA KITAANI HAWAPO
 
Mkuu unakosea sana... Ingia kwenye makampuni ya ulinzi..chukua shift ya night...usiku unakua job mchana unakua kitaa na masela.. nguo za kuvaa mchana, mafuta , dawa ya meno unaziacha lindon (ila ziache kimpangilio hata kwenye boksi na kwausafi), kadi ya bank na wallet unatembea nayo popote pale usiwe na cash nyingi unakua na hela tuu ya kula week .yani post inakua ndio geto lako..

Ukifanya hivyo kwa miezi sita utaweza kua na kwako mawe uwe unawapa wenzako akili kama hizi..

Usimwambie mtu kama wewe ni mlinzi hiyo ni siri yako na walinzi wenzako , pia usiambie viongozi kama umesoma wewe una vunga kimnya, uniform ( combats) unakua unazifua usiku night kali kukitulia, hufui zote unafua moja moja.. leo shati, kesho suruali, kesho kutwa sweta / rain cote kuepusha kua full kiraia kazini

Nb; kulingana na taaluma yako omba uwe unalinda maeneo ya vituo vya afya/ zahanati/ hospital ziwe za binafsi ..alafu usiogope kufanya goodwilling kwa kutumia taaluma yako kama mlinzi...waambie umesomea usifiche.. mwisho wa siku unakua na connection chap ajira hiyo hapo

UKISHINDWA KUFANYA HIVI HATA BOKSA ZA MUME WA DADA YAKO UTAFUA. ...

KUMBUKA WASOMI WENGI SIKUHIZI WANALINDA USIKU MCHANA WANAJICHANGANYA VIJIWENI UKITAKA KUJUA WATAFUTE MIDA YA JION UTAONA KITAANI HAWAPO
 
Back
Top Bottom