Mume wake dada hataki kunipa mtaji

Mume wake dada hataki kunipa mtaji

Mimi ni kijana mdogo mwenye miaka 29, nimesoma diploma ya masuala ya afya, baada ya kuhitimu nilikaa sana kijijini bila ajira. Dada na mume wake wakaamua kuniita mjini nijaribu bahati yangu.

Ila huku nako hali imezidi kuwa mbaya, kazi hakuna. Cha ajabu siku hizi wamenianzishia visa, dada na mume wake wanataka na mimi niwe nafanya kazi za hapa nyumbani, wakati wafanyakazi wapo. Nilivyokataa kutumikishwa, mume wake dada anataka kunirudisha kijijini. Nimemwambia kijijini siendi, labda anipe mtaji. Amekataa kata kata, na sio kwamba hela hana. Hela anazo maana kila mwisho wa wiki anapendaga kutoka yeye na dada.

Wanashindwa kujibana hata mwezi ili mimi nipate mtaji? Leo tumezozana sana, walivyo na tabia mbaya, wameanzisha haya malumbano wakati wa kula. Hapa nipo na msongo wa mawazo, pia njaa ni kali maana nimegoma kula chakula chao usiku.

Naombeni ushauri, sielewi nifanye nini.
angalia asikitatue marinda
 
Mtaji wanatakiwa kukupa wazazi wako
Wengine wakikupa ni hisani sio lazima
 
Mimi ni kijana mdogo mwenye miaka 29, nimesoma diploma ya masuala ya afya, baada ya kuhitimu nilikaa sana kijijini bila ajira. Dada na mume wake wakaamua kuniita mjini nijaribu bahati yangu.

Ila huku nako hali imezidi kuwa mbaya, kazi hakuna. Cha ajabu siku hizi wamenianzishia visa, dada na mume wake wanataka na mimi niwe nafanya kazi za hapa nyumbani, wakati wafanyakazi wapo. Nilivyokataa kutumikishwa, mume wake dada anataka kunirudisha kijijini. Nimemwambia kijijini siendi, labda anipe mtaji. Amekataa kata kata, na sio kwamba hela hana. Hela anazo maana kila mwisho wa wiki anapendaga kutoka yeye na dada.

Wanashindwa kujibana hata mwezi ili mimi nipate mtaji? Leo tumezozana sana, walivyo na tabia mbaya, wameanzisha haya malumbano wakati wa kula. Hapa nipo na msongo wa mawazo, pia njaa ni kali maana nimegoma kula chakula chao usiku.

Naombeni ushauri, sielewi nifanye nini.
Nyinyi ndio team bodaboda sio ajira🤣🤣🤣
 
Kijana mdogo 29 yrs?
Yani upewe hifadhi, ule na unye bure alafu kazi mpaka ufosiwe kufanya na bado hutaki?
Mkuu sikutukani ila wazazi wadai mahari ya pili, dada yako anakukataa kwa sababu anaona utafanywa mke wa pili.
Toka hapo katafute na ule kwa jasho lako [emoji51]

Mtegemea cha nduguye hufa maskini.

Yule uncle wako ana umri gani?
 
Mimi ni kijana mdogo mwenye miaka 29, nimesoma diploma ya masuala ya afya, baada ya kuhitimu nilikaa sana kijijini bila ajira. Dada na mume wake wakaamua kuniita mjini nijaribu bahati yangu.

Ila huku nako hali imezidi kuwa mbaya, kazi hakuna. Cha ajabu siku hizi wamenianzishia visa, dada na mume wake wanataka na mimi niwe nafanya kazi za hapa nyumbani, wakati wafanyakazi wapo. Nilivyokataa kutumikishwa, mume wake dada anataka kunirudisha kijijini. Nimemwambia kijijini siendi, labda anipe mtaji. Amekataa kata kata, na sio kwamba hela hana. Hela anazo maana kila mwisho wa wiki anapendaga kutoka yeye na dada.

Wanashindwa kujibana hata mwezi ili mimi nipate mtaji? Leo tumezozana sana, walivyo na tabia mbaya, wameanzisha haya malumbano wakati wa kula. Hapa nipo na msongo wa mawazo, pia njaa ni kali maana nimegoma kula chakula chao usiku.

Naombeni ushauri, sielewi nifanye nini.
Kaka komaa usiondoke bila kukupa mtaji , kwann walikuchukua kijijini wakati wanajua hawawezi kukusaidia ,sema umezingua kugoma kula,kula Sana Kaka
 
Bro miaka 29 unajiita kijana mdogo looooh mpaka hapo ushafeli badilisha fikra zako mkuuu hio ni 30 yrs bado huna dira mbaya zaidi unaishi na nyoka [emoji216] huyo dada na mmeo sio ndugu zako bro kaa chonjo mkuuu [emoji90][emoji90][emoji90] halafu kwanini hukuchukua degree na muda umesonga hivyo mpaka unafikisha 29 huo muda wote ulikuwa unafanya nini [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]

Daaah ila bro toka hapo toka hapo bro kabangaize chochote ila usikae kutwa hapo ndani

Ohoooo
Kaka ushauri unaompa sio mzuri,atoke aende wapi
 
Wanashindwa kujibana hata mwezi ili mimi nipate mtaji? Leo tumezozana sana, walivyo na tabia mbaya, wameanzisha haya malumbano wakati wa kula. Hapa nipo na msongo wa mawazo, pia njaa ni kali maana nimegoma kula chakula chao usiku.
mmeolewa wote, Kijana 29 yrs huna akili kiasi hiki?
 
Mkuu umefanya vema sana kutushirikisha yanayousumbua wako mtima.

Kwenye suala la kuomba,jitahidi kutumia mbinu shawishi zitakazomuibua mtu kukusaidia kuipiga hatua kufika utakapo.

Usitake jilinganisha na dadako au shemeji,kwa kigezo kuwa Wana uwezo wa kukusaidia.

Fanya kazi za nyumbani ambazo sioni shida we kufanya kwani hata ungekuwa kwako Bado ungefanya.

Jitahidi kuwa na malengo na kuyasimamia,Bado unaweza Toka na kwenda kutafuta walau vibarua vya muda kwa kada uliyonayo au hata nje ya taaluma.

Kumbuka ,kile moyo na nafsi inachokipa muda kukifiria ndicho hicho akili huvutia na kukipa nafasi kubwa.

Amini hapo upo kwa muda,na na dhamiria kutafuta vyako kwa kujiongezea japo kaujuzi Fulani mfano udereva ,ufundi sofa ,bodaboda nk.

Kutoka na kwenda sehemu kwa lengo la kutafuta pia kuna baraka nyingi zitokazo kwa Muumba.
Maeneo kama kwenye miradi ya ujenzi mfano reli,mabomba ya maji nk.Watu wa kada ya afya wanahtajika sana.
Ni kazi za kusotea kwani hakuna kazi inayopatikana kirahisi.

Iambie akili yako unaweza fanikiwa nje ya hapo ulipo,nje ya kada yako au hata watu uliowazowea.

Amini shemeji si adui kwako,Fikisha mawazo yako kwa lengo la kusaidiwa na si kulazimisha ,kubali kujishusha na kuomba msamaha kwani mwisho wa siku ukisaidiwa n kwa manufaa yako na si.ya yeyote jamii forums.
Kaka huu ushauri sio mzuri umemuonea sana
 
Back
Top Bottom