Mume wake dada hataki kunipa mtaji

Mume wake dada hataki kunipa mtaji

Mimi ni kijana mdogo mwenye miaka 29, nimesoma diploma ya masuala ya afya, baada ya kuhitimu nilikaa sana kijijini bila ajira. Dada na mume wake wakaamua kuniita mjini nijaribu bahati yangu.

Ila huku nako hali imezidi kuwa mbaya, kazi hakuna. Cha ajabu siku hizi wamenianzishia visa, dada na mume wake wanataka na mm niwe nafanya kazi za hapa nyumbani, wakati wafanyakazi wapo. Nilivyokataa kutumikishwa, mume wake dada anataka kunirudisha kijijini. Nimemwambia kijijini siendi, labda anipe mtaji. Amekataa kata kata, na sio kwamba hela hana. Hela anazo maana kila mwisho wa wiki anapendaga kutoka yeye na dada.

Wanashindwa kujibana hata mwezi ili mimi nipate mtaji? Leo tumezozana sana, walivyo na tabia mbaya, wameanzisha haya malumbano wakati wa kula. Hapa nipo na msongo wa mawazo, pia njaa ni kali maana nimegoma kula chakula chao usiku.

Naombeni ushauri, sielewi nifanye nini.
watu wa ccm pamoja na sukuma ganga mnaanzisha thread za kipumbavu pumbavu ili kutunyamazisha tuache kuongea....siku zote hakuna marefu yasiyokuwa, LABDA TU NATAKA NIWAAMBIE MIMI NI KIJANA MWENYE UMRI WA MIAKA 30+ NINAISHI KWANGU YAANI NIMEJENGA HUKU KANDA YA ZIWA NA MOJA YA BIASHARA NINAZOHUSISHA NI UUZAJI WA DAWA ZA BINADAMU.....KWA HIYO MIMI SIISHI KWA SHEMEJI AU KWA NDUGU KAMA AMBAVYO MA -CCM WENGI MNAVYOFIKIRIA KWAMBA KILA ANAEKUJA KUANZISHA THREAD YA KUMPONDA MWENDAZAKE HANA MAISHA
 
Hata mimi nisingekupa huo mtaji. Miaka 29 unajiita kijana mdogo ng'ombe wewe.

Nia yao kukuita ilikuwa njema tu. Kabisa walikuwa na nia kukutoa,ila ilikuwa lazima kwanza wakusome zinachajije. Tayari wmeshakusoma kichwani is empty ndio maana wameona bora urudi shamba
 
Mimi ni kijana mdogo mwenye miaka 29, nimesoma diploma ya masuala ya afya, baada ya kuhitimu nilikaa sana kijijini bila ajira. Dada na mume wake wakaamua kuniita mjini nijaribu bahati yangu.

Ila huku nako hali imezidi kuwa mbaya, kazi hakuna. Cha ajabu siku hizi wamenianzishia visa, dada na mume wake wanataka na mm niwe nafanya kazi za hapa nyumbani, wakati wafanyakazi wapo. Nilivyokataa kutumikishwa, mume wake dada anataka kunirudisha kijijini. Nimemwambia kijijini siendi, labda anipe mtaji. Amekataa kata kata, na sio kwamba hela hana. Hela anazo maana kila mwisho wa wiki anapendaga kutoka yeye na dada.

Wanashindwa kujibana hata mwezi ili mimi nipate mtaji? Leo tumezozana sana, walivyo na tabia mbaya, wameanzisha haya malumbano wakati wa kula. Hapa nipo na msongo wa mawazo, pia njaa ni kali maana nimegoma kula chakula chao usiku.

Naombeni ushauri, sielewi nifanye nini.
maka 29 unajiita kijana mdogo?subili ukue
 
Mimi ni kijana mdogo mwenye miaka 29, nimesoma diploma ya masuala ya afya, baada ya kuhitimu nilikaa sana kijijini bila ajira. Dada na mume wake wakaamua kuniita mjini nijaribu bahati yangu.

Ila huku nako hali imezidi kuwa mbaya, kazi hakuna. Cha ajabu siku hizi wamenianzishia visa, dada na mume wake wanataka na mm niwe nafanya kazi za hapa nyumbani, wakati wafanyakazi wapo. Nilivyokataa kutumikishwa, mume wake dada anataka kunirudisha kijijini. Nimemwambia kijijini siendi, labda anipe mtaji. Amekataa kata kata, na sio kwamba hela hana. Hela anazo maana kila mwisho wa wiki anapendaga kutoka yeye na dada.

Wanashindwa kujibana hata mwezi ili mimi nipate mtaji? Leo tumezozana sana, walivyo na tabia mbaya, wameanzisha haya malumbano wakati wa kula. Hapa nipo na msongo wa mawazo, pia njaa ni kali maana nimegoma kula chakula chao usiku.

Naombeni ushauri, sielewi nifanye nini.
Kabla sijakushauri ngoja nicheke kwanza Kwikwikwiiii😂😂😂.
 
Nadhani unapaswa kujiongeza tu, hiyo mali aliyonayo ndugu yako sio ya kwako eti kisa umetoka tumbo moja. Hangaika na cha kwako bibie, cha mwenzio sio chako.

Usipende kupewa vya bure, vinalemaza. Dada yako na shemeji sio kwamba hawakupendi ila wanataka kuona na wewe unapambania maisha yako. Chukua uamuzi bado mapema, usisubiri kufukuzwa.
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wewe wa kutiwa bakora kabisa. Shemeji yako siyo baba yako wala mama yako, sio wajibu wake kukulea na kukupa mtaji, hata hapo unavyoishi ni hisani tu.

BTW najua hii ni chai, miaka 29 hauwezi kuwa na akili za kitoto kiasi hicho 😂.
😂😂 Kweli hii ni☕☕
 
Mimi ni kijana mdogo mwenye miaka 29, nimesoma diploma ya masuala ya afya, baada ya kuhitimu nilikaa sana kijijini bila ajira. Dada na mume wake wakaamua kuniita mjini nijaribu bahati yangu.

Ila huku nako hali imezidi kuwa mbaya, kazi hakuna. Cha ajabu siku hizi wamenianzishia visa, dada na mume wake wanataka na mm niwe nafanya kazi za hapa nyumbani, wakati wafanyakazi wapo. Nilivyokataa kutumikishwa, mume wake dada anataka kunirudisha kijijini. Nimemwambia kijijini siendi, labda anipe mtaji. Amekataa kata kata, na sio kwamba hela hana. Hela anazo maana kila mwisho wa wiki anapendaga kutoka yeye na dada.

Wanashindwa kujibana hata mwezi ili mimi nipate mtaji? Leo tumezozana sana, walivyo na tabia mbaya, wameanzisha haya malumbano wakati wa kula. Hapa nipo na msongo wa mawazo, pia njaa ni kali maana nimegoma kula chakula chao usiku.

Naombeni ushauri, sielewi nifanye nini.
Ushauri wewe komaa hapo hapo kwa Dada na Shemeji yako, waambie Kijijini hurudi kama kulima rahisi wakalime wao wakuachie nyumba,
Kwanza wewe bado kijana mdogo sana kwanini wanataka kukuzeesha na maisha ya kijijini,

Kuanzia sasa anza na wewe kuwafanyia visa, Kojoa kitandani.
 
Mimi ni kijana mdogo mwenye miaka 29, nimesoma diploma ya masuala ya afya, baada ya kuhitimu nilikaa sana kijijini bila ajira. Dada na mume wake wakaamua kuniita mjini nijaribu bahati yangu.

Ila huku nako hali imezidi kuwa mbaya, kazi hakuna. Cha ajabu siku hizi wamenianzishia visa, dada na mume wake wanataka na mm niwe nafanya kazi za hapa nyumbani, wakati wafanyakazi wapo. Nilivyokataa kutumikishwa, mume wake dada anataka kunirudisha kijijini. Nimemwambia kijijini siendi, labda anipe mtaji. Amekataa kata kata, na sio kwamba hela hana. Hela anazo maana kila mwisho wa wiki anapendaga kutoka yeye na dada.

Wanashindwa kujibana hata mwezi ili mimi nipate mtaji? Leo tumezozana sana, walivyo na tabia mbaya, wameanzisha haya malumbano wakati wa kula. Hapa nipo na msongo wa mawazo, pia njaa ni kali maana nimegoma kula chakula chao usiku.

Naombeni ushauri, sielewi nifanye nini.
Askari wa zenji mko wengi
 
Eti hataki kufanya kazi za ndani, jinga sana huyu kubwa jinga kwani ukifanya kazi za ndani unapungukiwa nini?
Inashangaza sana hifadhi apewe alafu kazi halitaki kufanya na linaona ni haki yake.
 
Back
Top Bottom