Mm nimetoa hongera sio poleKwanini mkuu?
Mkatolislameti huyu mkatoliki seriously
SawaHawashangilii kifo cha huyo Baba, wanashangilia mama kufiwa .
Dah ngoja nikaliongeze kabababakeKama una chura tunaignore hayo yote 😞
Kama kawaida jf hata machokoraa wana vigezo vikaliDah! Na wakati huo yeye anavitu gani, au anaweka vigezo upande mmoja?
Kwani sasa hivi lipo hadi wapi 🥹Dah ngoja nikaliongeze kabababake
Mbona hajawahi kemea hayo mambo. Aliishi na wauwaji.Kuna watoto wa wachungaji wanapewa malezi mema na kila kitu ila mwisho wa siku anakuja kumtia aibu mzee wake.
Sasa si uniweke ignore au umeshikiwa panga?Wewe una changamoto kama za The Gunner. Inafaa muwe couple.
Dahh unakaba sana! Kama mtu anamiliki smartphone tu haruhusiwi kuingia mahusoano serious?Kumiliki mali yoyote uliyotafuta wewe mwenyewe na kuweza kumudu gharama zote za aina ya lifestyle uliyochagua kuishi bila kumbebesha mzigo mwanaume wala kujiona upo entitled kwenye hela na mali za mwanaume. Inatosha kabisa. Mmeamua kuwa wapenzi peaneni mapenzi, na kila mmoja abaki na hela zake. Kama unajiona una haki ya kulipwa ili utoe penzi basi pale pale unapotongozwa nyosha maelezo sema unauza
NdioHii update mpya ya jf ukiandika reply huoni uwanja, hii ni kwangu tu au
Narudi zangu browserNdio
Watu wa viwango...Mamng'odee leo tuna maombolezo. Hadi nimeikumbuka ile The Old Monk. Au umeshaweka viwango?Kama kawaida jf hata machokoraa wana vigezo vikali
Una usafiri?Narudi zangu browser
NdioUna usafiri?
Sisi wa mikoani wali tunakula wapi🤔🤔Mume wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, Hafidh Ameir, amefariki Dunia.
Taarifa za kifo cha Hafidh Ameir, zimetangazwa na Makamu wa Rais, Deogratius Ndejembi kupitia Vyombo vya Habari.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Deogratius Ndejembi akitangaza taarifa ya msiba wa Mhe. Hafidh Ameir Hassan ambaye ni mwenza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.