cerengeti
JF-Expert Member
- Jan 19, 2011
- 3,879
- 1,634
The cycle...
Mzungukano
The cycle...
aya najiandaa ngoja nile nyanya chungu nyingi nipate kukaa vizuri
Enhee ndio mtie akili sasa mtunze ndoa na waume, ukimtibua nyongo ndio kama hivo katafuta pumziko kwa miaka sita sasa !!!!!!!
Ujue huyo jamaa sio player ndio maana kakaa miaka yote so ana invest, muda, emotions na mengineyo!!!!
Real player hakai miaka sita asee kwan kataga hapo!!???
Mie nijuavyo mtu akikuambia ile nyumba ndogo ujue hapo jamaa hachapi na kupita in a way kaweka kambi kimtindo sasa miaka sita kweli kama wazima abortion ngapi hapo kama sio kitanzi au vijiti basi pick up kama sio wheel barrow ishajaa vyondom!!!!!
Ukiona njemba imeoa na imekizima kipila na demu kwa muda huo ujue yuko tayari kwa lolote!!!!!!
Kwahiyo baada ya fumanizi mzee atajifanya pimbi ili apate mazingira ya kuondoka eneo husika, baadae kwa wakati wake au siku inayofuata mama lazima auone moto.Huyo mwanaume juha wa kupmambanisha ugomvi asioujua mbele wala nyuma unampata wapi!!!????
Unakumbuka Mkenya wa Ilala aliishia kula risasi kwa ugomvi wa shemeji!!!?????
Yuko wapi mama Ufoo Saro (R.I.P) kisa ugomvi wa mapenzi !!!!!!!
Leo umwambie mtu ooonh nataka ukajenge bifu la uongo na ukweli..............risasi haina uongo na ukweli!!!!!!!
Huamini unataka nini ,anakupenda ama anakutumia ..
tobaaa weeen 6YRS???
acha huo ujinga achana nae vijana wapo kibao
Kwahiyo baada ya fumanizi mzee atajifanya pimbi ili apate mazingira ya kuondoka eneo husika, baadae kwa wakati wake au siku inayofuata mama lazima auone moto.
Wewe kwa mtazamo wako unaona suluhisho nini? ikiwa jamaa ni kinga'ang'anizi mno !
Mbinu zipo nyingi hata kama anamiliki bastola, sema haitoleta picha nzuri kuzungumza hapa jukwaani
Habari ndugu zangu,
Nashindwa kuelewa mpaka sasa nimetokea kupendwa na mume wa mtu tangu niingie kwenye mahusiano sijawahi kuwa na mahusiano na mwanaume ambaye yupo single,
Amekuwa akinisaidia sana katika maendeleo yangu mume wa mtu huyu ndie mshauri wangu hata iweje yupo mbele yangu kunijali ananipenda sana mara nyingne nawaza siwezi kufika naye mbali tayari yeye ameshakuwa na familia yake na Mimi nilazima nitakuwa na familia Yangu tutaishi maisha haya mpaka lini na tangu tujuane huu ni mwaka wa 6 najitahidi kumuacha lakini jamaa na yeye anapigana kutokuniacha mke wake mpaka leo hajui kama mume wake ana mchepuko nje, nishaurini nahitaji na Mimi kuwa na maisha yangu nimpata mume wangu nitamtumikia huyu jamaa mpaka lini? Nipeni hata njia mbadala matata ili niachane naye.
Nimekupata mkuuKwa nini ajifanye pimbi!!!!??? Anaweza akakichafua tu live mpaka mkashangaa huwezi jua motive yake kukaa na mwanamke kwa miaka sita unadhani haoni hatari!!!????
Yaweza kuwa ndani kuna moto so badala ya kuachana na mkewe wametengana vyumba ili kulea watoto so kwa heshima katafuta huyo wa nje na katulia naye kimtindo kwa miaka sita vigezo na masharti yanazingatiwa halafu upeleke pua yako eti umemfumania..........asee anaweza fungua bucha!!!!!!
Jamaa sio luba wala nini ila aliweka wazi labda tangu mwanzo kuwa yeye anataka mwanamke wa kuishi naye despite kaoa na demu akakubali akijua muda flani litakufa natural death.....kumbe mzee alimaanisha!!!!!!
Mbinu ziko nyingi yes ila na mtu aliye determined na mahusiano ya nje sio wa kumchukulia poa!!!!!!
Suluhisho ni wao kuliongea tu tena bi dada aweke wazi kuwa anataka aangalie future yake aolewe na kuzaa ..........................ndio hapo dingi litapokuwa tayari kumalizia mkia!!!!!!!!!!!!!
Huamini unataka nini ,anakupenda ama anakutumia ..
wanakuwa na wivu hao ni balaa. Nlikuwa nae mmoja anaishi moro na mie niko dar kwa kweli alinisaidia sanaaa kwa mikwanja na luxuries. Wakati nataka kumuacha sasa ndo vituko vilivyoonyeshwa nae sikuamini.Very interesting! Hivi kumbe naye anakuwa na haki kama mume wa ndoa? mi nilidhani wanaosema nyumba ndogo ni za kupita tu kumbe waongo?
Hii ni hatare jamani naogopa ndoa! Mume wangu wa ndoa kumbe ana ndoa nyingine na yupo tayari kuipigania!
Tutakimbilia wapi siye?
uje umuombe kabla hajarudi kwake pindi anapomaliza mihangaiko yake apite kwako alafu kwa hasira umlowekee nguo zake akirudi kwake atafundishwa adabu na hatarudia tena.Najua siyo vyema kula tonge la mtu nimelijua hilo ndio maana nilijitahid kumuacha siyo vyema kabisa Lakin mwanaume ndio mgumu kuniacha nafanya vituko Vingi ili nimuuzi anichoke aondoke kwangu ndio nimeshindwa nikaja kwenu mnishauri