Mume wa mtu huyu mbona haniachi jamani?

Mume wa mtu huyu mbona haniachi jamani?

Ukiamua mwenyewe toka moyoni mbona inawezekana ni wewe tu utayari wako
 
Hahahahahaaaa. Waswahili wanasema akili za mwenzio changanya na zako. Sasa kazi ni kwake.
Asante kwa kunielewa! Ubarikiwe kwa sana, yote maisha asikudanganye mtu. Nadhani ni bora kuwa small hausi na maisha yakanyoka kuliko kuwa Big hausi na kudandia waume wa wenzako ili maisha yaende. Hata kulala nayo si kufaidi kama vya msimu. Wengi wanandoa tunaona wanavyolala vyumba tofauti achilia mbali mzungu wa saba.
 
Habar ndugu zangu, Nashindwa kuelewa mpk sasa nimetokea kupendwa na mume wa mtu tangu niingie kwenye mahusiano cjawahi kuwa na mahusiano na mwanaume ambaye yupo single,

hujawahi kuwa na mtu ambaye yupo single, kwa nini una allergy nao au ndo kupenda vya bure?

amekuwa akinisaidia sana katka maendelea yangu mume wa mtu huyu ndie mshaur wangu hata iweje yupo mbele yangu kunijali ananipenda sana

hilo la kusaidiwa ndilo linakufanya ung'ang'ane, .....slope!!

mara nyingne nawaza siwez kufika naye mbali tayar yy ameshakuwa na familia yake na Mimi nilazima nitakuwa na familia

usijali, kwa sababu unadhani huwezi kuishi bila yeye hata ukiolewa atakua kidumu chako, endelea nae maana ndo maisha uliyochagua

Yang tutaishi maisha haya mpk lini na tangu tujuane huu ni mwaka wa 6 najitahidi kumuacha lakini jamaa na yeye anapigana kutokuniacha

mwaka wa 6 sasa unajisifia jamaa anapigana usimuache?
kama ni mpiganaji sana mbona hajakuoa?
mbona anaishia kuja kwako kwa kificho?
mbona miaka yote sita umebakiwa na sifa ya kuwa "mwizi?"
ya kwake yanamnyookea wewe unazeeka halafu unadai anakupigania usimwache?


mke wake mpk leo hajui kama mume wake ana mchepuko nje,

inawezekana hajui
inawezekana anajua na anajua mko zaidi ya mmoja kanyoosha mikono juu, au na yeye ana kiserengeti boy chake, ya nini ambanebane mume ilhali anapokuja kwako na yeye anapata muda wa kwenda kusuguliwa nje?

au mwanaume anajua kufanya siri na unafuata masharti ya wizi wa waume za watu ndo maana hujadakwa

nishaurini nahitaji na Mimi kuwa na maisha yangu nimpata mume wangu nitamtumikia huyu jamaa mpk lini? Nipeni hata njia mbadala matata ili niachane naye

hauhitaji ushauri
maana ushajiamulia namna ya kuishi
halafu mume utapata wapi ilhali umeng'ang'ania mume wa mwenzio

hebu wanawake tumieni akili jamani
unaishi na mtu miaka 6, umri unaenda, mwenyewe unaona sifa kuwa small hausi,
miaka 6?
kweli?
mingi sana
mwisho hadi mayai tumboni yaishe
halafu hamu ya kuwa na mwanaume single utaitoa wapi na wewe ushazoea ratiba?
au unaogopa majukumu ya mwanaume single, maana kwa picha uliyotengeneza huyo mwanaume anapesa zake ambazo huwezi kuziacha, utaweza kulalia mkeka ndugu yangu ili kuzisaka na mumeo halafu mwanaume aibiwe

huyo mwanaume unayesema anakupenda sana kumbuka ana mkewe
and nyumba yake
ana mtu wake wa kumshika mkono mambo yatakapokua magumu
ana wa kuzeeka nae kama muumba wake amemwandikia

wewe usichana unapita
utajikuta usiku umeingia ndo unashtuka
fanya maamuzi magumu sasa, acha kutumika


na imeandikwa

ndoa na iheshimiwe na watu wote

mwambie huyo mwanaume aheshimu ndoa yake na wewe uiheshimu hiyo ndoa

hawa wanaume mbele ya K anaweza hata kumtukana mkewe na kukana wazazi wake

shaurilo
 
Ila mazoea yanashida unaweza ukawa unapata vijana lakini unaona hawajielewi ukimcheki Sugar wako mzee wa mawazo mazuri anakutreat kama queen sasa ukija kwa hawa wa rika lako unaona hapana mizinguo ndio maana nawewe huna msimamo mkali katika kumove on
 
Unacheza wewee miaka sita maana yake ni ndoa hiyo kimjini halafu leo azingue eti kwa fumanizi!!!!!!! Cyan6 my dear mwanaume wa ku risk familia na kila kitu kwa miaka sita ujue sio mjinga wa mchana na usiku huyo!!!!!

Kama dada ana mbavu haya na apime maji ila anatakiwa awe na pumzi kufuata mkondo huo!!!

Very interesting! Hivi kumbe naye anakuwa na haki kama mume wa ndoa? mi nilidhani wanaosema nyumba ndogo ni za kupita tu kumbe waongo?
Hii ni hatare jamani naogopa ndoa! Mume wangu wa ndoa kumbe ana ndoa nyingine na yupo tayari kuipigania!
Tutakimbilia wapi siye?
 
Last edited by a moderator:
You are stuck on him, sio rahisi nikiangalia na muda mliokuwa pamoja.

Ungekuwa unaweza kuhama mkoa hata kwa mwaka ingekusaidia, afu tafuta mchepuko fasta kukava gap wakati unasaka wa kudumu naye.

Kusubiri akuache inaonyesha kabisa uko weak around him, just waiting for his mercy, muache wewe.

Warning: you don't what you have until you lose it.
You don't know what you are missing until you have it.

Maana ya hiyo warning ni kuwa 'mapenzi hayako certain, huwezi sema ukimwacha tu utaolewa. Unweza kutana na mibazazi ya mujini na ahadi kete kete za kukuoa, yakakutenda au kukupa miwaya na usiolewe vile vile. Kuna wanawake hawajaolewa and they have never dated married men. Talk to your God, atakusaidia.

Najua siyo vyema kula tonge la mtu nimelijua hilo ndio maana nilijitahid kumuacha siyo vyema kabisa Lakin mwanaume ndio mgumu kuniacha nafanya vituko Vingi ili nimuuzi anichoke aondoke kwangu ndio nimeshindwa nikaja kwenu mnishauri
 
Asante kwa kunielewa! Ubarikiwe kwa sana, yote maisha asikudanganye mtu. Nadhani ni bora kuwa small hausi na maisha yakanyoka kuliko kuwa Big hausi na kudandia waume wa wenzako ili maisha yaende. Hata kulala nayo si kufaidi kama vya msimu. Wengi wanandoa tunaona wanavyolala vyumba tofauti achilia mbali mzungu wa saba.

Aaa wapi wewe kuwa small house ni zigo kama serikali ya mkwele! Hata kama unapewa kila kitu halafu huna hati miliki ya mume ni bure!
Inategemea lakini unahitaji nini! Nilishajaribu lol wivu ukawa unaniua! Halafu mume akirudi kwa mke wake we unahesabu kenchi usiku kucha!
Kukosa uhuru na mpenzi wako ni torture asikueleze mtu! Usipige simu, usitext, huwezi toka naye outing, huna confidence ya kumtambulisha popote wala yeye hathubutu! Ni mambo ya gizani kama popo akuu!
Inaweza work kama na wewe una wako na yeye ana wake!
 
uamuzi ni wako, kama anakujali kwanini umtose? Acha tamaa tulia na mmoja
 
Very interesting! Hivi kumbe naye anakuwa na haki kama mume wa ndoa? mi nilidhani wanaosema nyumba ndogo ni za kupita tu kumbe waongo?
Hii ni hatare jamani naogopa ndoa! Mume wangu wa ndoa kumbe ana ndoa nyingine na yupo tayari kuipigania!
Tutakimbilia wapi siye?


Enhee ndio mtie akili sasa mtunze ndoa na waume, ukimtibua nyongo ndio kama hivo katafuta pumziko kwa miaka sita sasa !!!!!!!
Ujue huyo jamaa sio player ndio maana kakaa miaka yote so ana invest, muda, emotions na mengineyo!!!!
Real player hakai miaka sita asee kwan kataga hapo!!???
Mie nijuavyo mtu akikuambia ile nyumba ndogo ujue hapo jamaa hachapi na kupita in a way kaweka kambi kimtindo sasa miaka sita kweli kama wazima abortion ngapi hapo kama sio kitanzi au vijiti basi pick up kama sio wheel barrow ishajaa vyondom!!!!!

Ukiona njemba imeoa na imekizima kipila na demu kwa muda huo ujue yuko tayari kwa lolote!!!!!!
 
Aaa wapi wewe kuwa small house ni zigo kama serikali ya mkwele! Hata kama unapewa kila kitu halafu huna hati miliki ya mume ni bure!
Inategemea lakini unahitaji nini! Nilishajaribu lol wivu ukawa unaniua! Halafu mume akirudi kwa mke wake we unahesabu kenchi usiku kucha!
Kukosa uhuru na mpenzi wako ni torture asikueleze mtu! Usipige simu, usitext, huwezi toka naye outing, huna confidence ya kumtambulisha popote wala yeye hathubutu! Ni mambo ya gizani kama popo akuu!
Inaweza work kama na wewe una wako na yeye ana wake!

Haaaaa ha ha haaa i wish ningekuoana ukisema haya maneno .......................unalilia penzi daaaamn asee ningecheka watu wanione chizi!!!!!!.............:A S-cry::A S-cry::A S-cry:
 
Wee sema hutaki kumuacha inaamana umeshindwa kumwambia kuwa humtaki tena!


Hata me naona anatafuta excuse ya kuendelea kuwa na huyo mwanaume, hakuna kitu kinaitwa kushindwa kumuacha mtu tena mtu mwenyewe mume wa mtu, usitudanganye bwana
 
Hivi mtu ana roho moja atapendaje wawili??? Anakuhadaa tu huyo mume. Kama huamini ngoja mkewe ajue tu...Jamaa atakuacha njia panda. Loooo... Waume nao kwa drama tuuu...Wacha wee...,,,
 
Utamuacha baada ya kumwagiwa tindikali na mwenye mali yake!


Hovyo sana! Eti nataka kumuacha lakini nashindwa, hebu tupishe hapa na uongo wako.
 
Najua siyo vyema kula tonge la mtu nimelijua hilo ndio maana nilijitahid kumuacha siyo vyema kabisa Lakin mwanaume ndio mgumu kuniacha nafanya vituko Vingi ili nimuuzi anichoke aondoke kwangu ndio nimeshindwa nikaja kwenu mnishauri
Tengeneza sinema ya fumanizi

Tafuta mwanaume yoyote unaemfahamu ajifanye yeye ndiye mwenye mali tena aje na marafiki zake wewe ukiwa na huyo mume wa mtu
 
Hivi mtu ana roho moja atapendaje wawili??? Anakuhadaa tu huyo mume. Kama huamini ngoja mkewe ajue tu...Jamaa atakuacha njia panda. Loooo... Waume nao kwa drama tuuu...Wacha wee...,,,


Unavyowapenda baba na mama yako una roho mbili!!!?????
Watu wana watoto tisa na wote wanawpenda !!!!

Au ulikusudia nini !!!?????
 
Tengeneza sinema ya fumanizi

Tafuta mwanaume yoyote unaemfahamu ajifanye yeye ndiye mwenye mali tena aje na marafiki zake wewe ukiwa na huyo mume wa mtu

Huyo mwanaume juha wa kupmambanisha ugomvi asioujua mbele wala nyuma unampata wapi!!!????
Unakumbuka Mkenya wa Ilala aliishia kula risasi kwa ugomvi wa shemeji!!!?????
Yuko wapi mama Ufoo Saro (R.I.P) kisa ugomvi wa mapenzi !!!!!!!

Leo umwambie mtu ooonh nataka ukajenge bifu la uongo na ukweli..............risasi haina uongo na ukweli!!!!!!!
 
Back
Top Bottom