Peter jaluo
JF-Expert Member
- Nov 10, 2013
- 1,750
- 253
Kaanaye mpk hapo utakapopata wako.utamwambie mambo ya ndoa atakuelewa
Tafuta marioo mlipe hela halafu tegesha fumanizi huyo mume wa mtu akufumanie ndani kwako!
Ila umeniuziiiiiiiii kutumika miaka 6 kama spare tyre lols!
K mileage si imeenda sana my siss?
Utamfirisha mtoto wa watu huyo marioo for no gud reason!!!!!!!!
Mji umechafuka huu for six years then umpeleke kifaranga huyo tena ndani kwa demu!!!!!!
Ajinunulie KY huyo marioooo................
We, koma acha kuharibu ugali wa wenzako. Mwache aanzishe familia na huyo kidume. Bado kidogo kitajaamama jitoe tu mapema if u want your own family... tell him kwamba for now u need to focus on your life na uwe na mpenzi ambae utaingia nae kwenye ndoa kama kweli anakupendi he will give u a space na we upunguze ukaribu nae that all
We, koma acha kuharibu ugali wa wenzako. Mwache aanzishe familia na huyo kidume. Bado kidogo kitajaa
Kaanaye mpk hapo utakapopata wako.utamwambie mambo ya ndoa atakuelewa
Kitendo cha kuishi mika ya kuibaiba 6 ameshazoea. Kuanza sasa maisha ya kubanana hataweza. Atakuja kupata shida baadaye. Mimi nadhani hata hizo mnazoita ndoa wakati kukicha kutafuta pesa kwa waume za wenzenu ni mbaya zaidi ya kujiiba. Nadhani huyu ni bora zaidi kuliko (BOFYA). Namshauri atulizane naye kwani hata kama ni uzinzi alishazini kwa sana.Ugali upi? Angekuwa anautaka asingehitaji ushauri. Wacha kumpotosha mwenzako au unapenda aendelee kuishi hayo maisha ya kujiiba iba. Mwache atafuta wa future kama ni familia ndani ya miaka 6 si angeshakuwa nayo.
We, koma acha kuharibu ugali wa wenzako. Mwache aanzishe familia na huyo kidume. Bado kidogo kitajaa
Habar ndugu zangu, Nashindwa kuelewa mpk sasa nimetokea kupendwa na mume wa mtu tangu niingie kwenye mahusiano cjawahi kuwa na mahusiano na mwanaume ambaye yupo single, amekuwa akinisaidia sana katka maendelea yangu mume wa mtu huyu ndie mshaur wangu hata iweje yupo mbele yangu kunijali ananipenda sana mara nyingne nawaza siwez kufika naye mbali tayar yy ameshakuwa na familia yake na Mimi nilazima nitakuwa na familia Yang tutaishi maisha haya mpk lini na tangu tujuane huu ni mwaka wa 6 najitahidi kumuacha lakini jamaa na yeye anapigana kutokuniacha mke wake mpk leo hajui kama mume wake ana mchepuko nje, nishaurini nahitaji na Mimi kuwa na maisha yangu nimpata mume wangu nitamtumikia huyu jamaa mpk lini? Nipeni hata njia mbadala matata ili niachane naye
Mke wa mtu SUMU ila mme wa mtu MTAMU. Bado kidogo jiandaemmmh bado lita ngapi ulete? sijaharibu ugali wake loh
Aaaaa wapi! Labda kama jamaa kamchoka mkewe! Lakini anaonyesha anamhara Nyumba kubwa kiasi kwamba miaka 6 kachepuka bila kugundulika!
Huyo ni wa kupanga fumanizi afirwe yeye!
Mtafute mkewe umwambie kama ulivyoandika hapa, hakikisha naye yupo!!!!
Hutoondoka bila ya suluhisho.......................wahi sasa wateja ni wengi!!!!!!!
Kwa hisani ya watu wa JF
Kitendo cha kuishi mika ya kuibaiba 6 ameshazoea. Kuanza sasa maisha ya kubanana hataweza. Atakuja kupata shida baadaye. Mimi nadhani hata hizo mnazoita ndoa wakati kukicha kutafuta pesa kwa waume za wenzenu ni mbaya zaidi ya kujiiba. Nadhani huyu ni bora zaidi kuliko (BOFYA). Namshauri atulizane naye kwani hata kama ni uzinzi alishazini kwa sana.
Wewe jipange uzae naye, kuwa na uhakika na kipato chako na uhakika wa kuendesha familia yako, hayo mengine yatakuja tu, na yasipokuja inshallah maisha yaendelee.