Mume wa mama mdogo ananirubuni anioe, nifanyeje?

Mume wa mama mdogo ananirubuni anioe, nifanyeje?

Yan mtu unafurahi kumsopoa mume wa mama yako mdogo haki ya nani hizi hela zitakumaliza
 
Yani uko tayar kuto elewana na mama yako mdogo kisa hela
 
NDANGA njoo huku kwa babu nikupitie kwanza ili nikukinge na rahana zinazoweza kukupata kwa kufanya uovu huo!!!
 
Last edited by a moderator:
Watu kama hawa ndio waliofanya lowasa akakatwa ndani ya ccm.
 
Acha tamaa. Kwanza badala useme Baba ako mdogo anakutaka,ww unasema mume wa Mama ako mdogo anakutaka.

Kwanza umri huo inabidi huwe shule.
 
Shetani yuko kazini.. Haya nenda kaendeleze mama yko alipoishia..
 
Hata kama umempenda lkn tambua huyo ni baba yako uon kama utaleta fedhea katika familia yenu kuwa na mahusiano ya kimapenz na ndugu yako
 
hahahahahahah una maneno khaa mbavu zangu.............huyo dada kaingiwa na pepo la ngono anasingizia anarubuniwa mara anampenda hata hajielewa kwa tamaa zake

Huyo ni zaidi ya pepo khaaa mtu anamtamani baba ake, yani hata pepo lenyewe linamuogopa
 
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 21. Nilianza kuwasiliana na mwanaume nisiyemjua tangu mwaka 2013. Mwanaume huyu anadai ananipenda na nikimuomba hela ananitumia na anaponiambia tuonane moyo wangu unasita.

Nimemchunguza mpaka nimemjua kumbe ni mume wa mama yangu mdogo. Mimi sijawahi kwenda kwa mama mdogo. Nikimwambia ukweli kuwa wewe ni baba yangu mdogo na mkeo ni mama yangu mdogo anakubali ukweli huo.

Lakini ananiambia eti ananipenda na hayuko tayari kunikosa na kuwa yupo tayari kumuacha mama mdogo ili anioe na mimi nimetokea kumpenda nifanyeje?Tangu tuanze kuwasiliana sijawahi kuonana naye ila tunatumiana tu picha kwenye simu.

Naombeni ushauri.
Naona hakuna jipya wewe Fanya maamuzi kama ulivyo kubali pesa zake na kumubudirisha
 
Si Umesema Na Ww Unampenda, Acha Ale Mayai! Maana Kuku Anae, Fika Nae Chumbani, Vueni Wote Nguo, Halafu Anza Kulia Jamani Bamdogo! Kitakachoendelea Leta Mrejesho.
 
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 21. Nilianza kuwasiliana na mwanaume nisiyemjua tangu mwaka 2013. Mwanaume huyu anadai ananipenda na nikimuomba hela ananitumia na anaponiambia tuonane moyo wangu unasita.


Kuna watu kweli mna nyota ya mbaazi faida pekee mliyonayo ni kusababisha mashuzi tu...

Mwanaume humjui, hujawahi kumuona halafu unaanza kumuomba hela...

Hivi mtu kama wewe na wenye tabia yako mkiitwa malaya kuna kosa?
 
aje 2 kwangu,npo tayar kurescue da situation,tel her aje PM
 
mmh kamalizie alichokuwa amekianza mama yako mdogo ptuuuuuu msichana mdogo ivo unapata tamaa kula makombo ya mama yako mdogo????? umempmenda au umependa pesa, picha zake au mwandiko wa meseji zake?
 
Back
Top Bottom