Mume poa lakini hatoi unyumba

Huyo mwanamme mwenzetu ana tatizo..... Kama mwanamke hajui mapenzi kamshitaki Kwa bibi yake... Bibi yake atamuelekeza.... Sasa ukijifanya unasusa wenzio wakija kula usipige kelele.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa ndiyo nini kutuandika kwa herufi kubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Ile msome vizuri mwelewe .mwanaume hata kama hajisikii kufanya lakini ukaishika mashine yake lazima itasimama mikono yenu nilaini sana nainajito lazima hisia zimpande .so nyie mnalala eti mnasubiri kila siku sisi ndo tuanzishe ..pambaneni nahali zenu so mnakuja kulialia hapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msikariri sana maisha, kwani ni sheria kwamba ni lazima yeye aanze kuonyesha kukutaka, wewe huwezi kumuanza na kumchokoza.. Huko nje kuna anaemvua nguo mwenyewe tena anaitafuta mwenyewe... Hakuna raha kama mke wako akitaka dudu na kuitafuta mwenyewe, mwanaume anajisikia poa sana... kalagabaho..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanawake wengi mkishaolewa tu basi hamjali tena kujipendezesha, mwanamke unatakiwa ujipende oga vzr nukia, vzr, vaa nguo za kumtamanisha, tatizo mnajiachia unamalizabkula ucku, unajitupa kitandan, hujaoga, hujapiga mswaki, mambo mengine mtatulaumu yu, tatizo mnajipenda pale tu ukiwa unatafuta, ukishawekwa ndan tu bas unasahau kila kitu, bas wacha ajilie vya inje vinavyotia hamasa.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…