Multiple selection second round

Multiple selection second round

Ngoja nikusaidie ndugu kiufupi ni kwamba vyuo vyote wamechelewesha majina kuyapeleka au kuwasilisha TCU majina yaliyowasilishwa ndio Yale yaliyotangazwa juzi pia ndio maana vyuo vinaendelea kufanya mchakato wa kuwajibu katika account zao maana majina ni mengi na muda ulikuwa mchache sasa ndio maana TCU wanafuata ratiba yao that's why walichelewesha badala ya 22 wakatoa tar 24

Hivyo vyuo husika still bado wanaendela na mchakato huo wa kuwapa taaraifa za majibu yao.

Tuweni makini kwa haya mambo na pia tujaribu kuwasiliana vyuo husika na siyo kuanza kuleta marumbano pia hapa n kwa ajili ya kujulishana mambo ya kieleimu zaidi na tukumbuke katika mchakato wa kuweka saw a majibu sahihi.

Wanafunzi wengi wana vigezo hivyoo hi I sec round vyuo husika walipata muda mchache kuwasilisha majina hayo TCU so kama unataka maelezo zaidi ningeomba ufike TCU watakuelewesha.
 
Yaani wewe unang'ang'ania nimewasiliana nao..nimewasiliana nao...hakuna anayekutaa kuwa hujawasiliana nao nachokwambia taarifa zako zilikuwa valid kipind ambacho unawasiliana nao but kwa sasa ni invalid ndo mana nakwambia usitoe taarifa ambazo ni invalid ulitakiwa uzitoe kipendi wawasiliana nao...kama taarifa zako ni valid how comes chuo ambacho hakijamaliza selection kionekane kwenye majina ya multiple wa second round??
Sawa inawezekana leo taarifa ni invalid

Jaribu wewe kuwasiliana nao leo tarehe 26 September 2018 saiv ni saa 5 asubuhi..then uje utuambia nini kinaendelea huko

Ahsante
 
samahani kama hutojali naomba nikuulize swali...

1-uli-apply chuo chochote !?

2-kama uli-apply umechaguliwa chuo chochote !?
Ok...ngoja nikujibu kama ifuatavyo...nilimaliza chuo mwaka 2015...sio kila unayemuona humu nayeye ka apply wengine tunawadogo zetu waliofanya application etc etc
 
Ok...ngoja nikujibu kama ifuatavyo...nilimaliza chuo mwaka 2015...sio kila unayemuona humu nayeye ka apply wengine tunawadogo zetu waliofanya application etc etc
Ok nimekupata

msaidie huyo mdogo wako basi na wengine tuliopo huku JF kupata taarifa nini kinaendelea.
 
Ok...ngoja nikujibu kama ifuatavyo...nilimaliza chuo mwaka 2015...sio kila unayemuona humu nayeye ka apply wengine tunawadogo zetu waliofanya application etc etc
Ngoja nikusaidie ndugu kiufupi ni kwamba vyuo vyote wamechelewesha majina kuyapeleka au kuwasilisha TCU majina yaliyowasilishwa ndio Yale yaliyotangazwa juzi pia ndio maana vyuo vinaendelea kufanya mchakato wa kuwajibu katika account zao maana majina ni mengi na muda ulikuwa mchache sasa ndio maana TCU wanafuata ratiba yao that's why walichelewesha badala ya 22 wakatoa tar 24
Hivyo vyuo husika still bado wanaendela na mchakato huo wa kuwapa taaraifa za majibu yao.
Tuweni makini kwa haya mambo na pia tujaribu kuwasiliana vyuo husika na siyo kuanza kuleta marumbano pia hapa n kwa ajili ya kujulishana mambo ya kieleimu zaidi na tukumbuke katika mchakato wa kuweka saw a majibu sahihi.
Wanafunzi wengi wana vigezo hivyoo hi I sec round vyuo husika walipata muda mchache kuwasilisha majina hayo TCU so kama unataka maelezo zaidi ningeomba ufike TCU watakuelewesha.
 
UDSM wameshatoa majibu kwenye account zenu and udom wamewapa tangazo LA kutoa majibu baadae bado mzumbe
 
UDSM wameshatoa majibu kwenye account zenu and udom wamewapa tangazo LA kutoa majibu baadae bado mzumbe
 
Tjaman mm nlichelew kuconfirm nlikua kijjin ckupata taarifa mapema nafanyajeee?
 
Tjaman mm nlichelew kuconfirm nlikua kijjin ckupata taarifa mapema nafanyajeee?
Tembelea website ya TCU wametoa majina ambao walichagulia awamu ya kwanza but hawajacomfrm then utajuwa kama upo au haupo alafu utawasiliana na chuo husika
 
Weng wametulia.. Nahis wana-majibu yao.. Wanasubir kuja kuomba tu ushaur
 
Wengi walikuwa UDsm wamejibiwa nahisi wengi wamekosa wanahangaika round ya tatu
 
Back
Top Bottom