Multiple selection second round

Multiple selection second round

Tembelea website ya TCU wametoa majina ambao walichagulia awamu ya kwanza but hawajacomfrm then utajuwa kama upo au haupo alafu utawasiliana na chuo husika
Jina lipo ndo nmeliona huko mkuu sema nafany kuwapgia chuo husks hawapokei cm
 
mzumbe University Jana ndio wamegoma kutoa majina ya sec round kama mtuu yeyote ambae amewasiliana nae hTujuze
 
Wadau naomba kuuliza hv Mwisho wa kuconfirm Chuo kwa wale wenye Multiple selection ni ln? Na ikiwa hadi sasa hujatumiwa Code unafanyaje ili uipate?
 
Hila kuna hivii vyuoo vitatu
UDSM
UDM
MZUMBE
ni pasua kichwa sijuwii wanataka wanafunzi wafanyaje
Sio kazi rahisi kama unavyofikiria kuna wajinga mpaka leo wamechaguliwa round ya kwanza na bado hawapigi simu kufanya confirmation popote , pia vyuo hivyo ni vikubwa ikitokea baadhi ya watu hawajafanya confirmation maana hata nafasi iliyobaki wazi haijulikani sababu unaweza ukaacha kumpa mtu nafasi kumbe uliyemuwekea haji , pia unaweza kugawa alafu akaja wakati nafasi haipo , alafu hivyo ni vyuo vikubwa kuanda list sio kazi ya kitoto nafasi bado zipo nyingi watu wa kufanya confirmation ndio wanazingua , kuna mtu namfahamu amechaguliwa multiple na jina lake hata kwenye list ya TCU halipo
 
Sio kazi rahisi kama unavyofikiria kuna wajinga mpaka leo wamechaguliwa round ya kwanza na bado hawapigi simu kufanya confirmation popote , pia vyuo hivyo ni vikubwa ikitokea baadhi ya watu hawajafanya confirmation maana hata nafasi iliyobaki wazi haijulikani sababu unaweza ukaacha kumpa mtu nafasi kumbe uliyemuwekea haji , pia unaweza kugawa alafu akaja wakati nafasi haipo , alafu hivyo ni vyuo vikubwa kuanda list sio kazi ya kitoto nafasi bado zipo nyingi watu wa kufanya confirmation ndio wanazingua , kuna mtu namfahamu amechaguliwa multiple na jina lake hata kwenye list ya TCU halipo
Nakuelewa sana na ndio maana wanaweka round tatu za kufanya udahili hilii kuweza kutambua ni mwanafunxi gani ambar amekosa nafanya na ambae amepata nafasi .

Mzumbe mpaka sasa hawajatoa sec round na ukiwapigia simu watakwambia wenyeee hawajuwi wanafanya nn sasa unadhani hapo Wanafunzi watafanyaje .

Pia Udom nao system inasumbua
Sasa mpaka muda huu mwanafunxi hatambui atma yake ni mini

Je kwa ucheleweshaji wa majibu n tatizo LA TCU au chuo husika?
na pili kama ni chuo husika wamechelewesha majina na round ya tatu ishafungwa nini mwanafunxi atafanya kwa tatizo hill?
 
Sasa hiv muda huu ninaokutumia hii message nimetoka kumuombea mtu round ya tatu udom muda bado haujafungwa sio kweli.
 
Round ya tatu hii nimetoka kumfanyia mtu application sio kweli kwamba usajili umefungwa
Screenshot_2018-09-28-11-09-22.jpeg
 
Back
Top Bottom