Muhudumu wa afya na mwanafunzi wa udaktari (intern) hospitali ya wilaya Kaliua, mkoani Tabora wasimamishwa kazi kwa kufanya mapenzi wodini

Duuuu

Au huyu hapa

3014544_JamiiForums1566262050.jpg


Kwani yule mama mwenye matako makubwa chakula ya mabosi aliyeko pale TANA makao makuu dodoma anasemaje?
 
Mkuu wa wilaya ya Kaliua, Paul Chacha amewasimaisha kazi watumishi wawili wa hospitali ya wilaya hiyo kwa tuhuma za kushiriki mapenzi hovyo wodini.

Chacha amesema awali ulifanyika uchunguzi baada ya wagonjwa kulalamikia vitendo vya wauguzi hao kufanya mapenzi wodini wakiwa zamu za usiku.

Mmoja wa wahudumu hao alikuwa kwenye mafunzo ya vitendo na mwenzake alikuwa ni mtumishi wa hospitali hiyo.

Chanzo : CG Fm
Nani alikuwa anamfundisha mwenzake?
 
haya maisha haya........unaambiwa wiki hii yote niko - "NIGHT SHIFT" .........duhhhh....na unampeleka mwenyewe unamuendesha ukimshusha na buuuusu maridadi..............kumbe kuna kashonzi anamkazia kwenye kale ka chumba ka kugawia dawa wagonjwa.....pambaaf sana....
 
Siku chache baada ya mganga wa Hospitali ya Wilaya ya Kaliua mkoani Tabora, Irene Apina kusimamishwa kazi kwa tuhuma za kukataa kumpa matibabu mtoto wa miaka mitano, wauguzi wawili wa hospitali hiyo wamesimamishwa kazi kwa vitendo vya utovu wa nidhamu.

Watumishi hao, mmoja anatuhumiwa kufanya mapenzi wodini na daktari ambaye yupo katika mafunzo kwa vitendo huku mwingine akituhumiwa kuwa kinara katika utoaji wa mimba.

Katika kikao chake na watumishi wa sekta ya afya, Mkuu wa Wilaya ya Kaliua (DC), Paul Chacha aliwasimamisha kazi watumishi hao.
 
Aibu kubwa......

Mh.DC Chacha Kongole kwa maamuzi hayo.......

Ifikie mahali watu wasizizoee KAZI kama wanavyozoea MAJUMBA yao.......


#Siempre JMT
 
Back
Top Bottom