Muhudumu wa afya na mwanafunzi wa udaktari (intern) hospitali ya wilaya Kaliua, mkoani Tabora wasimamishwa kazi kwa kufanya mapenzi wodini

Huyo mkuu wa wilaya anayefukuza wataalam adimu yeye amesoma mpaka level gani?
Wivu tu.
Kweli mtu utadiriki kufanya mapenzi wodini wakati Kuna vile vyumba vya manesi?
Sasa hao wagonjwa acha wafanye umbea madaktari wafukuzwe tuone watatihiwa na Nani.
Wagonjwa huwa wanamambo ya ajabu sana, unaweza wahudumia vizuuuri ukifanya kakosa kadogo tu masikio yamesimama alafu unakuta ni kijiji kijiji kweli ambapo wakipeleka mtumishi mwingine anakimbia hizi kazi bhana.
 
Huyo muuguzi huenda akili yake iko kwenye papuchi....anawaza kwa kutumia papuchi..na hata kipindi anasoma chuo papuchi yake aliitumia kuwagawia waalimu wake ili ashinde mitihani ya semister......HUYU MUUGUZI APEWE A.K.A YA PAPUCHI MUUGUZI
Tuache utani papuchi ni tam wewe na papuchi ndio zinatufanya tutafute wewe, unafikiri bila papuchi utaishi? Papuchi ndio kila kitu.
 
Wafukuzwe tu maana hawana akili, wanafanyaje mapenzi kwenye eneo la kazi hadi kuamusha hisia kwa wagonjwa.......au ndo vyuma vimekaza hadi watu hawawezi kwenda sehemu za faragha.
 
Nakuonaga una busara sana na mawani yako kumbe na ww ni walewale maji mara moja
Kama unashindwa kumuheshimu mtu ambaye hukuwahi hata kumuona nadhani hata unapoishi hauna heshima relax sio kila kitu uchukulie serious
 
Tabia ya wafanyakazi sekta ya afya kufanya uzinifu wakiwa kazini imekuwa komavu.

Nafikri sasa ifike hatua serikali kuongeza nguvu ktk kudhibiti vitendo vya utovu wa nidhamu makusudi.
 
Mkuu wa wilaya ya Kaliua, Paul Chacha amewasimaisha kazi watumishi wawili wa hospitali ya wilaya hiyo kwa tuhuma za kushiriki mapenzi hovyo wodini.

Chacha amesema awali ulifanyika uchunguzi baada ya wagonjwa kulalamikia vitendo vya wauguzi hao kufanya mapenzi wodini wakiwa zamu za usiku.

Mmoja wa wahudumu hao alikuwa kwenye mafunzo ya vitendo na mwenzake alikuwa ni mtumishi wa hospitali hiyo.

Chanzo: CG FM

======

Siku chache baada ya mganga wa Hospitali ya Wilaya ya Kaliua, Irene Apina kusimamishwa kazi kwa tuhuma za kukataa kumpa matibabu mtoto wa miaka mitano, wauguzi wawili wa hospitali hiyo wamesimamishwa kazi kwa vitendo vya utovu wa nidhamu.

Watumishi hao, mmoja anatuhumiwa kufanya mapenzi wodini na daktari ambaye yupo katika mafunzo kwa vitendo huku mwingine akituhumiwa kuwa kinara katika utoaji wa mimba.

Katika kikao chake na watumishi wa sekta ya afya, Mkuu wa Wilaya ya Kaliua (DC), Paul Chacha aliwasimamisha kazi watumishi hao na kila mmoja kumpa tuhuma zake.

DC Chacha amesema kuwa baada ya kuwasimamishwa kazi, tayari kuna timu imeundwa kuchunguza tuhuma zao.

Amesema kuwa muuguzi wa afya katika hospitali hiyo ambaye jina limehifadhiwa anatuhumiwa kwa kuwa kinara wa utoaji mimba huku mhudumu wa afya akilalamikiwa na wagonjwa kufanya mapenzi wodini na daktari ambaye yupo kwenye mafunzo.

"Kama huyu mtu ni daktari akiwa mafunzoni maana yake ndio kipindi cha matazamio halafu bado mnamuacha hapo anafanya nini? Taarifa yake iende mbaya kuwa hafai" amesema Mkuu huyo wa Wilaya

Daktari huyo aliye mafunzoni anatuhumiwa kufanya mapenzi wodini ambapo inadaiwa wagonjwa wamekuwa wakikerwa na kitendo hicho na kuanza kulalamika.

Mkuu huyo wa wilaya amesema hataki kuona mambo yasiyofaa katika Wilaya anayoiongoza na kwamba hatasita kuchukua hatua stahiki lengo ni kukomesha tabia mbaya na watumishi wawe mfano kwa kutoa huduma bora kwa wananchi.

Mwananchi
Chacha amesema awali ulifanyika uchunguzi baada ya wagonjwa kulalamikia vitendo vya wauguzi hao kufanya mapenzi wodini wakiwa zamu za usiku.
 
huyo DC aache kutafuta umaarufu wa kisengerema kuna tume ya watumishi wa afya, kuna mwajiri wao ambaye ni DED sasa inakuaje mtu mmoja tu aliyeteuliwa tena kwa sifa anazojua mteuzi wengine hatuzijui awe na mamlaka ya kufukuza kazi mtu aliyeingia kazini kwa sifa zinazotambulika?
Hajawafukuza kazi ametoa maagizo ya kusimamishwa kazi.

Mkuu wa wilaya ni mwakilishi wa serikali katika halmashauri husika ambaye ana wajibu wa kusimamia utekelezaji wa shughuli za serikali za mitaa na serikali kuu ktk eneo lake

Ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama na anao wajibu wa kusimamia maadili ya watumishi wa umma ktk eneo

Kwa lugha rahisi DC ni kama mwakilishi wa Rais ktk eneo la wilaya yote amavyoona mambo hayaendi inavyotakiwa ana wajibu wa kuyashughulikia.

Mtumishi wa sekta ya afya ukienda kinyume na kazi yako DC anao uwezo wa kumwagiza Mwajiri wako kuchukua hatua.
 
haya maisha haya........unaambiwa wiki hii yote niko - "NIGHT SHIFT" .........duhhhh....na unampeleka mwenyewe unamuendesha ukimshusha na buuuusu maridadi..............kumbe kuna kashonzi anamkazia kwenye kale ka chumba ka kugawia dawa wagonjwa.....pambaaf sana....
Na waume zao huko nje huwa wanatumia nafasi hizo hizo vizuri Sana.. ..
 
sema na hizi uniform za manesi zinachangia kusababisha ulaji wa tunda,wengi wanazibana cio wagonjwa na madaktari wanatamani.
 
Back
Top Bottom