Muhongo atoroka!

Muhongo atoroka!

Muhongo angejifunza kwa Masilingi enzi za kubinafishwa kwa Kilimanjaro Hotel
Vurugu na Mume wa K-Lyn havijawahi kumuacha mtu salama.

Ile Mengi kuambiwa ana mtaji wa kuwekeza kwenye juice na maji ya kufunga ilimuuma sana.Muhongo atajuta,hawa Maprofesa sijui huwa wanafuata nini kwenye siasa
Unajua maprofessor wengi huwa wanajiamini na kiburi kinatokana na elimu yao. Umemsahau mzee Mbilinyi? Dharau zake zililifanya Taifa likose mmoja wa mawaziri nguli wa fedha sababu ya dharau yake alipoambiwa kuwa ana wezi katika wizara yake kina Kilonsi Mpolongonyi watu wa deal alitumia lugha kama ya Muhongo. Balali pia dharau zake na imani kwa watendaji wake wa chini ilimfikisha pabaya maana maisha yake yote alizoea kufanya kazi na watu waaminifu bank ya dunia na alikua nje ya nchi kwa miaka zaidi ya 20 aliporudi alidhani Tanzania ni kama ile ya Nyerere dharau zake zilipelekea kutufikisha katia EPA. Wasomi wetu siyo wabaya ila hulka yao ya dharau kwa usomi wao inawafanya washindwe na wachakachuaji wa vyeti kama kina Bashite.
 
Tufanyeje ili uzalendo wa zamani uturudie tuache kushabikia yasiyojenga nchi? Tumewapa nguvu sana Mawaziri tukasahau bunge! Haiwezekani tulie na Waziri tuu,wakati mambo yote anayotenda yanajadiliwa na kupata baraka za bunge. Kwa nini waliompa baraka wasikimbie akimbie yeye? Ninajua kuna sheria inamruhusu kuamu jambo,lakini hiyo sheria pia hiyo sheria imetungwa na kupitishwa na wabunge. Nanashauri bunge liongeze ufanisi.
wabunge ambao sisi wananchi tumewachagua

Kwa hiyo changes begin with us

Tuchague watu wenye akili timamu
 
Muhongo angejifunza kwa Masilingi enzi za kubinafishwa kwa Kilimanjaro Hotel
Vurugu na Mume wa K-Lyn havijawahi kumuacha mtu salama.

Ile Mengi kuambiwa ana mtaji wa kuwekeza kwenye juice na maji ya kufunga ilimuuma sana.Muhongo atajuta,hawa Maprofesa sijui huwa wanafuata nini kwenye siasa
Wanafuata pesa za bure bure
 
Hivi ile sheria ya degree kuwa minimum requirement kwa waandishi wa habari ilipitishwa?
Sielewi inakuwaje hiyo taarifa ina register headline kwenye gazeti kubwa kama hilo...aibu sana hii
Kanusha kwa ushahidi kama hajatoroka
 
'sijapata kuona waziri muongo kama huyu prof.Muhongo..

narudia tena! ...Sijapata kuona waziri muongo kama huyu prof.Muhongo..' by Tundu Lissu
Lissu ni tunu ya taifa
 
Kwa Nipashe habari ya Muhongo sidhani kama naweza kuiamini sana, nakumbuka Muhongo alimwambia mzee Mengi akawekeze kwenye juice, gesi siyo mziki wake.
Utaamini tu nami nilimkuta kijijini kwao akisubiria ugali wa muhogo na sato
0b63487656eb8544511b9f22cf33ae5c.jpg
 
kamata mwizi huyo

CCM walikata viuno hapa kumtetea Muhongo kwenye issue ya Escrow sasa leo sijui wataficha wapi sura zao
 
Waziri Mwiguli alisema hao watuhumiwa wa makinikia hawataruhusiwa kutoka nje ya nchi isipokuwa kwa kibali maalum sasa yeye katokaje na ameenda wapi?
 
...slip of the finger...Unaweza kuonekana sio "msomi" kwa vijimakosa vidogo vidogo kama hivi.
sasa the ya nini, what are you particularizing? by the way humu ni mahali mizaha mizaha. Nikifanya hivi kwenye thesis au publication, kwenye peer reviewed journal/or any journal, then you can raise concern!
 
Utaamini tu nami nilimkuta kijijini kwao akisubiria ugali wa muhogo na sato
0b63487656eb8544511b9f22cf33ae5c.jpg

Mkuu inaweza kuwa kweli, nilichokiwaza ni ile bias waliyonayo IPP kwa huyu mjamaa toka enzi za JK.

Kwa hiyo taarifa yoyote mbaya ya jamaa wao wanai-amplify.
 
Back
Top Bottom