Hayo ni kwa mujibu wa tafsiri yako tuu, hakuna njia ya kukusaidia uelewe tofauti na unavyoelewa.Pamoja na hayo gazeti linajishushia heshima kabisa...Mtu ukisoma headline hapana shaka yoyote utaungansha habari ya makinikia na siyo suala la utoro wa Bunge.....Ni kwamba mmiliki wa gazeti hili ana bifu na Muhongo kwa masuala ya vitalu vya mafuta.....
Wewe mwenyewe huna mpango wa kuinua uchumi wako binafsi na familia yako - Maisha yamekushinda umebaki kuporomosha matusi tu ya lawama humu. Kwanini unadhani kuinua uchumi wa Taifa zima ni kazi ya muda mfupi ?
Muhongo anajuta kurudi nchini angejua.......lakini ninge ange.....ni majuto mjukuuu!!!
nasikia singa walimwambie aje asaini mkataba wa iptl kuja bongo ndo akakamatwa eti .alikuwa zake nje siku nyingi.jamaaa mroho wa hela sana.nampongeza muhongo kukimbiaMuhongo angejifunza kwa Masilingi enzi za kubinafishwa kwa Kilimanjaro Hotel
Vurugu na Mume wa K-Lyn havijawahi kumuacha mtu salama.
Ile Mengi kuambiwa ana mtaji wa kuwekeza kwenye juice na maji ya kufunga ilimuuma sana.Muhongo atajuta,hawa Maprofesa sijui huwa wanafuata nini kwenye siasa
Bila kumuingiza lowasa Hamna rahaalowasaa nae namshauri atafute nchi ya kukimbilia
Anajuta... Kwani kuna mtu alimlazimisha ashiriki kwenye ufisadi!Muhongo anajuta kurudi nchini angejua.......lakini ninge ange.....ni majuto mjukuuu!!!
Halafu mtu kama wewe unaweza kukuta unaosha vyombo au kuwaogesha wazungu uko Kwai....pathetic!!Gazeti lenyewe nipashe sishangai kilichoandikwa humo na sio mara ya kwanza kumwandika vibaya profesa wa ukweli ila suala la uwemezaji kwa wawekezaji WA kibongo bado sana
Kitu gani hujaelewa? Katoroka bungeni maana toka atumbuliwe hajaonekana bungeni bila ruhusa ya spika. Huo ni utoro.Hivi lile agizo la kuzuia wasiende nje ya nchi lilishindikana kutekelezwa?
Yaani usipochomekea kizungu hujisikii kabisa....lise wise Tibaijuka!
Shule zipi zile zilizosaini mikataba ya kifisadi??Wasomi ndio walioiharibu hii nchiShule muhimu sana