Muhongo atoroka!

Muhongo atoroka!

Hivi ile sheria ya degree kuwa minimum requirement kwa waandishi wa habari ilipitishwa?
Sielewi inakuwaje hiyo taarifa ina register headline kwenye gazeti kubwa kama hilo...aibu sana hii
Minimum requirement ni diploma kwa mujibu wa sheria mpya. Ingawa sina uhakika kama stori hii ni ya kweli au la, gazeti la Nipashe limekuwa likishuka kiwango kwa kasi ya ajabu kwa siku za karibuni. Habari wanazozipa uzito wakati mwingine zinakuwa shallow mno kiasi cha kushangaza. The Guardian linafanya vizuri. Inawezekana kuna tatizo kwenye safu ya wahariri!
 
  • Hii habari ni kweli au ni kutaka tu kuuza gazeti?
  • Sitashangaa gazeti hili likijikuta linatakiwa kumuomba radhi Muhongo
  • New-Doc-2017-06-22_17-686x950.jpg
unajua reservation ya mmiliki wa chombo hiki juu ya prof mhongo?
 
Mleta mada umesoma vizuri undani wa habariii!??

Umesoma vizuri hicho kichwa cha gazeti au umechukulia kama gazeti la udaku...

Unakta kichwa cha habari "AMINA CHIFUPA AFUFUKA DAR"
Unakimbilia kupost kumbe mwandishi amekumbuka siku yakuzaliwa ya marehemu amina chifupa.

Ushauri wangu kuwa makini!!
We nae vp.... Gazeti liko plain clear.... MUHONGO ATOROKA....

ulitaka nini tena!??
 
'sijapata kuona waziri muongo kama huyu prof.Muhongo..

narudia tena! ...Sijapata kuona waziri muongo kama huyu prof.Muhongo..' by Tundu Lissu
Haya maneno hakuyasema "TL" aliyasema Hamisi Kigwangala.
 
Ni habari ya kuuza gazeti lakini sidhani kama ina ukweli wowote.
 
Labda atakuwa amerudi kutumikia taaluma yake ya Jiolojia huko botswana,siasa nayo kwa mtu msomi inahitaji uvumilivu sana
 
Huu ni uandshi wa habarii wa kiwango cha chini kabisa.....upo wakati mmliki wa gazeti hili alikuwa na matatizo na muhongo kuhusu umilikii wa vitalu vya uchimbasji mafuta...sasa haya ndiyo matokeo yake....Yaani hapa ndipo mtu unapoona matatizo ya waandishi wa habari nchini mwetu....
Mwandishi hajasema kuwa muhongo katoroka nchini, mwandishi kasema "KATOROKA"
Ni kweli katoroka bungeni kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa katibu wa bunge.
Nini kinawashinda kuelewa.
 
Wamwache kwanza. Wampe likizo atule hasira zake ziishe kwanza, maana kupokwa cheo hasa cha uwaziri inauma balaa. We si unamchekshia Nape. Katokwa povu wee, mpaka sasa naona hasira zake zimepungua...
Hahaa
 
We nae vp.... Gazeti liko plain clear.... MUHONGO ATOROKA....

ulitaka nini tena!??
Hahaha Uspanic..
KUWA MAKINI!!
Soma habari siyo kichwa cha habari..

Soma kitabu siyo jina la kitabu.
Bahati mbaya sana hata hicho kichwa cha habari umeishia kwenye neno toroka!!

Soma habari then rudi hapa unijibu Mhongo katoroka kweliiii!?
Nakatorokea wapi!!?

Vinginevyo I have the freedom to disagree with you just as u have the right to defend your mediocrity!!
 
Mawaziri wa nchi hii ya TZ ni ajabu kweli
1. Prof. Muhongo - amekuwa mwongo aliyebobea
2. Dr. Mpango - Hana mpango unaoeleweka wa kuina uchumi.
 
Hivi lile agizo la kuzuia wasiende nje ya nchi lilishindikana kutekelezwa?
 
Mawaziri wa nchi hii ya TZ ni ajabu kweli
1. Prof. Muhongo - amekuwa mwongo aliyebobea
2. Dr. Mpango - Hana mpango unaoeleweka wa kuina uchumi.
Wewe mwenyewe huna mpango wa kuinua uchumi wako binafsi na familia yako - Maisha yamekushinda umebaki kuporomosha matusi tu ya lawama humu. Kwanini unadhani kuinua uchumi wa Taifa zima ni kazi ya muda mfupi ?
 
Back
Top Bottom