Muhamad pekee ndiye aliyeweza msilimisha Shetani

Muhamad pekee ndiye aliyeweza msilimisha Shetani

Nishaelezea au hujaona?.

Yakobo hajawah pigana vita na mtu yoyote,. Kwanini ikaandikwa amepigana na binadam na akawashinda?.

Nijibu hili
28 Akamwambia, Jina lako hutaitwa tena Yakobo, ila Israeli, maana umeshindana na Mungu, na watu, nawe umeshinda”
UMESHINDANA NA MUNGU NA WATU NAWE UMESHINDA.
Ndugu yangu kusoma haujui hata picha?
Wapiii aya inasema yakobo alipigana na malaika na sio Mungu?
 
28 Akamwambia, Jina lako hutaitwa tena Yakobo, ila Israeli, maana umeshindana na Mungu, na watu, nawe umeshinda”
UMESHINDANA NA MUNGU NA WATU NAWE UMESHINDA.
Ndugu yangu kusoma haujui hata picha?
Wapiii aya inasema yakobo alipigana na malaika na sio Mungu?

Twende taratibu.
Tuache na hilp kupigana na Mungu.

Amesema pia kapigana na Binadam na akamshinda.
Ni wap Yakobo alipigana vita?.
 
Tenganisha Allah na Mungu wa Biblia.

Hawahusiani.
Tuacheni na Mungu wetu😂😂😂😂

Mungu wa biblia ipi ?? KJV, NKJV, AV, Douay au maelfu ya biblia yaliyo tofauti ??
 

Attachments

  • Bibles.mp4
    8.2 MB
Mungu wa biblia ipi ?? KJV, NKJV, AV, Douay au maelfu ya biblia yaliyo tofauti ??

Kuwepo kwa nakala za Biblia tofauti hakutaji Mungu tofauti.

Mungu ni yule yule.

Ila hakika sio allah.

Allah ni moja ya miungu ya kipagan.
Quran 38:5
"Amewafanya miungu wote kuwa ni Mungu Mmoja tu? Hakika hili ni jambo la ajabu."
 
Haya mapya mengine 🤣🤣🤣.kumbe huko Mungu yenu KUDUNDWA NA VIUMBE VYAO NI KAWAIDA.nitakufa muislam innshaalllaah
Mbona mungu anatukanwa na wanadamu hata sasa na afanyi chochote au hii ya mungu muweza wa yote mtukufu wa watukufu kutukanwa siyo ajabu ?
 
Hiyo ni novel tu, haina jipya na wala haimaanishi Quran
Inaelezea vitu vingi sana kwenye migongano ya identity, uhamiaji, dini na migongano ya kitamaduni na humo kuna sehemu (Haraniq episode)anasema kuna aya Mtume alihisi kuwa zilikuwa na influence ya shetani hasa wakati alipokuwa ana waasa waqureshi kuachana na ibada ya masanamu/upagani/ .
Na hii ni maono yake tu na alitumia tu kama metaphor kwa mashaka yake , ushawishi na mgongano wa maadili hatimaye kiutamaduni na kisiasa.
Kikubwa ni uelewa katika muktadha wa kihistoria , maandiko na kiroho i.e theological/spiritual

Ingekiwa novel tu asingetangaziwa FATWAH. au Dogo wewe haujui haya mambo? Waambie wakubwa zako watakuambia.
 
Muda mwingine unatakiwa uwe na hoja na usitangulize chuki mbele
Hebu tuambie ni andiko gani linataja ndoa za watu na majini?
Daaaah.... Unakata hili jambo? Majini ni ndugu zenu si ndugu zenu? Macca wana msikiti hawana? Sheikh Sule alishasema mara kadhaa kuwa mnaoa na Sheikh Shariff ana video ipo you tube amemwozesha binadamu na jini. Je hawa si Waislamu? Mimi niwachukie waislamu? Nina asili ya uislamu sheikh wangu ndo maana nayafahamu haya nenda Msikiti wa Ngunde kule Mji Mpya kaulize mzee wangu ni nani
 
Daaaah.... Unakata hili jambo? Majini ni ndugu zenu si ndugu zenu? Macca wana msikiti hawana? Sheikh Sule alishasema mara kadhaa kuwa mnaoa na Sheikh Shariff ana video ipo you tube amemwozesha binadamu na jini. Je hawa si Waislamu? Mimi niwachukie waislamu? Nina asili ya uislamu sheikh wangu ndo maana nayafahamu haya nenda Msikiti wa Ngunde kule Mji Mpya kaulize mzee wangu ni nani
Kumbe ni mambo ya Sheikh Sule Sheikh sharif na baba yako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom