Muhamad pekee ndiye aliyeweza msilimisha Shetani

Muhamad pekee ndiye aliyeweza msilimisha Shetani

Usibishie wataalamu wa dini na dini yenyewe na muhamd
Sawa kuna mhubiri wa kikristo alisema mumewe alijaza jiko la gesi kwa mdomo na pia akasema ni bora mwanaume akazini kuliko kulala
Usibishie wataalamu wa dini!
 
Hawa wana elimu kubwa sana ya dini uwaheshimu wewe dogo. Unamfaham sheikh shariff majini?

Kuliko huyu mtakatifu unayemwomba

Saint Sebastian as a gay icon




1756794566280.jpeg
 
Shetani wote ni wakristo huwa mmojammoja husilimu na akawa jini, kuna mashetani watu ambao ni wakristo na shetani kiumbe kisichoonekana ovyo ni wa kristo
 
Soma hiyo
 

Attachments

  • 7CBBC51B-4916-49C2-BC09-2646D679F947.jpeg
    7CBBC51B-4916-49C2-BC09-2646D679F947.jpeg
    1.1 MB · Views: 20
Sahihi kabisa nashindwa kuelewa akili za wakristo zilivyo kinyume nyume wanakataa ndoa za wake wengi wanafungisha za jinsia moja, wanashangaa majini kuamini quran but wanakubari kupuliziwa gas, na kuuziwa mchanga
Kwamba majini ni ndugu zenu 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Proud to be muslim
 

Attachments

  • 26BF0BDD-2F4A-4035-9651-1B58F71D5C74.jpeg
    26BF0BDD-2F4A-4035-9651-1B58F71D5C74.jpeg
    358.3 KB · Views: 18
Kitabu cha Siri ya Majini UK. 20 kimeandika kwa lugha ya Kiswahili rahisi, kimeeleza hivi:

“Tangu mwanzo, shetani amekuwa adui wa wanadamu. Adam na Hawa walijaribu kumpinga, lakini hawakumuweza kumsilimisha. Mitume wote waliokuja baada yao walipambana naye, lakini walibaki wakidanganya na kushawishiwa na shetani. Ila ni Mtume Muhammad pekee ndiye aliyeweza kumsilimisha shetani wake, na akawa shetani wake hakumwongoza ila kwenye mambo ya kheri.”

Shetani alisilimishwa na Muhamad na akawa ana mwongoza katika "mambo ya kheri"
Hii mpya!
Kwa hiyo shetwain ni mwislamu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom