MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,484
- 20,437
Naaam,
Msiba ukitokea katika jamii za watu wa Mugumu, basi hapo msibani watu watakula chakula kisichokuwa na chumvi mpaka siku marehemu atakapohifadhiwa ndio tutarudi kwenye utaratibu wa kawaida.
Labda ikitokea mwili ukakaa mochwari miezi miwili, basi tutakula chakula miezi yote miwili bila chumvi mpaka siku tutakapozika.
Kwa hiyo siku mkisindikiza misiba upande huu mje mmejiandaa kisaikolojia kabisa.
Msiba ukitokea katika jamii za watu wa Mugumu, basi hapo msibani watu watakula chakula kisichokuwa na chumvi mpaka siku marehemu atakapohifadhiwa ndio tutarudi kwenye utaratibu wa kawaida.
Labda ikitokea mwili ukakaa mochwari miezi miwili, basi tutakula chakula miezi yote miwili bila chumvi mpaka siku tutakapozika.
Kwa hiyo siku mkisindikiza misiba upande huu mje mmejiandaa kisaikolojia kabisa.