Naona namba mmeshaisoma sasaBaada ya kupotea hewani kwa siku kadhaa naona Startv wamerudi hewani.
Je wameweza kulipa deni walilokua wanadaiwa na TRA au wamenegotiate na kufikia muafaka?
All in all heko kwa Diallo kwa kupambana na kufanikiwa kurudisha chombo chake cha habari maana kuna watu walidhani itapigwa mnada.
Sent using Jamii Forums mobile app
While ni mwenyekiti wa CCMHana hamu na CCM tena.
TCRA hawajawah kuwafungia SAHARA MEDIABaada ya kufungiwa na TCRA takribani wiki mbili zilizopita kwa ukwepaji wa kodi sasa vyombo vya utanfangazaji vya Sahara media ([emoji93] tv, Radio free Africa na KISS FM RADIO) Usiku huu vimerudi angani mubashahara!!
Ni Imani yangu watakuwa wameweka Sawa mambo!!
Sent using Jamii Forums mobile app
TCRA hawajawah kuwafungia SAHARA MEDIABado ijafahamika mkuu Baada ya kufungiwa na TCRA kwa ukwepaji wa kodi sasa vyombo vya utanfangazaji vya Sahara media ([emoji93] tv, Radio free Africa na KISS FM RADIO) Usiku huu vimerudi angani mubashahara!!
Ni Imani yangu watakuwa wameweka Sawa mambo!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukaona au UKASKIA?katika pita pita zangu kusearch radio nkaskia kama radio free baada ya kuskiliza kwa makin nkaon n kwel
sasa sijui wamelipa hilo den ama wamesamehewa ili waanze upya ama wamepunguza den hlo
mwenye details kuhusu hili suala atupee tafadhal
ila n funzo kwa medioa zngine kama wanadaiwa nadhan watakuwa wameshakimbia kwenda kulipa maden yao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikajua mr kuwaitMkulu=braza k
Wakukurupuka
Hahaha, uko poa lknNikajua mr kuwait
Safi sana, haujambo lakini?
Mimi nilimiss magazeti rfa sa 12:30. Redio zingine hawasomi vizuri. Nikikosa hiki kipindi huwa nawahi clouds 360 nao huwa wanachambua vizuri. Hongereni! Mhakikishe mitambo inakaa sawa usiku huu ili asubuhi tupate habari za magazetini tokea Dar. Maana kabla hamjafungiwa redio yenu ilikuwa inakoroma balaa hasa huku mikoa ya mipakani
Sijambo Elly, mambo vipi?Safi sana, haujambo lakini?
Akili yako ndogoSijakuelewa, umeandika nini?