Lloyd Munroe
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 7,448
- 19,741
Moja ya jeshi lenye maigizo mengi ambayo upande wa pili ni VIDONDA kwa watendewa na familia zao.
Akili yako ni ndogo wewe. Ulichagua jina sahihi kabisa mjingamimiKama mbowe alikosea TUSEME UKWELI alikosea
Unaweza kuniambia urafiki wa mbowe na urio ulikuwa unahusu Nini?
zimekutwa calls,sms na miamala ya simu ya mbowe kwenye simu ya urio unaweza kutolea ufafanuzi?
"UWE NA AKILI HURU"
JIFUNZE KUHOJI
Akili yako ni ndogo wewe. Ulichagua jina sahihi kabisa mjingamimi
Hizo calls, sms na miamala ya pesa kama ulifuatilia dodoso za mahakamani na kuwa na uelewa, huwezi kuwa na hoja za kiwango cha chini hivi. Badili jina ndugu mjingamimi unatia aibu.
Walipoona Hamza kanyamazisha wakajua ni rahisi kumnyamazisha mtu na kuchukua chake.
Siro alifuga paka Sasa kageuka mbwa mwitu
Kama mbowe alikosea TUSEME UKWELI alikosea
Unaweza kuniambia urafiki wa mbowe na urio ulikuwa unahusu Nini?
zimekutwa calls,sms na miamala ya simu ya mbowe kwenye simu ya urio unaweza kutolea ufafanuzi?
"UWE NA AKILI HURU"
JIFUNZE KUHOJI
Mpaka wamfagieSiro ana subiri nini ofisini?
...💪💪💪...Police force should be reformed Tobe police service
kwani kesi ya mbowe imeishaje?
Kama alijichanya mwenyewe ulitaka nimtetee vipi?
unaanza vipi kumtafuta mwanajeshi akutafutie walinzi?
Mbowe alijua urio atawatoa wapi hao walinzi?
KATAA UNYUMBU
Siyo kwamba hauna akili ya kushikiwa tu lakini pia hauna hata kidogo ndiyo maana unapojadili suala lolote unatumia mihemuko ya ushabiki unaokufanya kila mwenye akili timamu akushangae.Mimi sina akili za kushikiwa Kama wewe.
labda uje useme hayo mawasiliano waliyatengeneza.
Na hata hivyo mbowe alikuwa na kesi ya kujibu ili atolee maelezo hivyo vitu.
Bahati nzuri akasoma upepo akashtuka.
Kama sio urafiki wa mbowe na urio mbowe asingeingia matatizo.
kuwa na akili Huru
Siyo kwamba hauna akili ya kushikiwa tu lakini pia hauna hata kidogo ndiyo maana unapojadili suala lolote unatumia mihemuko ya ushabiki unaokufanya kila mwenye akili timamu akushangae.
Maana ulikuwa unamsifia siro kwa kukuaminisha kwamba ana ushahidi wa ugaidi dhidi ya Mbowe lakini dunia nzima ya wenye akili hawakuuona huo ushahidi ila wewe usiye na akili ndiye uliyeuona japo hata hauwezi kuuonesha.
Sasa hapa utasema unazo? Maana wote wenye akili na waliosoma vizuri wameamua kuweka mpira kwapani wewe tu umebaki na ujinga wako.