Mtume Mwamposa, tafadhali fuata Ushauri uliopewa na Madaktari huku Kupenda Kwako Sadaka kunaweza Kukulaza mazima

Mtume anaetegemea kulishwa na waumini,huyo ni mtume mchumia tumbo kma gwajima n kakobe
😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
Hata Mtume Paulo alikua hivyohivyo alihubiri huku anaumwa na watu walikuwa wanapona ila yeye bado alikua na ugonjwa hiyo miujiza ya Mungu tu. Soma hili andiko.
2 Wakorintho 12
7 Na ili nisijione bora kuliko nilivyo, kutokana na mafunuo haya makuu, nilipewa mwiba katika mwili wangu, mtumishi wa she tani, ili anitese. 8 Nimemsihi Bwana mara tatu aniondolee mwiba huu. 9 Lakini aliniambia, β€œNeema yangu inakutosha, kwa kuwa uwezo wangu unakamilika katika udhaifu.” Kwa hiyo nitajisifu kwa furaha zaidi kuhusu udhaifu wangu ili uwezo wa Kristo ukae juu yangu. 10 Basi, kwa ajili ya Kristo, naridhika na udhaifu, mat usi, taabu, mateso na maafa; kwa maana ninapokuwa mdhaifu ndipo nina nguvu.
 
Hata Mtume Paulo alikua hivyohivyo alihubiri huku anaumwa na watu walikuwa wanapona ila yeye bado alikua na ugonjwa hiyo miujiza ya Mungu tu. Soma hili andiko.
2 Wakorintho 12
7 Na ili nisijione bora kuliko nilivyo, kutokana na mafunuo haya makuu, nilipewa mwiba katika mwili wangu, mtumishi wa she tani, ili anitese. 8 Nimemsihi Bwana mara tatu aniondolee mwiba huu. 9 Lakini aliniambia, β€œNeema yangu inakutosha, kwa kuwa uwezo wangu unakamilika katika udhaifu.” Kwa hiyo nitajisifu kwa furaha zaidi kuhusu udhaifu wangu ili uwezo wa Kristo ukae juu yangu. 10 Basi, kwa ajili ya Kristo, naridhika na udhaifu, mat usi, taabu, mateso na maafa; kwa maana ninapokuwa mdhaifu ndipo nina nguvu.
Halellujah
 
Japo mimi si mshirika WA mwamposa na sipo dar kbs lakin napata shida sn sn kwann thread yako inaonekana ni kama unamchukia sn mwamposa lakin pia kwann umejikita kudai Yule ndugu anachotafuta ni sadaka na umaarufu yaan as if Hana kitu kingine anachotafuta Ila cha ajabu unasema anachoka sn kisa anahubiri sana si utafutaji WA sadaka tena. Lakin cha ajabu umeonyesha wazi we si mshirika wake kbs je umejuaje kwamba ye anasaka sadaka Tu hayo nayo ulimuulza huyo mshirika wake au. Je huyo mwamposa aliwahi kukuomba sadaka?

Mmmh aisee acheni chuki na maisha ya watu nyie si miungu achaneni na Imani za watu Amini kwny madhehebu yenu huko ambako hamtoi sadaka Kila mtu atavuna alichopanda maisha ni mafupi na kaburi lamngoja Kila mmoja acheni kuhukumu watu maana hamjui undani wake Ila mpo kimihemko kisa madhehebu yenu hayaendani na taratibu za madhehebu ya wengne kama ni sadaka na michango mbona katoliki wanaongoza kama ni mapungufu basi hakuna dhehebu au dini iliyo salama hapa chini ya jua.

Msidhan kuwa mtumishi wa Mungu ni kuwa masikini mnataka awe anakuja madhabahuni Kwa miguu awe ananuka makwapa akinunua usafiri bs baiskel ndo hamtamkejeli eti anataka sadaka siyo.
 
Japo mimi si mshirika WA mwamposa na sipo dar kbs lakin napata shida sn sn kwann thread yako inaonekana ni kama unamchukia sn mwamposa lakin pia kwann umejikita kudai Yule ndugu anachotafuta ni sadaka na umaarufu yaan as if Hana kitu kingine anachotafuta Ila cha ajabu unasema anachoka sn kisa anahubiri sana si utafutaji WA sadaka tena. Lakin cha ajabu umeonyesha wazi we si mshirika wake kbs je umejuaje kwamba ye anasaka sadaka Tu hayo nayo ulimuulza huyo mshirika wake au. Je huyo mwamposa aliwahi kukuomba sadaka?

Mmmh aisee acheni chuki na maisha ya watu nyie si miungu achaneni na Imani za watu Amini kwny madhehebu yenu huko ambako hamtoi sadaka Kila mtu atavuna alichopanda maisha ni mafupi na kaburi lamngoja Kila mmoja acheni kuhukumu watu maana hamjui undani wake Ila mpo kimihemko kisa madhehebu yenu hayaendani na taratibu za madhehebu ya wengne kama ni sadaka na michango mbona katoliki wanaongoza kama ni mapungufu basi hakuna dhehebu au dini iliyo salama hapa chini ya jua.

Msidhan kuwa mtumishi wa Mungu ni kuwa masikini mnataka awe anakuja madhabahuni Kwa miguu awe ananuka makwapa akinunua usafiri bs baiskel ndo hamtamkejeli eti anataka sadaka siyo.
Wajinga waliwao....

Acha mpigwe hizo sadaka tu.....

Mtakuja shtuka badaye....

Ova
 
Wajinga waliwao....

Acha mpigwe hizo sadaka tu.....

Mtakuja shtuka badaye....

Ova
🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 na wanapigwa kweli kweli wakidhani kuna roho mtakatifu kumbe roho mtakakitu.
 
Imani ikizidi unapunguza uwezo wa mwanadamu kufikiri na kuhoji kiuhalisia. Acha wafe hao watu ni wajinga sana Imani zao ni za kipumbavu mpaka Mungu mwenyewe anashangaa shetani ndio kabisa anawacheka. Nina mfano mmoja Kuna Dada alikua mchungaji amefariki juzi kwa uzembe naye ni hivyohivyo alipata uvimbe kwenye kizazi Sasa wao wakawa wanasali wakiamini kalogwa tena na mme wake kwanza asilimia kubwa ni waongowaongo tu maana huyo dada mchungaji mwenyewe nilikula kimasihara akaja kuchanganyikiwa nikiwa nazama chumvini mpaka kuhonga sadaka
 
Wachuma sadaka za bure hao, wezi tu, mm sijaona utumushi wa Mungu wote matapeli wa imani kwa kutumia jina la Yesu. Eg Gwajima, Mwamposa, Mzee Lusekolo, Late Mama Rwakatare, Mwingira, Deo Davie, matapeli sana hayo, kaa nayo mbali, hakuna cha Mungu wala nn hapo, kazi kuvuna Sadaka tu, ni business kama zingine.
Kuna huyo mmoja mzee wa semina ni full mabahasha na kuuza vitabu.Ila wachungaji wa kweli wapo ila ndo hawavumi.
 
Aandae wachungaji wasaidizi kisha afungue makanisa nchi nzima.

Kakobe na Mwingira walifanikiwa kwa hili. Wana matawi nchi nzima hadi wilayani na vijijini kabisa.
Ni shughuli ya miaka mingi....

Kakobe na Mwingira wana miaka karibu 30 kwenye game... huyu ndio anaanza.
 
HUYU MSHENZI KABISA MPK SASA NAHANGAIKA KATAKA KUNIULIA MAMA YANGU KWA KUMUHADAA ANAWEZA ,KUPONA PREASURE NA KISUKARI BI MKUBWA KAMPA 500 K KAMUOMBEA ,KILICHOTEKA NDIO KAMA KAANZA UPYA KUUGUA ,MARA ROHO YA MAUTI IMSHIKE ...,INAMUACHIA MAUZA UZA TU ...NAAMINI KAMPANDIKIZIA MAPEPO YA ROHO ZA MAUTI ,ILA MM NASEMA MUNGU WA KWELI ATAMLIPA HUYU MSHENZI

sent from HUAWEI
 
Tokea Jumatano ya Wiki iliyopita kulianza Kuenea Taarifa Kanisani Kwako kuwa hali yako ya Kiafya si nzuri.

Kama kawaida yangu Mightier nikaona ngoja Kwanza niendelee Kuniridhisha na hizi Taarifa.

Siku ya Jumamosi nilibahatika kumpata Mmoja wa Kondoo wako tena ni Mhudumu nikamtega na akafunguka zaidi.

Na bahati nzuri tu ni kwamba hata Wewe Mwenyewe Mtume Mwamposa jana Ibadani ulikiri na kuliweka wazi na nikaamini.

Mtume Mwamposa natambua kuwa Madaktari wako wamekuambia kuwa uanze Kupumzika kwani unachoka sana.

Na hata nje ya Kuambiwa hivyo na Madaktari wako ila hata kwa Macho tu ya Kawaida unaonekana Umechoka mno.

Sauti yako haitoki vyema kama awali, Macho yako ni kama una Usingizi na tembea yako Madhabahuni ni ya Kulazimisha.

Nimeambiwa kuwa sasa unatakiwa kupata muda mwingi wa Kupumzika na kama ni Kuhubiri basi iwe ni kwa Kiasi tu.

Mtume Mwamposa najua unakomaa japo unaumwa ili usizikose Sadaka za Watu wako ila kuwa makini na Afya yako.

Nasikia kuwa hutaki Kuonekana kama Unaumwa Watu wako watahoji kama Unaombea mbona hujiombei ili upone?

Inasemekana umeshauriwa uwe unawaachia Deiwaka ya Kiroho Wachungaji wengine Wahubiri unaogopa watapata Umaarufu.

Najua kuwa unapenda sana Kuhubiri hadi Kuomba na nakupongeza kwa hilo ila tenga muda mwingi wa Kupumzika.

Sadaka hizo wala zisikufanye uhatarishe Afya yako na yakawa mengine Kiuhai bali jali Kwanza Afya yako na zitakuja nyingi tu.

Nawashukuru Madaktari wako waliokushauri vyema hivi japo naona hujawaheshimu na bado umeendelea Kukomaa na Ibada.

Kuna Mtanzania Mwenzako Mmoja Mr. Stone Chemist Header nae alishauriwa sana na Madaktari wake Bingwa atunze Afya akabisha leo Kalala mazima.

Naona jana Jumapili ulikomaa, leo Tena umekomaa na najua Kesho pia utakomaa ila Pumzi ikikata sijui nayo utaikomalia pia au?

Bila shaka hutonichukia ila utaniombea.

Mwache tu aende kama wale walienda moshi baada ya kukanyagana, huwezi danganya watu siku zote
 
Japo mimi si mshirika WA mwamposa na sipo dar kbs lakin napata shida sn sn kwann thread yako inaonekana ni kama unamchukia sn mwamposa lakin pia kwann umejikita kudai Yule ndugu anachotafuta ni sadaka na umaarufu yaan as if Hana kitu kingine anachotafuta Ila cha ajabu unasema anachoka sn kisa anahubiri sana si utafutaji WA sadaka tena. Lakin cha ajabu umeonyesha wazi we si mshirika wake kbs je umejuaje kwamba ye anasaka sadaka Tu hayo nayo ulimuulza huyo mshirika wake au. Je huyo mwamposa aliwahi kukuomba sadaka?

Mmmh aisee acheni chuki na maisha ya watu nyie si miungu achaneni na Imani za watu Amini kwny madhehebu yenu huko ambako hamtoi sadaka Kila mtu atavuna alichopanda maisha ni mafupi na kaburi lamngoja Kila mmoja acheni kuhukumu watu maana hamjui undani wake Ila mpo kimihemko kisa madhehebu yenu hayaendani na taratibu za madhehebu ya wengne kama ni sadaka na michango mbona katoliki wanaongoza kama ni mapungufu basi hakuna dhehebu au dini iliyo salama hapa chini ya jua.

Msidhan kuwa mtumishi wa Mungu ni kuwa masikini mnataka awe anakuja madhabahuni Kwa miguu awe ananuka makwapa akinunua usafiri bs baiskel ndo hamtamkejeli eti anataka sadaka siyo.
I have never met a Moron like You at JF.
 
HUYU MSHENZI KABISA MPK SASA NAHANGAIKA KATAKA KUNIULIA MAMA YANGU KWA KUMUHADAA ANAWEZA ,KUPONA PREASURE NA KISUKARI BI MKUBWA KAMPA 500 K KAMUOMBEA ,KILICHOTEKA NDIO KAMA KAANZA UPYA KUUGUA ,MARA ROHO YA MAUTI IMSHIKE ...,INAMUACHIA MAUZA UZA TU ...NAAMINI KAMPANDIKIZIA MAPEPO YA ROHO ZA MAUTI ,ILA MM NASEMA MUNGU WA KWELI ATAMLIPA HUYU MSHENZI

sent from HUAWEI
Tulipokuwa tukisema ni Tapeli mlikataa.
 
Tokea Jumatano ya Wiki iliyopita kulianza Kuenea Taarifa Kanisani Kwako kuwa hali yako ya Kiafya si nzuri.

Kama kawaida yangu Mightier nikaona ngoja Kwanza niendelee Kuniridhisha na hizi Taarifa.

Siku ya Jumamosi nilibahatika kumpata Mmoja wa Kondoo wako tena ni Mhudumu nikamtega na akafunguka zaidi.

Na bahati nzuri tu ni kwamba hata Wewe Mwenyewe Mtume Mwamposa jana Ibadani ulikiri na kuliweka wazi na nikaamini.

Mtume Mwamposa natambua kuwa Madaktari wako wamekuambia kuwa uanze Kupumzika kwani unachoka sana.

Na hata nje ya Kuambiwa hivyo na Madaktari wako ila hata kwa Macho tu ya Kawaida unaonekana Umechoka mno.

Sauti yako haitoki vyema kama awali, Macho yako ni kama una Usingizi na tembea yako Madhabahuni ni ya Kulazimisha.

Nimeambiwa kuwa sasa unatakiwa kupata muda mwingi wa Kupumzika na kama ni Kuhubiri basi iwe ni kwa Kiasi tu.

Mtume Mwamposa najua unakomaa japo unaumwa ili usizikose Sadaka za Watu wako ila kuwa makini na Afya yako.

Nasikia kuwa hutaki Kuonekana kama Unaumwa Watu wako watahoji kama Unaombea mbona hujiombei ili upone?

Inasemekana umeshauriwa uwe unawaachia Deiwaka ya Kiroho Wachungaji wengine Wahubiri unaogopa watapata Umaarufu.

Najua kuwa unapenda sana Kuhubiri hadi Kuomba na nakupongeza kwa hilo ila tenga muda mwingi wa Kupumzika.

Sadaka hizo wala zisikufanye uhatarishe Afya yako na yakawa mengine Kiuhai bali jali Kwanza Afya yako na zitakuja nyingi tu.

Nawashukuru Madaktari wako waliokushauri vyema hivi japo naona hujawaheshimu na bado umeendelea Kukomaa na Ibada.

Kuna Mtanzania Mwenzako Mmoja Mr. Stone Chemist Header nae alishauriwa sana na Madaktari wake Bingwa atunze Afya akabisha leo Kalala mazima.

Naona jana Jumapili ulikomaa, leo Tena umekomaa na najua Kesho pia utakomaa ila Pumzi ikikata sijui nayo utaikomalia pia au?

Bila shaka hutonichukia ila utaniombea.
Stone chemist Korosho header 🀣🀣 yule vyema hakusikiliza ya daktari ungekuta matajiri bado wanaishi kama watumwa kwenye nchi yao.
 
Ni kweli naunga mkono hoja haiwezekani juma tatu mpaka jumapili unahudumia watu utakufa mapema sana hata nabii Musa alishauriwa na mkwewe kupumzika maana hata Musa alikuwa kama mwamposa
Kupumzika kunaleta afya
 
Back
Top Bottom