Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 6,376
- 6,720
πππππππππππππ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Mtume anaetegemea kulishwa na waumini,huyo ni mtume mchumia tumbo kma gwajima n kakobe
πππππππππππππ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Mtume anaetegemea kulishwa na waumini,huyo ni mtume mchumia tumbo kma gwajima n kakobe
HalellujahHata Mtume Paulo alikua hivyohivyo alihubiri huku anaumwa na watu walikuwa wanapona ila yeye bado alikua na ugonjwa hiyo miujiza ya Mungu tu. Soma hili andiko.
2 Wakorintho 12
7 Na ili nisijione bora kuliko nilivyo, kutokana na mafunuo haya makuu, nilipewa mwiba katika mwili wangu, mtumishi wa she tani, ili anitese. 8 Nimemsihi Bwana mara tatu aniondolee mwiba huu. 9 Lakini aliniambia, βNeema yangu inakutosha, kwa kuwa uwezo wangu unakamilika katika udhaifu.β Kwa hiyo nitajisifu kwa furaha zaidi kuhusu udhaifu wangu ili uwezo wa Kristo ukae juu yangu. 10 Basi, kwa ajili ya Kristo, naridhika na udhaifu, mat usi, taabu, mateso na maafa; kwa maana ninapokuwa mdhaifu ndipo nina nguvu.
Wajinga waliwao....Japo mimi si mshirika WA mwamposa na sipo dar kbs lakin napata shida sn sn kwann thread yako inaonekana ni kama unamchukia sn mwamposa lakin pia kwann umejikita kudai Yule ndugu anachotafuta ni sadaka na umaarufu yaan as if Hana kitu kingine anachotafuta Ila cha ajabu unasema anachoka sn kisa anahubiri sana si utafutaji WA sadaka tena. Lakin cha ajabu umeonyesha wazi we si mshirika wake kbs je umejuaje kwamba ye anasaka sadaka Tu hayo nayo ulimuulza huyo mshirika wake au. Je huyo mwamposa aliwahi kukuomba sadaka?
Mmmh aisee acheni chuki na maisha ya watu nyie si miungu achaneni na Imani za watu Amini kwny madhehebu yenu huko ambako hamtoi sadaka Kila mtu atavuna alichopanda maisha ni mafupi na kaburi lamngoja Kila mmoja acheni kuhukumu watu maana hamjui undani wake Ila mpo kimihemko kisa madhehebu yenu hayaendani na taratibu za madhehebu ya wengne kama ni sadaka na michango mbona katoliki wanaongoza kama ni mapungufu basi hakuna dhehebu au dini iliyo salama hapa chini ya jua.
Msidhan kuwa mtumishi wa Mungu ni kuwa masikini mnataka awe anakuja madhabahuni Kwa miguu awe ananuka makwapa akinunua usafiri bs baiskel ndo hamtamkejeli eti anataka sadaka siyo.
π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ na wanapigwa kweli kweli wakidhani kuna roho mtakatifu kumbe roho mtakakitu.Wajinga waliwao....
Acha mpigwe hizo sadaka tu.....
Mtakuja shtuka badaye....
Ova
Kuna huyo mmoja mzee wa semina ni full mabahasha na kuuza vitabu.Ila wachungaji wa kweli wapo ila ndo hawavumi.Wachuma sadaka za bure hao, wezi tu, mm sijaona utumushi wa Mungu wote matapeli wa imani kwa kutumia jina la Yesu. Eg Gwajima, Mwamposa, Mzee Lusekolo, Late Mama Rwakatare, Mwingira, Deo Davie, matapeli sana hayo, kaa nayo mbali, hakuna cha Mungu wala nn hapo, kazi kuvuna Sadaka tu, ni business kama zingine.
KabisaKumbuka nae nibinadamu anaugua kama ww na atakufa kama ww,ila kazi yake nzuri.
Ni shughuli ya miaka mingi....Aandae wachungaji wasaidizi kisha afungue makanisa nchi nzima.
Kakobe na Mwingira walifanikiwa kwa hili. Wana matawi nchi nzima hadi wilayani na vijijini kabisa.
Tokea Jumatano ya Wiki iliyopita kulianza Kuenea Taarifa Kanisani Kwako kuwa hali yako ya Kiafya si nzuri.
Kama kawaida yangu Mightier nikaona ngoja Kwanza niendelee Kuniridhisha na hizi Taarifa.
Siku ya Jumamosi nilibahatika kumpata Mmoja wa Kondoo wako tena ni Mhudumu nikamtega na akafunguka zaidi.
Na bahati nzuri tu ni kwamba hata Wewe Mwenyewe Mtume Mwamposa jana Ibadani ulikiri na kuliweka wazi na nikaamini.
Mtume Mwamposa natambua kuwa Madaktari wako wamekuambia kuwa uanze Kupumzika kwani unachoka sana.
Na hata nje ya Kuambiwa hivyo na Madaktari wako ila hata kwa Macho tu ya Kawaida unaonekana Umechoka mno.
Sauti yako haitoki vyema kama awali, Macho yako ni kama una Usingizi na tembea yako Madhabahuni ni ya Kulazimisha.
Nimeambiwa kuwa sasa unatakiwa kupata muda mwingi wa Kupumzika na kama ni Kuhubiri basi iwe ni kwa Kiasi tu.
Mtume Mwamposa najua unakomaa japo unaumwa ili usizikose Sadaka za Watu wako ila kuwa makini na Afya yako.
Nasikia kuwa hutaki Kuonekana kama Unaumwa Watu wako watahoji kama Unaombea mbona hujiombei ili upone?
Inasemekana umeshauriwa uwe unawaachia Deiwaka ya Kiroho Wachungaji wengine Wahubiri unaogopa watapata Umaarufu.
Najua kuwa unapenda sana Kuhubiri hadi Kuomba na nakupongeza kwa hilo ila tenga muda mwingi wa Kupumzika.
Sadaka hizo wala zisikufanye uhatarishe Afya yako na yakawa mengine Kiuhai bali jali Kwanza Afya yako na zitakuja nyingi tu.
Nawashukuru Madaktari wako waliokushauri vyema hivi japo naona hujawaheshimu na bado umeendelea Kukomaa na Ibada.
Kuna Mtanzania Mwenzako Mmoja Mr. Stone Chemist Header nae alishauriwa sana na Madaktari wake Bingwa atunze Afya akabisha leo Kalala mazima.
Naona jana Jumapili ulikomaa, leo Tena umekomaa na najua Kesho pia utakomaa ila Pumzi ikikata sijui nayo utaikomalia pia au?
Bila shaka hutonichukia ila utaniombea.
Kwahiyo Wewe una Akili na Utaalam kuliko hao Madaktari Bingwa waliomshauri hivyo?No time to rest,
Hataki hili Ndugu kwani Mtume Mwamposa ni Sadaka na Sadaka ni Mtume Mwamposa.Aandae wachungaji wasaidizi kisha afungue makanisa nchi nzima.
Kakobe na Mwingira walifanikiwa kwa hili. Wana matawi nchi nzima hadi wilayani na vijijini kabisa.
I have never met a Moron like You at JF.Japo mimi si mshirika WA mwamposa na sipo dar kbs lakin napata shida sn sn kwann thread yako inaonekana ni kama unamchukia sn mwamposa lakin pia kwann umejikita kudai Yule ndugu anachotafuta ni sadaka na umaarufu yaan as if Hana kitu kingine anachotafuta Ila cha ajabu unasema anachoka sn kisa anahubiri sana si utafutaji WA sadaka tena. Lakin cha ajabu umeonyesha wazi we si mshirika wake kbs je umejuaje kwamba ye anasaka sadaka Tu hayo nayo ulimuulza huyo mshirika wake au. Je huyo mwamposa aliwahi kukuomba sadaka?
Mmmh aisee acheni chuki na maisha ya watu nyie si miungu achaneni na Imani za watu Amini kwny madhehebu yenu huko ambako hamtoi sadaka Kila mtu atavuna alichopanda maisha ni mafupi na kaburi lamngoja Kila mmoja acheni kuhukumu watu maana hamjui undani wake Ila mpo kimihemko kisa madhehebu yenu hayaendani na taratibu za madhehebu ya wengne kama ni sadaka na michango mbona katoliki wanaongoza kama ni mapungufu basi hakuna dhehebu au dini iliyo salama hapa chini ya jua.
Msidhan kuwa mtumishi wa Mungu ni kuwa masikini mnataka awe anakuja madhabahuni Kwa miguu awe ananuka makwapa akinunua usafiri bs baiskel ndo hamtamkejeli eti anataka sadaka siyo.
Bora umeliambia Ukweli hilo Hayawani.Wajinga waliwao....
Acha mpigwe hizo sadaka tu.....
Mtakuja shtuka badaye....
Ova
Tulipokuwa tukisema ni Tapeli mlikataa.HUYU MSHENZI KABISA MPK SASA NAHANGAIKA KATAKA KUNIULIA MAMA YANGU KWA KUMUHADAA ANAWEZA ,KUPONA PREASURE NA KISUKARI BI MKUBWA KAMPA 500 K KAMUOMBEA ,KILICHOTEKA NDIO KAMA KAANZA UPYA KUUGUA ,MARA ROHO YA MAUTI IMSHIKE ...,INAMUACHIA MAUZA UZA TU ...NAAMINI KAMPANDIKIZIA MAPEPO YA ROHO ZA MAUTI ,ILA MM NASEMA MUNGU WA KWELI ATAMLIPA HUYU MSHENZI
sent from HUAWEI
Stone chemist Korosho header π€£π€£ yule vyema hakusikiliza ya daktari ungekuta matajiri bado wanaishi kama watumwa kwenye nchi yao.Tokea Jumatano ya Wiki iliyopita kulianza Kuenea Taarifa Kanisani Kwako kuwa hali yako ya Kiafya si nzuri.
Kama kawaida yangu Mightier nikaona ngoja Kwanza niendelee Kuniridhisha na hizi Taarifa.
Siku ya Jumamosi nilibahatika kumpata Mmoja wa Kondoo wako tena ni Mhudumu nikamtega na akafunguka zaidi.
Na bahati nzuri tu ni kwamba hata Wewe Mwenyewe Mtume Mwamposa jana Ibadani ulikiri na kuliweka wazi na nikaamini.
Mtume Mwamposa natambua kuwa Madaktari wako wamekuambia kuwa uanze Kupumzika kwani unachoka sana.
Na hata nje ya Kuambiwa hivyo na Madaktari wako ila hata kwa Macho tu ya Kawaida unaonekana Umechoka mno.
Sauti yako haitoki vyema kama awali, Macho yako ni kama una Usingizi na tembea yako Madhabahuni ni ya Kulazimisha.
Nimeambiwa kuwa sasa unatakiwa kupata muda mwingi wa Kupumzika na kama ni Kuhubiri basi iwe ni kwa Kiasi tu.
Mtume Mwamposa najua unakomaa japo unaumwa ili usizikose Sadaka za Watu wako ila kuwa makini na Afya yako.
Nasikia kuwa hutaki Kuonekana kama Unaumwa Watu wako watahoji kama Unaombea mbona hujiombei ili upone?
Inasemekana umeshauriwa uwe unawaachia Deiwaka ya Kiroho Wachungaji wengine Wahubiri unaogopa watapata Umaarufu.
Najua kuwa unapenda sana Kuhubiri hadi Kuomba na nakupongeza kwa hilo ila tenga muda mwingi wa Kupumzika.
Sadaka hizo wala zisikufanye uhatarishe Afya yako na yakawa mengine Kiuhai bali jali Kwanza Afya yako na zitakuja nyingi tu.
Nawashukuru Madaktari wako waliokushauri vyema hivi japo naona hujawaheshimu na bado umeendelea Kukomaa na Ibada.
Kuna Mtanzania Mwenzako Mmoja Mr. Stone Chemist Header nae alishauriwa sana na Madaktari wake Bingwa atunze Afya akabisha leo Kalala mazima.
Naona jana Jumapili ulikomaa, leo Tena umekomaa na najua Kesho pia utakomaa ila Pumzi ikikata sijui nayo utaikomalia pia au?
Bila shaka hutonichukia ila utaniombea.