MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
- Thread starter
- #41
Leo najua Kanisani Kwake katika Ibada yake ya Jumanne ataniongelea mno Mightier na huu Uzi wangu.Ni kweli naunga mkono hoja haiwezekani juma tatu mpaka jumapili unahudumia watu utakufa mapema sana hata nabii Musa alishauriwa na mkwewe kupumzika maana hata Musa alikuwa kama mwamposa
Kupumzika kunaleta afya
Kazi ipo....!!