Msambichaka Mkinga
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 1,646
- 2,911
Hoja ya kipuuzi kabisa. Hatumlaumu kwa kutojua Kijerumani, Kichina au Kijapani. Tunamlaumu kwa kutoimudu lugha yetu rasmi, lugha ya kiingereza. Kwa Tanzania lugha ya Kiingereza ni lugha rasmi, tena mbele ya Kiswahili.
Tutajie wewe ni Rais gani ambaye hajui mojawapo ya lugha rasmi za nchi yake.
Tutajie wewe ni Rais gani ambaye hajui mojawapo ya lugha rasmi za nchi yake.
Wao Wanajua kiswahili hata broken?Jibu ni hapana,tatizo sisi tunahangaika na lugha ndio maana wakenya wanajidai wamesoma kwa kujua kiingereza tu hata kama hawana taaluma yoyote.Me sikusoma lakini naomba waliosoma kama kuna mtu anaorodha ya maraisi ambao hawajui hata neno moja la kiingereza awaorodheshe hapa.Wale ambao huwa wanaongea kikwao wanatraslentiwa!Wakati nipo form three nilikuwa nauwezo wa kumkosoa mwalimu wangu wa Geography,alikuwa hajui tenses na muda wa kuzitumia,lakini kitu muhimu alikuwa anatufundisha ili tuelewe Geograhy sio English.Na alikuwa trained teacher.