Mtukufu Rais bora tu angeandika R.I.P

Mtukufu Rais bora tu angeandika R.I.P

Ki2 inaitwa much know ni mbaya sana. THIS N#GGER IS SO HOPELESS
 
  • Thanks
Reactions: Gut
Mi binafsi sioni tatizo lolote kwasababu lengo la lugha yoyote ile ni kuweza kuwasiliana. Ujumbe aliopost Rais Magufuri unaeleweka nini amemaanisha. Kwa mantiki hiyo, sioni tatizo bali mleta mada ni limbukeni tu wa lugha za watu. Tanzania lugha yetu ni kiswahili, kukosea katika kuzungumza kiingereza sioni tatizo kabisa. Hata wazungu walioishi Tz kwa miaka mingi bado nao hukosea kuongea kiswahili na kamwe hatuoni tatizo. Tuache tabia ya kumbeza Rais wetu hata kwa mambo ambayo hayana tija.
 
Sijui ni vile sijui kingereza, kwa maana hata tatizo sijaliona kwenye tweet ya rais[emoji1] [emoji1]
 
Mke wake Janeth ni Mwal. Amsaidie mumewe if at all atathubutu!!!!
 
"Labda angeandika kisukuma"
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu, na mimi napenda mtu mkweli.....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
AIBU HII TUNAIFICHAJE, KWA MFANO???

Kuna ubishi mwingine haufai, lazima tuambizane ukweli.. Wakati wa kumpongeza Rais-mchaguliwa wa marekani, Rais Magufuli aliandika 'broken English' kwenye ukurasa wake wa Twitter kwa nia njema tu ya kupongeza, nikashauri kuwa Ikulu waandaliwe watu wa kuandika kwenye mitandao ya kijamii kwa niaba ya Rais Magufuli, ili yasijirudie tena yale yale, kwasababu ni kuiaibisha taasisi ya Urais, na nchi kwa ujumla.

Kufumba na kufumbua, sijui tatizo ni uelewa au misimamo isiyokuwa na tija, bado 'broken English' imeonekana katika post ya Rais Magufuli alipotoa pole kwa kifo cha aliyekuwa kiongozi wa Cuba, hayati Fidel Castro.

Wakati ule wa mwanzo kuna watu walisema kwa kumtetea kuwa kiingereza sio 'issue' sana, na kumficha Rais Magufuli kwa mwamvuli wa uzalendo kwamba kiingereza sio lugha yetu.. Lakini niliwaambia, katika moja ya hotuba ya Mwl. Nyerere wakati wa uhai wake aliwahi kusisitiza juu ya matumizi ya lugha ya kiingereza kuwa; kama Ghana wanajifunza, Kenya wanajifunza, Uganda wanajifunza, Mozambique, Malawi, etc. iweje Tanzania tuwe nyuma tusijifunze kiingereza? Mwl. Nyerere akasisitiza kwa kusema kuwa; Kiingereza ndiyo kiswahili cha dunia, ni lazima tukipe mkazo tujifunze na tukitumie, pamoja na kuwa lugha yetu ni kiswahili.

Sasa hili la Rais Magufuli kuandika 'broken English' kwenye ukurasa wake wa Twitter unaosomeka dunia nzima, ni aibu, na mbaya zaidi Rais Magufuli anatambulika kama Dr. Magufuli J.P. kwa maana mtu mwenye shahada zaidi ya moja, na shahafa hizo amezisoma kwa lugha ya kiingereza, na moja wapo ni kwenye chuo kikuu chenye hadhi ya kimataifa, chuo kikuu cha Dar es Salaam, UDSM.

Ninashauri tena, Ikulu iandae watu kwa kazi hii, yeye kama Rais awape mawazo yake, wao wajue wanaandikaje, lakini kwa utaratibu huu, kwenye nchi ambayo watoto wa darasa la sita kwenye international schools wanazungumza kiingereza kumzidi mhitimu wa chuo kikuu, ni aibu kubwa, kwa taasisi ya Urais na taifa kwa ujumla.

Wako katika demokrasia na maendeleo
View attachment 440130
msitake rais awe mtumwa. kuna kingereza cha aina nyingi wala kwenye hiyo tweet hakuna cha ajabu. tatizo wako watu bado wanafikiri elimu ni kujua kingereza. ingekua hiyo tweet ni waziri mkuu wa jamaica ingeonekana sawa. wacheni jpm apige kazi wengi tunamuamini kinoma.
 
"unaishi nchini au ughaibuni mkuu?....tu nataka tuone kama tunaweza kuja kukumata ili tukufungulie mashtaka ya udhalilishaji maana umetutukana sana sisi wafanyakazi wa ikulu". kwa sauti ya mfanyakazi kilaza wa ikulu.

HATA MM NAMUUNGA MKONO. FANYA UFANYALO
 
Ha ha ha ,anachukua kiswahili anatafsiri neno moja moja mpaka anapata sentensi alafu anateeet!

Mwalimu wake wa kingereza darasa la nne akamatwe na afunguliwe mashitaka
 
Magufuli yuko sahihi kabisa sababu kaandika Tanzanian English...siyo lazima english ya tz iwe kama ya america au england,mbona nigeria wana english yao hata uganda pia..
Kumbe eeh! Kila nchi ina English yake! Hii ndio nimesikia kwako leo, mimi nilidhani ni lafudhi ndio tunatofautiana kumbe hata Tz tuna English yetu.

Prof. Ndalichako umemsikia huyu mdau? Toa maelekezo haraka shule zetu zianze kufundisha kwa kutumia English ya Tz, si unaona hii English ya Malkia inavyomsumbua mkulu? Tunahangaika bure kumbe tuna English ya kwetu....!!
 
Kama anaongeaga kwa kiswahl hata wageni wa heshima wakija Tz mi namshauri mtukufu rais wa wanyonge atumie tu kiswahili chetu kwenye mitandao ya kijamii ili kuepukana na hii kadhaia bt awe mwangalifu kwenye baadhi ya silabi kwani anachapia sana.
 
AIBU HII TUNAIFICHAJE, KWA MFANO???

Kuna ubishi mwingine haufai, lazima tuambizane ukweli.. Wakati wa kumpongeza Rais-mchaguliwa wa marekani, Rais Magufuli aliandika 'broken English' kwenye ukurasa wake wa Twitter kwa nia njema tu ya kupongeza, nikashauri kuwa Ikulu waandaliwe watu wa kuandika kwenye mitandao ya kijamii kwa niaba ya Rais Magufuli, ili yasijirudie tena yale yale, kwasababu ni kuiaibisha taasisi ya Urais, na nchi kwa ujumla.

Kufumba na kufumbua, sijui tatizo ni uelewa au misimamo isiyokuwa na tija, bado 'broken English' imeonekana katika post ya Rais Magufuli alipotoa pole kwa kifo cha aliyekuwa kiongozi wa Cuba, hayati Fidel Castro.

Wakati ule wa mwanzo kuna watu walisema kwa kumtetea kuwa kiingereza sio 'issue' sana, na kumficha Rais Magufuli kwa mwamvuli wa uzalendo kwamba kiingereza sio lugha yetu.. Lakini niliwaambia, katika moja ya hotuba ya Mwl. Nyerere wakati wa uhai wake aliwahi kusisitiza juu ya matumizi ya lugha ya kiingereza kuwa; kama Ghana wanajifunza, Kenya wanajifunza, Uganda wanajifunza, Mozambique, Malawi, etc. iweje Tanzania tuwe nyuma tusijifunze kiingereza? Mwl. Nyerere akasisitiza kwa kusema kuwa; Kiingereza ndiyo kiswahili cha dunia, ni lazima tukipe mkazo tujifunze na tukitumie, pamoja na kuwa lugha yetu ni kiswahili.

Sasa hili la Rais Magufuli kuandika 'broken English' kwenye ukurasa wake wa Twitter unaosomeka dunia nzima, ni aibu, na mbaya zaidi Rais Magufuli anatambulika kama Dr. Magufuli J.P. kwa maana mtu mwenye shahada zaidi ya moja, na shahafa hizo amezisoma kwa lugha ya kiingereza, na moja wapo ni kwenye chuo kikuu chenye hadhi ya kimataifa, chuo kikuu cha Dar es Salaam, UDSM.

Ninashauri tena, Ikulu iandae watu kwa kazi hii, yeye kama Rais awape mawazo yake, wao wajue wanaandikaje, lakini kwa utaratibu huu, kwenye nchi ambayo watoto wa darasa la sita kwenye international schools wanazungumza kiingereza kumzidi mhitimu wa chuo kikuu, ni aibu kubwa, kwa taasisi ya Urais na taifa kwa ujumla.

Wako katika demokrasia na maendeleo
View attachment 440130
Mbona wazungu wakikosea kiswahili hamsemiii ? Tuachie ushamba banaa !
 
Mi tatizo kwangu sio kizungu...tatizo ni haka ka PhD...inawezekanaje usijue cha kuandika na una haka ka PhD?..
 
Magufuli hajui Kiingereza na hilo halina ubishi ila nina wasiwasi kama hii akaunti ya Twitter huwa yeye ndiye mwandishi. Hii itakuwa inaandikwa na Msigwa au pimbi mwingine sababu simuoni Magufuli akikaa na kuanza kutupia mambo humo kwa sababu ya wingi wa hekaheka za kazi yake.
Lakini vyovyote vile iwavyo ni kweli kuna ushamba mwingi sana Ikulu sababu ya kujaza v-i-l-a-z-a.

Muda anao sana huyu

Kama anapata muda wa kusikiliza Radio Mawingu Efu Emu na kumfuatilia mwandani wake Makonda mwenye hulka, kasumba, akili na fikra zinazofanana na yeye mwenyewe, hawezi kukosa muda wa kuchart na IPAD au Smartphone yake na wazo la kutuma salamu za rambirambi hapohapo kwa watu wa Cuba kumjia fast kisha akajiandikia tu na kubofya kidufe cha "tuma!!"

Tatizo la huyu jamaa ni wazi kuwa anachukulia Urais na taasisi ya urais kama kifamilia chake kule Chato na kusahau ama kutotambua kuwa hiyo ni ofisi kubwa ya heshima na kila kitu ni lazima kiwe protocolized!!

Anyway, tatizo ni katiba yetu inayompa Rais madaraka na nguvu za Kimungu mungu wa dunia. Kamungu kasikohojiwa wala kushauriwa kwa sbb kanajidhania kuwa kanajua kila kitu, kumbe empty kabisa!!

Hayati Mwl Nyerere J.K alishawahi kusema kwa katiba hii, Tanzania ikija kupata Rais crazy.....ataitumia kwelikweli ku justfy u crazy wake.

Probably, huu ndiyo wakati wake!!
 
Back
Top Bottom