Jina la Afrika "simply" linatokana na na neno/jina la Kiarabu "Afrit" (the hideous one). Hiyo ni nearest terminology kuliko kutoka lugha nyingine yeyote ya Afrika au duniani.
Majina ya sehemu na au mahala, nchi, bara, hayatolewi kama unavyompa jina mwanao. Majina hutegemea umaarufu, muonekano wa sehemu, lugha iliyotumika na hata
Ujinga umejazwa wewe kuaminishwa kuwa Mwafrika ni mtu mweusi pekee, kuaminishwa kuwa Mwarabu ni mtu mweupe, kuaminishwa kuwa Mwarabu si Mwafrika, kuaminishwa kuwa mtu mweusi ni duni, kuaminishwa Mwarabu ni mtu mbaya sana.
Hayo yote ni ujinga uliojazwa lakini hujitambui.
Cha kushangaza hata anapochorwa shetani anachorwa mweusi kama vile weusi ni kitu kibaya.
Mimi nnajaribu kukutoa ujinga uliojazwa, nisome kwa makini.