Mtu mweusi: Kiumbe mwenye historia tata

Mtu mweusi: Kiumbe mwenye historia tata

Duuuh hata mimi nina ukakasi hapo...yaani hata mimi nikifahamu kiarabu naweza kuwa Muarabu duuuh.... FaizaFoxy ikoje hapo kaka..??
FaizaFoxy kwa mwonekano ni mtu mzima na anaonekana msomi lakini Udini unamsumbua amekalilishwa na kuamini kila anachosikia amashindwa kujifunza kiukweli huyu mama sipendi kuona michango yake ina ukakasi sana ni UDINI umemjaa hataki kushughulisha kichwa yake.
 
Asante sana . ...Mwenye Enzi Mungu azidi kutufungua . ...
 
Historia ya Afrika ipo na wala haina utata. Kosa kubwa limefanywa na waafrika ni hatua zilizochukuliwa baada ya ukoloni( post colonial era). Hapa hakuna tulichokibadilisha toka kwa mkoloni, mfano elimu bado mfumo ni uleule ambao umetufanya tuwe wajinga na wageni zaidi katika mazingira yetu wenyewe, utamadudi ndio kabisaa tumetupa kule uafrika wetu, uongozi ndio kabisaa tumekuwa na mfumo mbovu wa kujitawala wenyewe kuliko hata uliokuwa wa kikoloni. Ni kama kumekuwa na mpango maalumu wa kuhakikisha tunajisahau na hatujitambui!
Historia yetu ipo tena imara sana lakini si rahisi kuifahamu kwa mfumo huu tulionao sasa!
Inasikitisha sana sijui tulikosea wapi mpaka tukakubali watu weupe watutawale na kuharibu mifumo yetu ya maisha
 
Kama Obama Mweusi basi sisi ni Mikaa kabisa.

-Rangi ya ngozi inaathirika kutokana na mazingira,Rangi nyeusi imetokana na athari za mionzi ya jua na pia kuna kitu kinaitwa Gene-Mutation(Kubadilika kwa genes) hii ni tofauti na evolution.

Ngozi Nyeusi imetokana na genemutation,Tumepigwa na Jua sana mpaka genes zimebadilika.
umeongea kitu kizuri cha kisayansi ila sasa inaelekea Jua limeathiri mpaka Bongo zetu maana tunaonekana ni wenye fikra chache wavivu wa kufikiri nisaidie na hapo mkuu Kisayansi
 
FaizaFoxy kwa mwonekano ni mtu mzima na anaonekana msomi lakini Udini unamsumbua amekalilishwa na kuamini kila anachosikia amashindwa kujifunza kiukweli huyu mama sipendi kuona michango yake ina ukakasi sana ni UDINI umemjaa hataki kushughulisha kichwa yake.
Historia ya Malkia Cleopatra wa Egypt ndo ulinifanya kwa mbaliii nianze kuelewa kuanza kwa Uislam na tena kuhusu yale mapambano na wamesopotamia,waashur,na waajem
 
Kama Obama Mweusi basi sisi ni Mikaa kabisa.

-Rangi ya ngozi inaathirika kutokana na mazingira,Rangi nyeusi imetokana na athari za mionzi ya jua na pia kuna kitu kinaitwa Gene-Mutation(Kubadilika kwa genes) hii ni tofauti na evolution.

Ngozi Nyeusi imetokana na genemutation,Tumepigwa na Jua sana mpaka genes zimebadilika.
i think its the other way round...... watu walimigrate kwenda sehem ambazo hazina jua kali... na after generations ndo wakatokea ao wazungu....

nmejaribu kuelezea hii concept as simple as possible. kiundani ndo itabdi tuichambue history kimiaka....
 
Bado unarudia "mweusi", nimesema; Uarabu si rangi ya mtu, uarabu ni lugha.

Sasa sijuwi ni nani alikujaza ujinga kuhusu Waarabu kuwa si weusi pia.
kwani rangi na mwonekano wa mwarabu si weupe na pua ndefu yenye kiduva?
 
Katika kitabu cha How Europe underdeveloped Africa, hayo matukio yanaelezwa kwamba yalitokea kipindi ambacho African level of development was almost the same with that of Europe.
African development was way greater than that of europe...
refer: egypt, Mali (Mansa Musa is claimed (some historians and theorists) to be the richest person to ever live na cities well developed, mwenamutapa, zaqwe dynasty, Bantu (were skilled farmers and miners way before 1000 CE, Kush(an east african kingdom which was under egypt rule), meroe traded iron with greek, romans and arabs,,, iyo ni before 4th century.)
the list goes on and on,..... African kingdoms and dynasties conducted trade, mining, agriculture, building pyramids (apart from egypt, other african kingdoms that had pyramids are Mereo, also kuna the Great Zimbabwe towers although saivi ni ruins,. lakini inakupa picha Africa hatukua watu wa sportsport!!!)
anyway, thats a tiny bit of African history, Its all in the books, the problem is WE DON'T READ
 
umeongea kitu kizuri cha kisayansi ila sasa inaelekea Jua limeathiri mpaka Bongo zetu maana tunaonekana ni wenye fikra chache wavivu wa kufikiri nisaidie na hapo mkuu Kisayansi
Uvivu wa kufikiri labda ni wewe mwenywe na kundi lenu mnaloamini watu weusi ni wavivu kufikiri!!
mnaaminishwa na kupotoshwa upuuzi kabisa.
Kuna usemi kwa kimombo unasema "The power is within you"
sasa nyie bakini kuamini watu weusi ni wavivu kufkiria. maana ao wanaowaaminisha ivyo wanawakunja kwenye kona wanayotaka.....
 
kwani rangi na mwonekano wa mwarabu si weupe na pua ndefu yenye kiduva?


Huo ndiyo ujinga uliojazwa nao, Uarabu si rangi, wapo waarabu weusi kabisa, hata historia yako ya Tanganyika inakiri hilo:

Muone huyu babuyo:

cb3a8ed899d9b5fcb13345f0d355ee03.jpg
 
Huo ndiyo ujinga uliojazwa nao, Uarabu si rangi, wapo waarabu weusi kabisa, hata historia yako ya Tanganyika inakiri hilo:

Muone huyu babuyo:

cb3a8ed899d9b5fcb13345f0d355ee03.jpg
wewe ukiambiywa watu fulani ni wa rangi fulalani, inamaanisha asilimia kubwa ya watu hao ni warangi hiyo ilio tajwa mfano waafrika tunaambiwa ni weusi na ndiyo asili yetu, lakini vilevile waafrika wachache weupe nao wapo, wahindi asili yao ni weupe na weusi wachache wapo, na waarabu nao hivyohivyo asili yao ni weupe lakini wachache weusi wapo
 
Kuna baadhi ya wachangiaji wanatumia kigezo cha hali ya hewa kuwa ni factor mojawapo ya sisi waafrika kuwa weusi, kwamba tulipigwa sana na jua kiasi kwamba rangi zetu zikabadilika.
Hilo mimi napinga, kwa sababu ukizungumza kigezo cha hali ya hewa utagundua kwamba hapa tanzania kuna baadhi ya maeneo hususani kwa miaka hiyo ya nyuma karibu mwaka mzima ni baridi, kwa mfano maeneo ya lushoto,mafinga,makambako. Sasa kwa nini watu wa huko angalau wasiwe wana rangi ya kizungu kama kigezo mojawapo ni hali ya hewa?
 
i think its the other way round...... watu walimigrate kwenda sehem ambazo hazina jua kali... na after generations ndo wakatokea ao wazungu....

nmejaribu kuelezea hii concept as simple as possible. kiundani ndo itabdi tuichambue history kimiaka....

Ukisoma kuhusu Africa as the cradle of humankind , nadhani wameelezea jinsi environment plus climate ilivopelekea kubadilika kwa rangi kwa wale binadamu walio migrate nje ya afrika, hapo utakuta wanaongelewa wakina Homo sapiens sapiens, na kadhalika.

I stand to be corrected.
 
MPHINGU

Kwanza ulianza na nyimbo hii:

kwani rangi na mwonekano wa mwarabu si weupe na pua ndefu yenye kiduva?

Sasa umekuja na hii, nnaona darsa limeanza kukuingia kidogo kidogo:

wewe ukiambiywa watu fulani ni wa rangi fulalani, inamaanisha asilimia kubwa ya watu hao ni warangi hiyo ilio tajwa mfano waafrika tunaambiwa ni weusi na ndiyo asili yetu, lakini vilevile waafrika wachache weupe nao wapo, wahindi asili yao ni weupe na weusi wachache wapo, na waarabu nao hivyohivyo asili yao ni weupe lakini wachache weusi wapo.


Naam, hapo umeshakiri kuwa Waarabu si weupe.

Sasa elewa pia kuwa Waarabu asili yao ni Afrika na Uarabu si rangi. Unawajua Wairaqw?

 
= mashuhuri

Hata ulivyoi "present" argument yako umeshaziamini na kuzifanya "facts" zile elimu za kujazwa ujinga.

Hususan hapo kwenye "Uarabu".

Nisome vizuri nta "summarize" kuhusu hilo kuwa hata ulivyo li "present" inaonesha hauna "independent way of thinking". Kwanini? ...



1) Uarabuni ni wapi?

Mimi nijuavyo, Tanzania kule Nzega kuna sehemu inaitwa Uarabuni na nna uhakika kama umefika Bujumbura kuna sehemu inaitwa Uarabuni, kama haujafika wapo waliofika na watayakinisha hilo kuwa ni ukweli.

2) Waarabu ni akina nani?

Waarabu ni wote ambao lugha mama kwao ni Kiarabu, si rangi zao wala si eneo wanalotokea.

4) Waarabu asili yao ni wapi?

Mimi nna kila sababu za kuamini kuwa Waarabu asili yao ni Afrika kwa sababu:

Mosi, wengi wao wapo Afrika kuliko bara lolote lingine duniani.

Pili, Kiarabu kinaongewa sana (na watu wengi zaidi) Afrika kuliko bara lingine lolote.

Tatu, jina "Afrika" ni rahisi sana kulihusisha na Kiarabu kuliko lugha nyingine yoyote.

Kabla hatujachambuwa zaidi kwanza tukubaliane kuwa Waarabu ni Waafrika ki asili na si kama ulivyo "present" wewe kama vile hawaeleweki eleweki ni watu wa wenye asili ipi.
Kwanini unadhani uko sawa?? maana umesema tu kile unachoamini lakini hakina facts kusapoti.
Iramba kwa mfano iko huku Geita pia, kwa hio tuseme wanyiramba ni wasukuma??
 
Ukisoma kuhusu Africa as the cradle of humankind , nadhani wameelezea jinsi environment plus climate ilivopelekea kubadilika kwa rangi kwa wale binadamu walio migrate nje ya afrika, hapo utakuta wanaongelewa wakina Homo sapiens sapiens, na kadhalika.

I stand to be corrected.
haya mambo ya kubadilika rangi kwa sababu ya climate huwa siyakubali kabisa. Leo hii kuna wamarekani wako kule miaka mingapi na bado ni weusi tiiii, mbona hawabadiliki. Muingiliano wa watu ndio naona unaweza kuwa kiini cha rangi kubadilika.
 
historia ya mtu mweusi haieleweki vizuri. ila jambo la hakika ni kuwa zamani aliheshimika na alikuwa na nguvu. karne ya 9 BC mfalme Asa alikuwa akitawala Israel na hiki ndiyo kilitokea. 2 nyakati 14:8-11
upload_2016-12-6_17-44-46.png

hii inamaanisha walikuwa wameshapita Misri yote na kuwa chini yao ili waweze kuvamia Yuda.
 
haya mambo ya kubadilika rangi kwa sababu ya climate huwa siyakubali kabisa. Leo hii kuna wamarekani wako kule miaka mingapi na bado ni weusi tiiii, mbona hawabadiliki. Muingiliano wa watu ndio naona unaweza kuwa kiini cha rangi kubadilika.
Rangi ni swala la genetic. hata ng'ombe na kuku huwa na rangi mbalimbali. binadamu ndiyo tunakuza sana tofauti za rangi.
 
Back
Top Bottom