Huu ni ulimwwengu wa ACTIONS. Siyo maneno. Mtu apimwe kwa uwajibikaji siyo cv. Mambo ya cv yamepitwa na wakati..Tubadilike.
Tutakubaliana na wewe kama wale watumishi waliofukuzwa kazi kwa kupimwa kwa makaratasi watarudishwa kazini..Huu ni ulimwwengu wa ACTIONS. Siyo maneno. Mtu apimwe kwa uwajibikaji siyo cv. Mambo ya cv yamepitwa na wakati..Tubadilike.
kamwambie mkuu wa kaya au ndalichako, kama watakuelewa ndo urudi hapa utupe mrejeshoHuu ni ulimwwengu wa ACTIONS. Siyo maneno. Mtu apimwe kwa uwajibikaji siyo cv. Mambo ya cv yamepitwa na wakati..Tubadilike.
Kama una masters halafu unaandika vitu vya kijinga namna hii basi hiyo ELIMU yako haina msaada kwa taifa! Unafikri serikali ilikuwa njinga kuleta mchakato wa uhakiki wa vyeti? Mtu apewe kazi kulingana na ELIMU yake kwa kutumia vyeti halali, sheria ni msumeno wacha Daudi A. Bashite naye umkate!Nimesoma. Nina MA/MASTERS MBILI.NA SASA NAFANYA PHD. IT IS OUT OF MY PILOT RESEARCH.
Kwahiyo wewe unapinga juhudi za mtukufu rais wetu mtakatifu Yohana ma drinks youssuph padlocks ya kuhakiki vyeti? Unataka kutwambia alikurupuka?hakutafakari? Kwahiyo hata PhD yake hauithamini? Ngoja niweke vocha nimpigie Daud na sirus waje wakuite muonane katikati ndo utajuaHuu ni ulimwwengu wa ACTIONS. Siyo maneno. Mtu apimwe kwa uwajibikaji siyo cv. Mambo ya cv yamepitwa na wakati..Tubadilike.
Kama kweli umesoma, nikwambie ukweli wewe.ni.miongoni kwa wasomi mizigo. Walioendelea kwa sasa wanauza Elimu kama bidhaa. Nina wasiwasi na shule yakoNimesoma. Nina MA/MASTERS MBILI.NA SASA NAFANYA PHD. IT IS OUT OF MY PILOT RESEARCH.
Baada ya kugundua ni kweli mnakuja na utetezi hafifu ku justify wizi wake wa cheti.Huu ni ulimwwengu wa ACTIONS. Siyo maneno. Mtu apimwe kwa uwajibikaji siyo cv. Mambo ya cv yamepitwa na wakati..Tubadilike.
Huu ni ulimwwengu wa ACTIONS. Siyo maneno. Mtu apimwe kwa uwajibikaji siyo cv. Mambo ya cv yamepitwa na wakati..Tubadilike.
Mkuu unajua hili taifa lina wajinga wengi sana, na actually kutokana na ukweli huo haishangazi kuwa leo mtu yeyote anaweza kuibuka kutafuta uongozi wa kisiasa. Ni mpumbavu tu yule anayeweza kuleta hoja kama hii hapa wakati watu wanahoji tuhuma nzito za udanganyifu wa kielimu! Taifa hili lina vilaza wengi kiasi kwamba hata hawawezi KUONA uhalifu unaodaiwa kufanywa na Bashite. Kwa kuwa viongozi wa nchi wanafahamu kuwa wanaongoza vilaza ndio maana leo Bashite bado yuko ofisini,lakini kwa nchi ambayo wananchi wake wanajitambua leo Bashite asingekuwa ofisini wallah!Ndiyo, lakini mtu hawezi kuachwa kwa kufoji vyeti. Tatizo sio kufeli, tatizo ni udanganyifu, vilaza wanajifanya hawaelewi utofauti huu.
Kuua tajiri ukamuibia pesa na kuzigawa kwa maskini haikusafishi, wewe ni mhalifu tu, sawa na aliyeua tajiri kwa manufaa yake. Ndiyo maana ya the end doesn't justify the means. Hata kama mtu anapiga kazi, swala la udanganyifu level ile ni kosa kubwa lazima tupige kelele.
Alafu usikae unasema mtu hapimwi kwa vyeti, we utataka mtu awe profesa huku alipata Div IV? Au GPA second class? Tuache utani, kuna muda performance ya darasani ina maana kubwa sana.
Pole sana ila nahisi unacheo kikubwa ila huna elimu. Na nyie ndio mlioua viwanda vya JK Nyerere kwa hizo hizo ACTIONS zenu badala ya KNOWLEDGE.Hata madaktari,waalimu, mapolisi na watafiti wote wapimwe kwa actions bwana sio makaratasi..... Makaratasi ya kazi gani sasa... Yani hata wauguzi ni mwendo wa actions tu...... WTF citizens!!
Shangaa mtu anatumia makaratasi ya mwingine..... Ya nini sasa....
Only in TZ
Bashite unazidi kujiaibisha, kila siku unaanzisha uzi wa kutusahaulisha. Weka vyeti mezani mzee wa fa fa fa .Huu ni ulimwwengu wa ACTIONS. Siyo maneno. Mtu apimwe kwa uwajibikaji siyo cv. Mambo ya cv yamepitwa na wakati..Tubadilike.