sibusiso dlomo
JF-Expert Member
- Apr 23, 2016
- 691
- 386
Kwa uelewa wangu nadhani anashangaa na kujiuliza watu kuwa na ufundi wa kupiga risasi gari bila gari kuwa na matundu ya risasi...risasi iliyovunja kioo na kuwapata wote( professional kiufupi au well trained)...nadhani point kubwa sio majambazi wa kawaida.....wewe ndio hujamuelewa, mleta mada ana doubt uwezo wa wafanya tukio. Ukimsoma/ukimuelewa zaidi anaona hata tukio lenyewe ni la uongo/kuficha ukweli - 'mtu anawezaje kulenga watu 7 gizani' ...hilo ndo swali lake. Bado hajahoji uwezo wa wafanya tukio !