Jamaa kweli ni vidumeAlipiga dereva gari ikapoteza uelekeo ikiangia mtaroni na wakawahi pale lilipoangukia gari wanafanya mashambulizi kwa askari, then wakachukua silaha wakasepa.
Jamaa kweli ni vidumeAlipiga dereva gari ikapoteza uelekeo ikiangia mtaroni na wakawahi pale lilipoangukia gari wanafanya mashambulizi kwa askari, then wakachukua silaha wakasepa.
Ili wapate rushwa mkuuVinapatikana wapi mkuu coz inawezekana hiyo ndo mianya yenyewe ambayo pengine walinzi wetu wa amani hawafahamu... Na kwa mazingira ambayo waliuawa ni porini sasa najiuliza kwann polisi wanaweka check point porini kiasi kile..
mashuhuda waliokuwepo eneo La tukioNa ninani aliyemuona huyo mlengaji kuwa ni mmoja?
Siyo kweli hata kidogo hilo Lina matatizo ya kiusalama kwa mda mrefu ndiyo maana wemeweka barrier huko porini hilo la rushwa ni la kwako wewe, usipende kupotosha watu.Ili wapate rushwa mkuu
kwa hisia,mbona we unaweza kutita gizani.acha ujinga watu wamepoteza maisha we unaleta vi thread vya ajabuWajuzi mtuambie.. Mana inaonekana gari haikuharibika sana kwa risasi ikiharibika kutokana na kupinduka ukiachia tundu la risasi lililopiga kioo kwa mbele...
Wajuzi mtuambie.. Mana inaonekana gari haikuharibika sana kwa risasi ikiharibika kutokana na kupinduka ukiachia tundu la risasi lililopiga kioo kwa mbele...
Mkuu Nina mashamba yangu jaribu ikwilili na Kibiti nayajua mazingira ya pale wale wapo pale kutaka rushwa tu majangili hawapo pale mkuu na majangiri hawapiti kwenye ile Beria kuna njia na polisi wanazijua wapo pale kuonekana km wanalinda usitake tutoe siriSiyo kweli hata kidogo hilo Lina matatizo ya kiusalama kwa mda mrefu ndiyo maana wemeweka barrier huko porini hilo la rushwa ni la kwako wewe, usipende kupotosha watu.
mkuu napata wasiwasi wa usalama wangu kwa kiasi kikubwa napoona majambazi yanafikia uwezo wa kurecruit mtu kama huyo...Kabla hatujakujibu ' Kiundani ' na ' Kiutaalam ' zaidi pitia pitia katika vyanzo vyako vyote vya Kiulinzi na Kiusalama kisha waulize ' Sniper ' au ' Mdunguaji ' kwa Kiswahili chetu ni Mtu wa aina gani, anapata mafunzo gani na kwa kawaida huwa anakuwa wapi Kitaasisi kisha ana uwezo wa kufanya nini ambacho wana ' Medani ' wenzie wengi hawawezi. Ukishapata majibu yake rudi tena kisha ' nitaririka ' zaidi na Wewe ili nikupe ' nondo ' na ' madini ' zaidi yaliyotukuka.
mkuu napata wasiwasi wa usalama wangu kwa kiasi kikubwa napoona majambazi yanafikia uwezo wa kurecruit mtu kama huyo...
Nafikiri watu wameelewa.. Lengo la kuanzisha uzi siyo kukebei bali ni kujaribu kuchangia na kutoa mawazo ili vyombo vyetu viweze kupata input fulani..Nina vyombo vingi vya usalama nawashukuru mnao changia positively. Kwa maslai ya opetesheni mpya kwenye haya maeneo sitasema nini kinaendelea.tunahitaji taarifa sahihi kutoka kwa raia wema hili kuleta amani kwa taifa letu. Kumbukeni matamko ya kisiasa hayana nafasi hii ni Vita.
Nikweli kuna siku nimepita ilo eneo baada ya yale mauaji ya mara ya kwanza aise tulipata shida sana kutoka kwa hao polisi walikua wanataka ela kwa lazima ukigoma wanakupiga mara wakurushe kichura ilikua shidaMkuu Nina mashamba yangu jaribu ikwilili na Kibiti nayajua mazingira ya pale wale wapo pale kutaka rushwa tu majangili hawapo pale mkuu na majangiri hawapiti kwenye ile Beria kuna njia na polisi wanazijua wapo pale kuonekana km wanalinda usitake tutoe siri
Toa siri unaficha ya nini wakati watu wanauawa kila siku?Ukiendelea kuficha Siri iko siku hao jamaa watakufikia,toa Siri ili kazi ifanyike ipasavyo badala ya watu kwenda kukaa huko kutegea rushwa.Mkuu Nina mashamba yangu jaribu ikwilili na Kibiti nayajua mazingira ya pale wale wapo pale kutaka rushwa tu majangili hawapo pale mkuu na majangiri hawapiti kwenye ile Beria kuna njia na polisi wanazijua wapo pale kuonekana km wanalinda usitake tutoe siri
[emoji1]Umenichekesha wallah.