Kuwavua vest??? Duuu unaongea kama ulikuwepo vile!Ilikuwa sio usiku!! Ilikuwa ni saa 12 jioni kwa mujibu wa polisi! Na baada ya gari kupoteza mwelekeo aliwafuata na kuwavua vest za kuzuia risasi na kuwamalizia kabisa.
Una wasiwasi kwani umesikia kuwa nchi hii ina ' Vita ' Mkuu? Acha kuwa ' Mwoga ' nchi iko salama kabisa kutoka katika kile pembe ya mipaka yetu isipokuwa tu humu humu ndani kwa ndani ( sisi kwa sisi ) ndiyo ' tunanyooshana ' ili tuweze kuheshimiana na kukomazwa kusudi hata ikitokea Tanzania ' tumechokozwa ' na ' Maadui ' zetu basi tuwe tayari ' tumekwiva '.
. Tuwe tumekwivaWewe tumeelewa sawia kabisa.....wewe ndio hujamuelewa, mleta mada ana doubt uwezo wa wafanya tukio. Ukimsoma/ukimuelewa zaidi anaona hata tukio lenyewe ni la uongo/kuficha ukweli - 'mtu anawezaje kulenga watu 7 gizani' ...hilo ndo swali lake. Bado hajahoji uwezo wa wafanya tukio !
Mkuu wewe fuatilia kuna mmoja alijeruhiwa mkono na risasi!mmmh???? kwahiyo yule aliejeruhiwa mkono alikua wapi wakati wenzie wanapewa njugu? hapa umeibua maswali mengi zaidi
hahahaaa daah!! basi samahani kwa komenti yangu ya kipumbavu mkuu naelewa na naheshim sana charisma kubwa ulonayo, tunaomba sasa umsaidie huyu mleta mada kwa faida ya wengiHata Wewe pia kama unazijua ungeweza tu kumwekea pia na wala kusingeharibika kitu ILA kwakuwa unawashwa na aina yangu kubwa ya ' Uelewa ' na ' Ufahamu ' wa mambo mbalimbali ambayo kimsingi huwa kila siku yanakuchukiza ukaamua kuja na aina yako hii ya response ya ' Kipumbavu ' kabisa Kwangu. Narudia tena kukuambia utaendelea kuichukia 24/7 hii ID ila zawadi ya Kipekee ya kuwa ' Talented and Charismatic ' niliyopewa na Mwenyezi Mungu ' kamwe ' hutoweza kuwa nayo na yawezekana pia hata katika ' Koo ' zako zote mbili hakuna ambaye anathubutu tu kufikia robo yangu.
Hayo ni maelezo ya vyombo vya habari vya leo!!Lengo la kuwavua vest ni ili wazichukue au ni nn?
Ni kwa mujibu wa magazeti ya leo!!Kuwavua vest??? Duuu unaongea kama ulikuwepo vile!
kuna mtu hapa amesema huyo mdunguaji aliwafata ask.ari akawavua vest akawamwagia njugu ndo nauliza huyo aliepigwa ya mkono alikua wapi wakati huo?Mkuu wewe fuatilia kuna mmoja alijeruhiwa mkono na risasi!
Mkuu hiyo username yako imenitonesha kidonda, nimedhulumiwa hela zangu za Nssf baada ya kuzuiwa kwa fao la kujitoa!tumewazoea Kwa kusema uwongouwongo tu. Labda waliwatuma vijana wetu huko vichakani kufanya ambush wakauawa wengine Kwa makundi wakakimbia kutoa taarifa . Vinywa vyao vimekubuhu uwongouwongo tu
Naushangaa uwezo wake.. Inamaana wadunguaji walikua na night vision googles au.. Kama yes wamezipata wapi?


hahahaaa daah!! basi samahani kwa komenti yangu ya kipumbavu mkuu naelewa na naheshim sana charisma kubwa ulonayo, tunaomba sasa umsaidie huyu mleta mada kwa faida ya wengi
so you attack personalities now? mimi seriously sikujua nagombana na wewe.. nilikua na ugomvi na ideas zakoSiku nyingine usipende kuja Kwangu ' Kichwa Kichwa ' kwani huwa sikosi ' Silaha ' ya kumuangamiza ' adui ' yangu yoyote yule. Adabu hii ya sasa nadhani ndiyo ulipashwa uionyeshe Kwangu mapema mno ila kwakuwa ulikuwa unataka sifa na kujifanya unajua sana maneno ya ' Shombo ' na ukasahau kuwa kumbe hapa ndiyo ' Headquarters ' yake hayo maneno.
Na bahati nzuri mno ni kwamba nimeshaku ' label ' siku nyingi sana hasa kuhusiana na post zako ambazo huwa unapenda kunijibu na nikawa nakustahi tu ila nikaona sasa unazidi tu mwenyewe kujaa katika ' frame ' na nikaona kidogo leo nikuonjeshe tu sehemu yangu ya majibu kwa Watu wa aina yako.
Kuhusu kumsaidia huyo Mleta mada nadhani hata Wewe kwa umeshajionyesha kuwa ni ' mjuaji ' unaweza pia ukamsaidia kwa kumfafanulia kile anachokitaka na ndiyo hili likawa ni jamvi la wengi wenye uelewa na ufahamu wa mambo mbalimbali ya kimaisha na kidunia.
unaposema ambush basi ujue hufanywa na wajuzi tu. Lazima tukio zima lipangwe baada ya kupata taarifa zote na kusoma nyendo za walengwa. Ambush ni shambulio la ghafla na linatokana na kuviziawewe ndo hujamuelewa huyo mbishi,, yeye anamaanisha hata mimi ambae labda kwa mfano sina ujuzi ama mbinu zozote za medani ningewaambush hao aska?ri ningeweza kuwalaza chini wote bila tatizo. kwahiyo kwake kinachowalaza chini wote ni neno "ambush" na sio uwezo wa silaha ama umahiri wa mshambuliaji
Hapo sasaNa ninani aliyemuona huyo mlengaji kuwa ni mmoja?
Kwa uelewa wangu nadhani anashangaa na kujiuliza watu kuwa na ufundi wa kupiga risasi gari bila gari kuwa na matundu ya risasi...risasi iliyovunja kioo na kuwapata wote( professional kiufupi au well trained)...nadhani point kubwa sio majambazi wa kawaida
Wajerumani walichukuwa kichwa cha Mkwawa baada ya kuumizwa sana na shambula la ambush ambalo Mkwawa ailifanya dhidi yao na lkawafanya wakapoteza Kamanda wao. Mkwawa alipopata taarifa za kiinteligensia kuwa kuna kundi la Askari liikiongozwa na Kamanda wa Kijerumani lina advance kuja kwenye ngome yake, basi yeye akapanga shambulio la kushtukiza (ambush)Kwa uelewa wangu nadhani anashangaa na kujiuliza watu kuwa na ufundi wa kupiga risasi gari bila gari kuwa na matundu ya risasi...risasi iliyovunja kioo na kuwapata wote( professional kiufupi au well trained)...nadhani point kubwa sio majambazi wa kawaida