Gorgeousmimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2010
- 9,296
- 7,688
Ndio kama mtu umempenda kwa namna moja au nyingine amekidhi vigezo unavyovitaka kutoka kwa mke au mume?Kama unachagua wife material ni kama vile uone kitu "QUALITY" nzurii dukani ukinunue kwasababu ya quality na nembo lakini hujakipenda..utakuwa na ufahari wa kukivaa hicho kitu kweli?nop ndoa ni process if we cn learn to love men cn do z same manake hata ukimuoa huyo unaempenda lakn akawa hakidh vigezo vyakua mke stil mme anaeza toka nje