Mtu anaefaa kua mke vs mtu unaempenda.

Mtu anaefaa kua mke vs mtu unaempenda.

Hizo ni rare cases...............wengi waliooa choices zao wametulia na hata kama anatoka nje basi atacheat responsibly kwasababu bado anampenda mkewe

Ila waliioa anaefaa hata huko kucheat hawaoni hatari kuwaoneshea wake zao maana no feelings ila alitumia akili kumkubali na kuona anafaa

ha h aha ha ha ama kweli!

nina uhakika haujaingia kwenye ndoa bado.

but nimeipenda hiyo ya kucheat rensposibly, but yote ni kwamba small house haikwepeki. Piga ua
 
Kukiwa na small house then kutakuwa na mapungufu kwenye hio ndoa...Something must be lacking...Naamini kuna chanzo cha kila kitu!!!

sometimes hakuna ishu yeyote wala tatizo lolote

hivi hujui kama amani ikizidi ndani ya ndoa pia, it can a problem as it brings in BOREDOM

watu wengine wako adventurous by nature tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom