Marire
JF-Expert Member
- May 1, 2012
- 12,326
- 5,266
wakuu heshima kwenu.,
Kuna maswali huwa najiuliza sana.
Inakuweje mtu akishakufa anaweza tena kufanya matukio na laana ikafanya kazi?
Mfano kuna jamaa mmoja alikuwa anaishi Canada na alikuwa na uwezo sana sana ila huku Tanzania mzazi wake akawa anamuhitaji kuja kumjulia hali na amletee na wajukuu zake jamaa akawa haji yeye ni kutuma pesa tu na mzazi hakuwa na haja nazo kwani na yeye zilikuwemo .
Mzazi akamtumia ujumbe kuwa ukisikia nimekufa kabla hujuja tutazikwa wote!
Jamaa akaone masihara, akapuuza siku ya siku mzee akafa,jamaa akafunga safari na mke na watoto kuja kuzika kutua kia akapewa gari na rafiki yake,hakufika home ajali,yeye na mtoto wake wakafa ikabidi msiba usogezwe wakazikwa na baba yake.
Mwingine alikuwa anaishi Dar ni tajiri ajabu baba yake kijijini alikuwa mgonjwa na jamaa hakwenda kumuona akawa anatuma tu pesa,mzee akasema kama hauji ukisikia nimekufa HUTANIZIKA,haikupita muda mzee akafa jamaa akaenda na mafaki kuzika kwa mbwebwe na magari ya kifahari.
Wakapewe mwili huko mochwari wakaenda wakazika baada ya mazishi na matanga kuvunjwa wakaja MASAI kudai huo mwili kuwa wakikosea ni wa ndugu yao,kweli kufukua kaburi kitizama ni masai kumbe baba alibaki mochori kimiujiza tu!
Matukio hayo na mingine ni liyowahi kuyasikia ndio inanifanya najiuliza inakuweje mtu akishakufa anakuwa na power ya kutenda matukio?
Niwie radhi nimeandika kwa simu,nimefupisha story
Kuna maswali huwa najiuliza sana.
Inakuweje mtu akishakufa anaweza tena kufanya matukio na laana ikafanya kazi?
Mfano kuna jamaa mmoja alikuwa anaishi Canada na alikuwa na uwezo sana sana ila huku Tanzania mzazi wake akawa anamuhitaji kuja kumjulia hali na amletee na wajukuu zake jamaa akawa haji yeye ni kutuma pesa tu na mzazi hakuwa na haja nazo kwani na yeye zilikuwemo .
Mzazi akamtumia ujumbe kuwa ukisikia nimekufa kabla hujuja tutazikwa wote!
Jamaa akaone masihara, akapuuza siku ya siku mzee akafa,jamaa akafunga safari na mke na watoto kuja kuzika kutua kia akapewa gari na rafiki yake,hakufika home ajali,yeye na mtoto wake wakafa ikabidi msiba usogezwe wakazikwa na baba yake.
Mwingine alikuwa anaishi Dar ni tajiri ajabu baba yake kijijini alikuwa mgonjwa na jamaa hakwenda kumuona akawa anatuma tu pesa,mzee akasema kama hauji ukisikia nimekufa HUTANIZIKA,haikupita muda mzee akafa jamaa akaenda na mafaki kuzika kwa mbwebwe na magari ya kifahari.
Wakapewe mwili huko mochwari wakaenda wakazika baada ya mazishi na matanga kuvunjwa wakaja MASAI kudai huo mwili kuwa wakikosea ni wa ndugu yao,kweli kufukua kaburi kitizama ni masai kumbe baba alibaki mochori kimiujiza tu!
Matukio hayo na mingine ni liyowahi kuyasikia ndio inanifanya najiuliza inakuweje mtu akishakufa anakuwa na power ya kutenda matukio?
Niwie radhi nimeandika kwa simu,nimefupisha story