Mtoto wa Pius Msekwa afariki!

my dia tumejitahidi kwa hali na mali lkn babu kakataa,kina uncle waligoma sana wakasema wanataka msiba uingie japo mlalakuwa zen upelekwe huko obay,kiukweli yeye ni baba jina tu hakuna cha ziada.hatunasababu kumwaangaisha marehem apumzike kwa amani tu.

Pearl, hilo ndilo jambo la msingi kwa sasa. Ni jambo zuri kuachana na tofauti za kifamilia wakati wa majonzi. Kitu kama hicho husababisha majonzi zaidi kwa waombolezaji. Kwa vile Baba kaamua basi ni vuzuri kuwa pamoja (bila kujali mtakutana wapi) na kumsindikiza mpendwa wenu.

Poleni sana na Mungu awape nguvu. Again RIP to Julius.
 
Pole sana Mzee Msekwa wanafamilia wote, Nilibahatika fahamiana na Julius was a nice chap, Pole sana David (mdogo wa marehemu)
 
mke wa sasa, si anaishi na ana abdalah? au mke wake ni nani? mimi najua mke wa pius msekwa ni anna abdalah......na sina uhakika kama ana abdalah anaye hata mtoto mmoja tu wa pius msekwa. I HOPE, SIO SADAKA HII, hao viongozi wengi wanakuwa na madudu mengi na yakianza kuwatafuna watoto wao (bila wao kujipendea) yanawamaliza kabisa. dawa yao ni kuwaendea kwa misukule kule Kawe tu, ndo aibu yao! ita Julius hadi arudi.

Mzee yule hana maana. nilishawahi kwenda nyumbani kwake kule Dodoma kipindi yuko speaker, nikaona anaishi na anna abdalah....
 
R.I.P Julius - Wakazi wa Mlalakuwa will miss you!

It is a tragedy of un-imaginable proportions kwa "WAJOMBA" - Dada, mtoto, and then mtoto!

Pearl : Kwahiyo Mlalakuwa "ni kimya tu"?
 
not kimnya kiivyo as u knw ur african culture waombolezaji wako ndugu tu wale ka karibu wamekataa kulala obey so ikiingia maiti ndo wataenda huko kwa mazishi.
R.I.P Julius - Wakazi wa Mlalakuwa will miss you!

It is a tragedy of un-imaginable proportions kwa "WAJOMBA" - Dada, mtoto, and then mtoto!

Pearl : Kwahiyo Mlalakuwa "ni kimya tu"?
 
not kimnya kiivyo as u knw ur african culture waombolezaji wako ndugu tu wale ka karibu wamekataa kulala obey so ikiingia maiti ndo wataenda huko kwa mazishi.

Wanyaki wamegoma? Anywayz labda mzee anakwepa vijembe alivyopigwa hadharani siku ya msiba wa mkewe.

Cha msingi kwa sasa, tumuombee July mapumziko mema...
 
He is my uncle,last week alitoka mji wake kwenda mji mwengine kikazi ghafla tu akadondoka na kufa,mwili utaingia kesho alfajiri taratibu za mazishi zitafanyika oyesterbay ingawa ni utata kidogo maana wamelelewa na mama yao mlalakuwa.R.I.P Uncle J.

May the boy rest in peace, Amen.

Pole sana Pearl kwa kuondokewa na Uncle yako. Mengine yote yanayosemwa juu ya malezi ama kifo chake yawe fundisho kwetu. Amen
 
Poleni sana wapenzi mwenyezi mungu awatie nguvu na ujasili ,tulitoka mavumbini na mavumbini tutarudi.
Pole Pearl
 
Mzee Msekwa hajatutendea haki majirani zake wa Mlalakuwa Savei. Hawa watoto wamekulia pale na wameujenga ule mji vizuri tu. Kuhamishia msiba Oyesterbay ni kwa vile mama yao alishafariki. Au anataka akina JK wahudhurie kirahisi? Pearl rudisheni msiba Mlalakuwa.

Kwani JK et al hawakujui huko mlalakuwa?
 
my dia tumejitahidi kwa hali na mali lkn babu kakataa,kina uncle waligoma sana wakasema wanataka msiba uingie japo mlalakuwa zen upelekwe huko obay,kiukweli yeye ni baba jina tu hakuna cha ziada.hatunasababu kumwaangaisha marehem apumzike kwa amani tu.

Pole Pearl, I can feel your pain.
 
Chupaku,
Pale ndio nyumbani kwao. Ndipo wamekulia na sio mbali sana na O'bay. Tunajifunza jambo moja tu hapa. Kuandika WOSIA.



Mkuu yale makorogesheni ya Savei, na parking hamna, misafara itapitaje? Anyway, pamoja na yote yaliyotokea, Julius bado ni mwanae na kama baba anaweza kuamua msiba uwe wapi. Pia tusisahau Mlalakuwa pia ni nyumbani kwake Msekwa, kwa hiyo nani hapo unaona ana nguvu zaidi ya kusema msiba uwekwe wapi. Suala hili si muhimu kwa sasa, wajua ukifa hata uzikwe baharini ni kwamba utakuwa umezikwa tu. But its so sad that he left us now than later.
 
Back
Top Bottom