Mtoto wa Pius Msekwa afariki!

Mtoto wa Pius Msekwa afariki!

Uncle Poleni sana

Nilidhani Mazishi yatafanyia kule home Ukerewe Nansio,(enitoga abhajo sika bhukerebe wao??)

Jamani mwana weswa amafwa,

Mbhe kukutyo, Julias chirabhugangana eyoooo!

RIP

 
mke wa sasa, si anaishi na ana abdalah? au mke wake ni nani? mimi najua mke wa pius msekwa ni anna abdalah......na sina uhakika kama ana abdalah anaye hata mtoto mmoja tu wa pius msekwa. I HOPE, SIO SADAKA HII, hao viongozi wengi wanakuwa na madudu mengi na yakianza kuwatafuna watoto wao (bila wao kujipendea) yanawamaliza kabisa. dawa yao ni kuwaendea kwa misukule kule Kawe tu, ndo aibu yao! ita Julius hadi arudi.

Mzee yule hana maana. nilishawahi kwenda nyumbani kwake kule Dodoma kipindi yuko speaker, nikaona anaishi na anna abdalah....

Ndio maana wenye Busara walisema mapema acheni maisha binafsi yasijadiliwe kwa viongozi wa Tanzania.

Mkiendelea kujadiliana hapa hakuna atakaempenda Mzee Msekwa....Mama yao akina Julius (RIP),David na Ayoub (RIP) alifariki akiwa na kinyongo kikubwa kuhusu Mzee Msekwa.Huyu Spika wa zamani aliachana na mkewe wa ndoa muda mrefu na kutaka kuoa kanisani huko Ukerewe kitu ambacho Mwalimu Nyerere alikataa kabisa,walijaribu kupindisha taratibu na kutaka kwenda kwenye ndoa ya kanisani.
Mzee Msekwa amemuoa Mama Anna Abdalah kwa ndoa ya kiserikali,na Viongozi hao hawana watoto katika ndoa yao,wameoana mwishoni mwa miaka ya 80.Msekwa kamuoa Mama Anna ambaye tayari alikuwa na watoto 5 (Lazzy,Nyemi,Mwanate,Datsun na Rehema) aliozaa na wanaume 4 tofauti.Mzee Msekwa alikuwa na watoto wawili Julius (RIP) na David ambao Mama yao pia ni marehemu.

Mwenyewzi Mungu amlaze pema peponi Julius.Mateso manyanyaso na vurugu hizi za duniani alizoshuhudia ni vyema apumzike na kuachana nazo,sote tumuombee mapumziko mema!.
 
ni historia ndefu u will never understand t in one day,hakumjali bibi kwa lolote mpaka kifo kilipomkuta,wala wanae hakuwajali tena,wamelelewa na bibi na kusomeshwa na bibi tu.
R.I.P Julius!

Tumeona siku za karibuni ccm waliingilia maisha yake ya ndani ya Dr Slaa.Msekwa kama makamu mwenyekiti wa ccm kashfa yoyote atakayo ipata itakuwa mataji wakisiasa kwa wapinzani. Kama sio uchaguzi labda asingejali kama ilivyokuwa kwa Ayoub.
 
Ndio maana wenye Busara walisema mapema acheni maisha binafsi yasijadiliwe kwa viongozi wa Tanzania.

Mkiendelea kujadiliana hapa hakuna atakaempenda Mzee Msekwa....Mama yao akina Julius (RIP),David na Ayoub (RIP) alifariki akiwa na kinyongo kikubwa kuhusu Mzee Msekwa.Huyu Spika wa zamani aliachana na mkewe wa ndoa muda mrefu na kutaka kuoa kanisani huko Ukerewe kitu ambacho Mwalimu Nyerere alikataa kabisa,walijaribu kupindisha taratibu na kutaka kwenda kwenye ndoa ya kanisani.
Mzee Msekwa amemuoa Mama Anna Abdalah kwa ndoa ya kiserikali,na Viongozi hao hawana watoto katika ndoa yao,wameoana mwishoni mwa miaka ya 80.Msekwa kamuoa Mama Anna ambaye tayari alikuwa na watoto 5 (Lazzy,Nyemi,Mwanate,Datsun na Rehema) aliozaa na wanaume 4 tofauti.Mzee Msekwa alikuwa na watoto wawili Julius (RIP) na David ambao Mama yao pia ni marehem

Mwenyewzi Mungu amlaze pema peponi Julius.Mateso manyanyaso na vurugu hizi za duniani alizoshuhudia ni vyema apumzike na kuachana nazo,sote tumuombee mapumziko mema!.

Pole sana rafiki yangu Davd (DPM).
sisi sote ni wasafiri.-AMEN
 
Mzee Msekwa hajatutendea haki majirani zake wa Mlalakuwa Savei. Hawa watoto wamekulia pale na wameujenga ule mji vizuri tu. Kuhamishia msiba Oyesterbay ni kwa vile mama yao alishafariki. Au anataka akina JK wahudhurie kirahisi? Pearl rudisheni msiba Mlalakuwa.

Mkuu naungana na wewe kabisa. Inabidi watu tuache unafiki, tuna haki ya kumlilia mwenzetu kwetu tulipocheza nae. Sisi ni waafrika tuna utamaduni wetu.

Let us not be hypocrates
 
pearl unachosema ni kweli

marehem julius nimesoma nae na ninajua kisa kizima kwa nini yule mzee hakumpenda yule mama yao kina julius (soma post no 22)

yule mzee ana matatizo sana yaani tena sana, huyu mke wa sasa sijui kampa nini

Limbwata
 
May you rest in peace Julius! a lot of condolences to the family.
 
Mkuu yale makorogesheni ya Savei, na parking hamna, misafara itapitaje? Anyway, pamoja na yote yaliyotokea, Julius bado ni mwanae na kama baba anaweza kuamua msiba uwe wapi. Pia tusisahau Mlalakuwa pia ni nyumbani kwake Msekwa, kwa hiyo nani hapo unaona ana nguvu zaidi ya kusema msiba uwekwe wapi. Suala hili si muhimu kwa sasa, wajua ukifa hata uzikwe baharini ni kwamba utakuwa umezikwa tu. But its so sad that he left us now than later.

Sawa. Ndio utaratibu wetu wa mfumo dume.
 
Uncle Poleni sana

Nilidhani Mazishi yatafanyia kule home Ukerewe Nansio,(enitoga abhajo sika bhukerebe wao??)

Jamani mwana weswa amafwa,

Mbhe kukutyo, Julias chirabhugangana eyoooo!

RIP
Hiyo jamani umekosa neno lake la kilugha!. Vipi bhozyo!.
 
poleni ndugu,jamaa na marafiki.ametangulia mbele ya haki-nasi tupo nyuma
 
rip julius.
poleni ndugu, jamaa na marafiki. mola wafariji na awape nguvu.

asante pearl kwa updates hususan ukizingatia majonzi uliyonayo.
 
RIP Julius

Poleni familia ndugu jamaa na marafiki
 
Ndio maana wenye Busara walisema mapema acheni maisha binafsi yasijadiliwe kwa viongozi wa Tanzania.

Mkiendelea kujadiliana hapa hakuna atakaempenda Mzee Msekwa....Mama yao akina Julius (RIP),David na Ayoub (RIP) alifariki akiwa na kinyongo kikubwa kuhusu Mzee Msekwa.Huyu Spika wa zamani aliachana na mkewe wa ndoa muda mrefu na kutaka kuoa kanisani huko Ukerewe kitu ambacho Mwalimu Nyerere alikataa kabisa,walijaribu kupindisha taratibu na kutaka kwenda kwenye ndoa ya kanisani.
Mzee Msekwa amemuoa Mama Anna Abdalah kwa ndoa ya kiserikali,na Viongozi hao hawana watoto katika ndoa yao,wameoana mwishoni mwa miaka ya 80.Msekwa kamuoa Mama Anna ambaye tayari alikuwa na watoto 5 (Lazzy,Nyemi,Mwanate,Datsun na Rehema) aliozaa na wanaume 4 tofauti.Mzee Msekwa alikuwa na watoto wawili Julius (RIP) na David ambao Mama yao pia ni marehemu.

Mwenyewzi Mungu amlaze pema peponi Julius.Mateso manyanyaso na vurugu hizi za duniani alizoshuhudia ni vyema apumzike na kuachana nazo,sote tumuombee mapumziko mema!.


Anna Abdalah?????!!!!
 
Back
Top Bottom