Mtoto wa nje ya ndoa

Mtoto wa nje ya ndoa

Kama ni mimi ungeweza kuniambia .... Isingekuwa ni big deal.

I am different charater on this palnet.

Ungekuwa na maswali machache tu ya kunijibu ili kutegeneza hii issue.

Ni uwuzi, tena uwazi kabisa kabisa..ungekuokoa...But dont do this to ua husband...maana mimi naye inawezekana tunatofautiana sana.

Lakini kwanza ..tell me all this very HONESTLY...hata kama ukisikia kufa...Just tell it as it was....Jibu kama mimi ni mume wako!

Was you forced into the act?

What really drove you to that ..Chap?

Ulikuwa fully aware when you went with him?

Unafikiri mimi ningetakiwa nifanye nini ... ili usiende naye ..hapa nina maana there was ..weakness in my part ndio maana..ukapata hiyo nafasi.

Na

Kabala sijaendelea..?

Ilikuwaje Baba wa mtoto akajua kuwa una mtoto naye?

Did you tell him?

Why?

Ulivyomuabia ..didi you fill Highhh..yaani ulikuwa unajisikai vizuri..yaani kama umemkomesha mumeo .....kitu kama hicho..just be very frankly...

Let me get all this answers before you get my advice...!

I am sure all will be very fine..if this is true..story..!
Mkulu hiyo hapo imenifanya nipate picha kama vile unamCROSS EXAMINE mshtakiwa.

Mkulu unafaa zaidi kuwa Lawyer kama siyo Lawyer.

Nimeipenda.

Respect.
 
Aisee hii issue inaonekana ngumu sana lakini mwisho wa siku ni ukweli tu unaotakiwa kwa mmeo na mtoto. Maana ukiacha harafu jamaa yule akaja kudai mtoto itakuwa tatizo kubwa hivyo ni vema hilo likafanyika mapema ili mtoto naye aamue kama atamchagua baba mlezi au kuamua kurudi kwa baba mzazi.

Baba mzazi hawezi laumiwa kwani inawezekana kwakuwa yuko kwenye ndoa na huyu dada yuko kwenye ndoa hivyo kila mmoja inawezekana alikaa kimya kwa upande wake. Lakini kuna siku jamaa atamwambia mke wake kuwa huwa ana mtoto na hapo ndiyo kasheshe itakapokuja.

Makosa kama haya hutokea lakini huwa ni lazima yasemwe vinginevyo matatizo huwa ni makubwa na yenye kuumiza sana.
 
"You have no right to call me father and I got no right to call you son" aliwahi kuimba Lucky Dube akielezea tukio kama la Da'Maindainda!
Japo nimechelewa pls let me share a live example related to this one:
Nina rafiki yangu wa karibu mno ambaye alililewa katika mazingara kama haya, yeye ni mzaliwa wa kwanza kwa wazazi wake, akifuatiwa na wadogo zake watatu wawili wa kike na mmoja wa kiume kwenye familia yao ya watoto wanne! Kimaisha wazazi wake hawa hawakuwa na maisha mazuri sana na huyu rafiki yangu alijitahidi mno kujaribu kuweka mambo sawa ikiwa ni pamoja kuwahudumia wadogo zake pamoja na wazazi wake.
Huyu rafiki yangu pia alijitahidi kufungua biashara ndogo ndogo kijijini kwao pamoja na kununua mashamba na BABA zake wadogo walikuwa ndio wasimamizi. Maisha yalisonga mbele kwa staili hii hadi mwaka 2005 alipougua baba yake mzazi, Rafiki yangu alifanya juhudi zote za kumpatia matibabu baba yake kwa muda mrefu bila mafaniakio na bahati mbaya baba yake alifariki mwaka huo huo. Alifanya taratibu zote za mazishi na baada ya kumaliza mambo yaliendelea kama kawaida!
KASHESHE! iliibuka mwaka 2007, ikiwa ni miaka miwili baada ya kumzika baba yake! Aliibuka baba mwingine na kudai kuwa ni mwanae! (HUYU rafiki yangu keshaoa tangu mwaka 1998 na ana watoto wawili!) Huyu baba kila kitu anafanana naye! Hiii ilimuweka huyu rafiki yangu katika hali ya kuchanganyikiwa na kutoamini na hadi leo hii hataki hata kumuona huyo baba yake mzazi (japokuwa ni mtu anayejiweza kiuchumi na rafiki yangu mambo yake sio mazuri) huyu baba kamuahidi mambo kibao lakini jamaa kagoma kabisa
KIBAYA ZAIDI baada ya huyu baba kujitokeza jamaa ilibidi amvae mama yake ambaye yuko kijijini na kumuuliza, mama alishindwa kumjibu akamuelekeza kwa wajomba zake ambao walimwambia kuwa ni kweli na hata BABA aliyemzika alikuwa anafahamu kuwa hakuwa mwanae! Baba zake wadogo nao pia walikuwa wanalifahamu hilo na walipoona kuwa ameshafahamu wakaanza kumuwekea mipaka, biashara na mashamba wamechukia na imekuwa kama wamemtenga! Jamaa amekuwa mpweke sasa kwani ndugu wa upande wa baba aliyemlea hawamtaki na wa upande wa bilogical father hawafahamu na wala hataki kuwasikia!
Honestly hii hali imemuathiri sana kisaikolojia na hata kiutendaji ameshuka sana pamoja na ushauri anaoupata mara kwa mara!
Tofauti kwa huyu rafiki yangu ni kuwa watu wengi katika familia walikuwa wanalifahamu hili baada ya mama kuamua kumueleza ukweli baba'ke kuwa wakati anaolewa alikuwa na mimba ya mtu mwingine, na huyu bwana (mwenye mimba) hakuwahi hata mara moja kujitokeza kwa mtoto.

Da'Mainda hili jambo ni gumu na lahitaji busara za ziada, ila kama ulivyoamua mueleze mumeo na pia mtoto kuepusha mabalaa ya uzeeni!

Aisee huyu jamaa anatia huruma. Yaani baada ya kumyima haki yake siku zote hizo leo hii amejua tena kutoka kwa mtu mwingine then wanamtenga? Kwakweli dunia hii watu wabaya sana. Mimi ningekuwa mimi ningetimua nikaenda kuanza maisha mapya maana huu unafiki ni ngumu sana kuuvumilia. Makosa niya wakubwa siya kijana tena hasa mama yake inabidi amsaidie kijana wake kuliko kumwacha anateseka bure. Kwani yeye ndiye alimwambia huyo mama awe na uhusiano na huyo baba. Pole yake sana.
 
arrrg wewe maindamainda unaudhi sana......ulikubalije kupanua miguu wakati umeolewa?

.....haya mambo ndio yanayosogeza goal yangu...bado kidogo nitaungana na akian Icadon no kuoa.Kama kuoa kwenyewe upuuzi ndio huu wanawake mnawafanyia waume zenu its better niwe nakamata ma striper najimegea......
 
wanaume hufanya hivyohivyo ila bahati nzuri wakiishazalisha wanaacha aliyezaa apambane,
mwanamke inakuwa issue kwakuwa mahusiano ya mama na mtoto ni makubwa toka tumboni hadi kuzaliwa, wazalishao wake za watu ni waume za watu......
 
Bibi Kizee,
Asante sana. Kuna wakati huwa siwaelewi wanaume kabisa, kwa jinsi wanavyokuwa na double standards.
 
Bibi Kizee,
Asante sana. Kuna wakati huwa siwaelewi wanaume kabisa, kwa jinsi wanavyokuwa na double standards.
Huwezi kuwaelewa kamwe......

Iweje utoke nje ya ndoa ilihali una mume wako? usiniambie ni shetani....ujue unanizidishia hasira
 
ukisoma posts nyingi humu, ni vigumu kuona wanaume wakikubali kuwa wanachangia katika kuparaganyisha familia na kumomonyoa maadili.
Utakapojaribu kuibua maswala utasikia ohh ulifanya research! Bahati mbaya sana kwa vile hatutaki ku disclose identities zetu tunashindwa kuleta takwimu zenye uhalisia na hivyo kuonekana kama tunaoleta hadithi za saloon kama wanavyopenda kusema Yoyo,Ngwaninyami A.K.A...A.K.A......na Masanilo- the trio ( mnaniboa sana!).The bottomline is - men put ur act together kama mnataka mabadiliko!STOP BLAMING WOMEN - ACCEPT THE FACT THAT YOU TOO HAVE UR OWN SHARE IN IT! U WANT CLEAN RELATIONSHIPS - MAKE SURE U R CLEAN.
 
Aisee hii issue inaonekana ngumu sana lakini mwisho wa siku ni ukweli tu unaotakiwa kwa mmeo na mtoto. Maana ukiacha harafu jamaa yule akaja kudai mtoto itakuwa tatizo kubwa.

Subutu yake! Hawezi kudai mtoto kwa mke wa mtu na kama anaipenda ndoa yake, au kama mkewe hazai basi watakubaliana. Vinginevyo ni hadithi.
 
naungana mkono na wadau waliopita ya kuwa "only truth shall set U free. Kumbuka hata kama baba mzazi halisi hana uthibitisho kuwa mtoto uliyenaye ni mwanawe but DNA inaweza kuthibitisha dada angu.

The earlier the better labda mzee akiujua ukweli atakasirika kwa muda na hata kukufukuza but if he really loves U na kama utampigia magoti ukakili kwa moyo wako wote, atakutafuta and U'll enjoy the marriage again

Piga moyo konde mwite umwambie....ikiwezekana shirikisha wazazi pia katika jambo hilo... kumbuka unavyochelewa ni hatari zaidi..

But make sure it doesn't happen again, mean kumcheat...maana utakuwa unatonesha kidonda.
 
Kwa wale wajuao sheria - Kisheria, huyu mtoto ni wa nani?

Kama ni wa Biological father, naweza kufanyaje awe wa kwangu?

Kama alivyoshauri Pundit, hata kama hayupo katika birth certificate, anaweza kushinda kwa kuangalia Vinasaba-DNA, kama ni mtu anaependa fujo au kuna watu hawajali ndoa zao au zimewashinda na wanaweza kutumia chochote ili mke/mume apate EXIT way. Najaribu kuwa mwangalifu hapa.

Ni jambo ngumu sana ukweli ni kwamba wapo watu wengi wa jinsi yako lakini hawana ujasiri wakuliweka wazi.Kwa mtu wa kawaida ni gumu kulipokea japokuwa inaonyesha fadhaiko kubwa ulilonalo moyoni. Inaniashilia kuwa jambo hilo lilitokea kwa bahati mbaya jambo ambalo humtokea mtu yeyote maana tumewahi kuona mtu akitembea na mtu ambaye akijiuliza baadaye anasema hivi ilikuwaje?Kuteleza siyo kuanguka kama ungeweza kukili kwa mumeo na kuhakikisha kwamba kosa hilo hulitendi tena kwa vyovyote hiyo ndo ingekuwa zawadi pekee kwa mumeo yaani uaminifu.
Wahenga walisema Kitanda hakizai haramu msemo huo uchukulie kuwa wapo wengi na haikuanza leo. Ziko siri watu wanaingia nazo mpaka kaburini lakini kitendo chako cha kuswuta na hilo ni kwamba unataka kutoa ile hali yakusutwa na nafsi yako.Basi kama unaweza mwambie mumeo uwetayari kulipa gharama ya tendo hilo na gharama yake itakuwa na ahuweni kwako maana utaona kama umetuwa mzigo fulani.Kila action ina Impact yake.
 
Nimewaambia jamaa zangu wa4 wakapime DNA j3 yawezekana huyu mahindamahinda akawa mke wa mmoja wao....
 
Nimewaambia jamaa zangu wa4 wakapime DNA j3 yawezekana huyu mahindamahinda akawa mke wa mmoja wao....

Usiwapandishe presha wenzio, kwanza usikute na wao wana watoto nje kwa kujijua/kutojijua!..
Ukimchunguza sana bata hautamla nakwambia!..Wakina maindainda wapo wengi kwenye jamii sema ujasiri wa kusema ukweli hawana vile wamekosea na wataaibika pia kuogopa talaka na vitu kama hivyo!
 
Usiwapandishe presha wenzio, kwanza usikute na wao wana watoto nje kwa kujijua/kutojijua!..
Ukimchunguza sana bata hautamla nakwambia!..Wakina maindainda wapo wengi kwenye jamii sema ujasiri wa kusema ukweli hawana vile wamekosea na wataaibika pia kuogopa talaka na vitu kama hivyo!
acha kabisa kauli hizo ndio zimenifanya nizidi kusogeza goal....

yaani waendelee kuhudumia watoto wasio wao? mambo ya Saleh wa clouds Fm noma.....ushaolewa kwanini uzini nje?
 
acha kabisa kauli hizo ndio zimenifanya nizidi kusogeza goal....

yaani waendelee kuhudumia watoto wasio wao? mambo ya Saleh wa clouds Fm noma.....ushaolewa kwanini uzini nje?

Siku hizi unalea mimba mtoto akishazaliwa tu basi unahakikisha unafanya DNA kuhakikisha mtoto aliyezaliwa ni wako hasa kama anafanana na bibi au babu wa Babu wa Mke wako ambao si ajabu wewe hujui hata wanafananaje. Akili mkichwa!!!!
 
acha kabisa kauli hizo ndio zimenifanya nizidi kusogeza goal....

yaani waendelee kuhudumia watoto wasio wao? mambo ya Saleh wa clouds Fm noma.....ushaolewa kwanini uzini nje?

Usisogeze goal mbele kisingizio kubambikiwa mtoto labda kama hujadhamiria kuoa kutokana na mambo mengine.
Kuna haja ya kuwa mkali(siyo cris brown style) kwa mamaa kuwa kuna DNA na akikubambikia mtoto utapata ukweli ili ajue mumewe moto chini!
Hakuna haja ya kuzini nje wakati umo kifungoni ila mambo yanatokea sana kwenye mazingira tunapoishi!..
Make sure unaoa hiyo 2010, eti mwanaJF Yo Yo bwanaharusi mtarajiwa!..I can imagine maana utakuwa unawaza DNA DNA tu! Haitokei kwa kila mtu pia usimcheke mtu kesho yakakukuta halafu uelewe vizuri kashkash za maisha!..
 
Msanii kaka ukimwi unatafuta mwenyewe...

Hii ni kesi ngumu kiasi ...

Ifuatayo inaweza kuwa majibu ya kesi yako...

Habari insikitisha na inahuzunisha.

Ningependa kusema yafuatayo kwa dada yetu. Nami ninasema haya kama muislamu, lakini kama mhusika si muislamu, basi ningemshauri aende kwa viongozi wa dini yake, au katika taasisi za kijamii zinazohusika na maswala ya kusaidia kina mama wenye matatizo ya ndoa, akapatiwe ushauri nasaha.

Anyway, katika mafundisho ya mtume Muhammad (SAW) mtoto ni wa baba mwenye ndoa (MTOTO NI WA KITANDA) na mzinzi hana lake (MZINZI AKALE MAWE), kapoteza nguvu zake na muda wake na siku ya kiama atakuja kuadhibiwa na mola wake. Usijihisi unyonge, kata mawasiliano na huyo mtu kabisa, na akiendelea kukufuata fuata, tumia njia zote za halali kumzuia kwani anataka kukuvurugia maisha yako.

Pamoja na kuwa nimesema hayo kuna maswala mawili matatu:
Swala la kwanza ni la uzinzi na kutunza hesima ya ndoa. Kesi ya dada yetu huyu ni Case Study nzuri za athari ya mambo kama haya na inaweza ikampelekea mtu katika Dilemma na Stress ambazo hazina ufumbuzi sahihi. Ushauri wangu katika hili ni kuwa TUBU kwa mola wako, jiwekee ahadi ya kweli ya kutorudia tena, huku ukiendelea kujuta kwa yale uliyoyafanya.

Kuhusu mumeo, jitahidi kumfanyia mema mengi sana, ili kujenga mazingira ya kuwa hata kama atajua kwa namna yoyote basi atakuwa tayari kukusamehe. Pia jitahidi kuwafanyia mema familia ya mumeo kwani katika jamii zetu za kiafrika (familia) nao pia wana mchango wao katika usalama na ufanisi wa maisha ya ndoa.

La mwisho ni kuwa usimwambie mumeo, isipokuwa kama hakuna namna nyingine ya kuficha maovu ambayo yamepita. Nasema hivi kwa sababu mbili: Kwanza ni kuwa Mungu hapendi kutangaza / kueneza habari za maovu, isipokuwa kama unafanya hivyo ili kudai haki yako (Rejea 4:148). Sababu ya pili ni kuwa hatujui nini reaction ya huyo jamaa kama utamweleza habari kama hizo. Anaweza kuamua kukuuwa, hivyo utakuwa umejisababishia kifo au maangamizi, Jambo ambalo; again, ni haramu.

Binafsi kama jambo kama hili litanitokea, my WORST possible reaction will be to divorce the woman, and let her free.


hio nimeona kaka mmoja mwenye maarifa ya DINI ya Kiislam akijaribu kutoa ushauri wake, ukiona Haukutoshi, basi tafuta wengine...

kuacha mke siyo suluhisho, kosa la kwanza halimwachi mke huyu dada ameteleza angekuwa ni mtu wa makusudi asingehudhunishwa na nafsi yake,Tatizo kubwa hapa siyo kumweleza mume wake bali ni jinsi gani ataaminika tena kwa mumewe(Trust) hicho ndicho ninachoona kinamsumbua.
Pendo la kweli halifi kama bwana ana mapenzi na mkewe hilo linaweza kutatulika kwanza kwangu kama mwanaume kitendo cha mke wangu kuniambia hilo japo kuwa litaniuma sana lakini litanipa heshima kuwa hakika huyu mama ananipenda na kuniheshimu kwani hakuwa na sababu yakuniambia
amenihurumia (huruma ni moja ya vigezo vya mapenzi ya dhati) Dada yangu napenda kukupa pongezi kwa jinsi ulivyo na huruma na pendo la dhati kwa mumeo.Mwambie mumeo naye umuone pendo lake liko vipi.
 
Siku hizi unalea mimba mtoto akishazaliwa tu basi unahakikisha unafanya DNA kuhakikisha mtoto aliyezaliwa ni wako hasa kama anafanana na bibi au babu wa Babu wa Mke wako ambao si ajabu wewe hujui hata wanafananaje. Akili mkichwa!!!!

hii discussion is quite revealing!
So the prob seems to be real and big.Im just thinking out loud..hivi tuseme mume atakapoanza kumwambia mkewe... hebu tukapime DNA tujue kama mtoto ni wangu au la, halafu wakipima ikaonekana mtoto ni wa mume, huko nyumbani kutakalika?Binafsi mimi nikifikishwa kwenye situation hiyo sijui kama hiyo ndoa itakaa tena.
 
Siku hizi unalea mimba mtoto akishazaliwa tu basi unahakikisha unafanya DNA kuhakikisha mtoto aliyezaliwa ni wako hasa kama anafanana na bibi au babu wa Babu wa Mke wako ambao si ajabu wewe hujui hata wanafananaje. Akili mkichwa!!!!

Maana utasikia kucha kama za bibi au mjomba, kha! hapo mimi nachoka mtoto kazaliwa hata mwezi hana anafanana kucha na mtu halafu akifika mwaka kucha zinafanana na mtu mwingine!..
Bora mfanye DNA zenu mapema ili mlee watoto vizuri badala ya kuwa na wasiwasi kila siku wakati kama baba unatakiwa ushiriki kwenye malezi ya mwanao na mkeo/partner!
 
Mchongoma,

Nimekuelewa, thanks. Nadhani tatizo kubwa lako ni hiyo jinsia tofauti maana watoto unao. If,I may ask, would you have felt differently if that child was of same sex like those at home?

Lakini, kama mtoto anapata malezi mazuri, anakua, kwanini unataka akutambue kuwa wewe ni baba yake siku moja? Umpe jina lako au?Hivi akikuita kikao wewe na mama yake kuwahoji mlivyofanya hutaona aibu? Kwanini unamtaka at some point kama anaendelea vizuri, mi nashauri kula jiwe unless yule mama ataachika kwa sababu yoyote ile au yule baba atagundua na kumkataa. Dont pressurize that woman to say or do anything pls.

Mwanamke wa kawaida hawezi kumuita mtoto wake pembeni na kumwambia baba yako ni mwingine wakati analelewa na baba mwingine. Protect her/him from this please. Mtamchanganya mtoto atahisi ha-fit hapo nyumbani wala huko kwako kwenye wengine, mwishowe ataamua kula unga, au ulevi na kukimbilia ktk mahusiano ya ma-boyfriend au ma-girlfriend kadhaa akitafuta mtu wake atakaemjali, who may take advantage na kum-break zaidi na zaidi. Utampoteza mtoto baba, shauri yako.

INaona na mimi nimetoa ushauri leo. Mengi nimejifunza humu na nakaribia kuhitimu na kuhitimisha.

Maindainda, damu siku zote ni nzito kuliko maji,ni afadhali kama huyo jamaa angekuwa hajui kwa hiyo siyo rahisi ifutike hata kama angekuwa hana watoto wa jinsia moja chako ni chako.you never know hivi huyu mtoto akija kuwa maarufu na baba yake anajua itakuwaje?
 
Back
Top Bottom