Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,210
- 1,738
7 years sasa kitu kinaahirishwa na siku zinavyokwenda najihisi kuwa huru zaidi nikiwa single namna hii.......ya nini mtoto kzualiwa safari za kwa mkemia mkuu zianze.....kumbuka hapa hatuangalii mtoto tu......kuna kisonono,Gono,Pangusa na Ukimwi....Usisogeze goal mbele kisingizio kubambikiwa mtoto labda kama hujadhamiria kuoa kutokana na mambo mengine.
Kuna haja ya kuwa mkali(siyo cris brown style) kwa mamaa kuwa kuna DNA na akikubambikia mtoto utapata ukweli ili ajue mumewe moto chini!
Hakuna haja ya kuzini nje wakati umo kifungoni ila mambo yanatokea sana kwenye mazingira tunapoishi!..
....swali kwanini atoke nje????? mtoto anaweza kuwa wangu lakini je kama kaukwaa?...... alafu hii masuala eti yanatokea ndio sitaki kusikia..yatokee huko huko lakini sio kwangu.....
....mie niko very simple sana nawapa uhuru sana TGNP....akiona kapata pedejee lingine nampa go ahead.....na imenisaidia sikai na TGNP miezi miaka mi3....tunavunja mkataba....
Nilianza 2002 nakumbuka niliona demu wa msela anachemka na watu nikaona woote wako hivyo.....sitaki presha....nikavuta aka 2 nakuta bado wako vile vile tena ndio kama wamechanganyikiwa....ikavutwa mpaka 2008-now naona mauza uza tu nimeweka hapo labda iwe inanikumbushaMake sure unaoa hiyo 2010, eti mwanaJF Yo Yo bwanaharusi mtarajiwa!..I can imagine maana utakuwa unawaza DNA DNA tu! Haitokei kwa kila mtu pia usimcheke mtu kesho yakakukuta halafu uelewe vizuri kashkash za maisha!..
.....kisa ya Saleh wa clouds nimeisikiliza imenifanya nife moyo kabisaaaaa