Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 51,088
- 72,506
Unaendelea na mahitimisho yasiyofaa
Kwanini tu usifikirie kuwa huyo jamaa alifikia hivyo baada ya kuchishwa na karaha za mkewe kwa sababu ameshasema kuwa ana tabia ya ukorofi?
Basi mi nimshauri kua kama mjomba anamsomeshaa mtoto basi amshaur mkewe amrudishee mtoto aishi kwa bibi au kwa mjomba wake au wampeleke boarding kabisaa akirudi likizo apitilizee kwa mjomba wakee