Mtoto wa Mke wangu: Sheria inasemaje?

Mtoto wa Mke wangu: Sheria inasemaje?

Ukiendelea Kuish na uyo mwanamke.......ww n mkaleeeee...yan kupiga pas tu anajibu hivyo? ???????
 
Ndo maana inashauriwa usioe mwanamke aambaye keshazaa tayari

Ni ushauri wa nani huo?

Na wewe kama umezaa nje ya ndoa inakuwaje? Wanaume tusivutie upande wetu tu wote tuna haki sawa! Huyo mtoto atunzwe kama unavyotunza watoto wako. Kumnyanyapaa itakuwa humtendei haki.
 
Na ni kwanini aoe mwanamke ambae ana mtoto,hakuwaona ambao hawana watoto
Mbona wengine wanaoaa mwanamke ambae ana watoto kuanzia wawili na anawasomesha pia kuwalea kama watoto wakee
Ukiona huwezi kua na moyo mpana na roho iliyojaa uchoyo na roho mbayaa dawa ni kuoaa mwanamke ambae hamna mtoto una waachia wanaowezaa


Hiyo ipo na nibahati yake huyo mwanamke, kimaadili wanawake punguzeni kuzaa kabla ya ndoa sio mnazaazaa eti mwanaume atakayekuoa atawatunza watoto wa lijamaa jingine maana akipenda embe apende pia na mwembe. Afadhali kubwa unakuta mwanamke wa miaka 32 kazaa kabla ya ndoa maana alisubiria au wanaume walimhadaa sio unakuta binti wa chini ya miaka 18 kazalia nyumbani kipi kilimfanya azae mapema? Na aliyemzalisha wakati akiwa kwenye umwali yuko wapi? kwanini unze kuwapa mizigo wengine? Sababu mkuu ni wanawake kuanza kupenda kuonjwaonjwa mapema na wanaume wengi matokeo yake wanatengeneza mabakuli na kuja kulalamikia bamia
 
Hiyo ipo na nibahati yake huyo mwanamke, kimaadili wanawake punguzeni kuzaa kabla ya ndoa sio mnazaazaa eti mwanaume atakayekuoa atawatunza watoto wa lijamaa jingine maana akipenda embe apende pia na mwembe. Afadhali kubwa unakuta mwanamke wa miaka 32 kazaa kabla ya ndoa maana alisubiria au wanaume walimhadaa sio unakuta binti wa chini ya miaka 18 kazalia nyumbani kipi kilimfanya azae mapema? Na aliyemzalisha wakati akiwa kwenye umwali yuko wapi? kwanini unze kuwapa mizigo wengine? Sababu mkuu ni wanawake kuanza kupenda kuonjwaonjwa mapema na wanaume wengi matokeo yake wanatengeneza mabakuli na kuja kulalamikia bamia

Ndugu zako ambao ni jinsiaa ya kike wote wameolewaa ndio wakazaa??maana sasa takwimu ni kubwa wanaozaa bila kuolewaa unakuta binti ana miaka 13 au 15 keshazaaa wafanyeje na wanaume ndio wanawaharibu!!!

Mi nadhani ni roho ya mtu ni wachache sana wanaoweza kulea watoto wa wenginee maana wengi wana roho mbaya
Muangalie Mange Kimambi ana mtoto na kaolewaa na mwanaume na wakafunga ndoa na kumchukua mtoto wake kuwahamishia Marekan,na anamtunza sawa na yule mtoto mwingine wa kwake mwanaume
WANAUME ACHENI ROHO MBAYAA
 
Ndugu zako ambao ni jinsiaa ya kike wote wameolewaa ndio wakazaa??maana sasa takwimu ni kubwa wanaozaa bila kuolewaa unakuta binti ana miaka 13 au 15 keshazaaa wafanyeje na wanaume ndio wanawaharibu!!!

Mi nadhani ni roho ya mtu ni wachache sana wanaoweza kulea watoto wa wenginee maana wengi wana roho mbaya
Muangalie Mange Kimambi ana mtoto na kaolewaa na mwanaume na wakafunga ndoa na kumchukua mtoto wake kuwahamishia Marekan,na anamtunza sawa na yule mtoto mwingine wa kwake mwanaume
WANAUME ACHENI ROHO MBAYAA


Mzungu yule wa Mange ni ---- na bahati ya Mange ni wachache wanaipata wanaume wengi hupenda mwanamke ambaye hajazaa mapema sio miaka 16, 17, 18 mwanamke kazaa inaonyesha alikuwa hajatulia heri azae nje ya ndoa juu ya miaka 25 siku hizi wengi wanazaa nje ya ndoa baada ya kumaliza chuo, wanaozaa wakiwa sekondari ni kutotulia huko ndio maana wengi jamaa zao walio zaa nao huwatosa na kutojali watoto. kuzaa mapema ni ukosefu wa maadili kwani mwanamke alilazimishwa kulalwa? wanaozaa wadogo wakiwa yatima naelewa maana ni shida zilifanya sio binti ana mama na baba anazaa kabla ya ndoa akiwa na miaka 18 na shule hajamaliza
 
Yap ni bahat ilikua zamani lakini siku hizi wanaolewaa tu
cc mwanamutapa
 
Kakangu, mimi nakunasihi usiuvunje moyo wa mapenzi ya mtoto kwako,umemfanyia mengi sana na Mola atakujazi, bila shaka ni mtoto mwema na hawezi kusahau yote uliyomfanyia,kwahivyo kesi ndogo ndogo kama hiyo ya kutopigiwa pasi nguo zako zisifikie kumsimamishia mema unayomtendea huyo mtoto.Kumbuka huyo mtoto mbele ya macho yake na moyo wake ameleleka akikutambuwa wewe kama baba leo uje umvunje moyo wake na mapenzi yake kwako kwa jambo dogo kama hilo,ningekuomba uendelee kumpa matumaini mema na amani moyoni mwake asiwe na hofu yoyote in future,iko siku ni yeye atakae kuja kukufaa sana hapo baadae.
 
Mkeo ana makosa, ila wewe kuhusisha hilo kosa na kumuhudumia mwanae ni kosa zaidi.
Natamani amtafute huyo baba wa mwanae, tena aba uwezo mzuri, wawe wanakutana kujadili maendeleo ya mwanae na kuchukua matumizi kisha watiane
 
Kama utamuacha mke kisa ugomvi wa kupiga pasi, wewe ni hovyo!!
Mke anaweza kujibu hivyo kutokana na mood mbaya tu, au ww ulivyoomba kupasiwa, ila kesho ukakuta kanyoosha nguo zote. Mbona kupeana majibu ya ajabu one tym one tym ipo sana. Ni kuzoeana
 
Wakati Unamuoa ulimkuta akiwa na Mtoto Ukakubali kukaa naye SaSa vipi unamruka? huyo mi mtoto Wako tu! So Vumitia utayashinda. huyo mtoto Hana Kosa So hakuna haja ya Kumwonea
 
Ndugu zako ambao ni jinsiaa ya kike wote wameolewaa ndio wakazaa??maana sasa takwimu ni kubwa wanaozaa bila kuolewaa unakuta binti ana miaka 13 au 15 keshazaaa wafanyeje na wanaume ndio wanawaharibu!!!

Mi nadhani ni roho ya mtu ni wachache sana wanaoweza kulea watoto wa wenginee maana wengi wana roho mbaya
Muangalie Mange Kimambi ana mtoto na kaolewaa na mwanaume na wakafunga ndoa na kumchukua mtoto wake kuwahamishia Marekan,na anamtunza sawa na yule mtoto mwingine wa kwake mwanaume
WANAUME ACHENI ROHO MBAYAA

Hii post yako imepoteza maana na mantiki kwa kumreference Mange, nimekudharau sana.
 
Ni ushauri wa nani huo?

Na wewe kama umezaa nje ya ndoa inakuwaje? Wanaume tusivutie upande wetu tu wote tuna haki sawa! Huyo mtoto atunzwe kama unavyotunza watoto wako. Kumnyanyapaa itakuwa humtendei haki.

I see!....

Zezeta mkubwa wewe ni nani alikudanganya wanaume na wanawake wana haki sawa?? Mama yako anaweza kuwa na waume wawili? Je vipi kuhusu baba yako? Anaweza kuwa na mke zaidi ya mmoja au hawezi?
 
Siku baba wa mtoto akianza kuhusishwa kwenye malezi ya mtoto naona ndoa itafika ukomo....
Kwa kiasi kikubwa kwa kuwa huyu mzazi hana anayoshikiana na mke, basi angalau amani inakuepo..

Kwa vyovyote hamna uhusiano kati ya kupasi nguo na kulea mtoto..
 
maneno alomtolea ayahusiani na ugomvi walokuwa nao, kumlea mtoto aliamua mwenyewe ipo sku atahusisha na vitu alivyoweza kuvifanya kwao mwanamke km ndugu wa mwanamke wanaenda kuwatembelea na jamaa akasaidia sometimes nauli, atazisemea sku1 ktk ugomvi. Najiuliza ina faida gani yeye kutoa msaada kumbe inamuuma c angeacha tangia mwanzo? Msaada anaoutoa kwa mtoto havihusiani kabisa na ugomvi wa mke wake kutokuwajibika


Mkuu mahusiano yanayotakiwa hapo ni Mapenzi ya kweli baina yao........Sasa unapogundua ya kuwa hakuna mapenzi ya kweli matokeo yake ni hayo......kwa maana ya Nipe Nikupe....Au wewe hutoa bila kupewa au kutarajia kupewa.....kitu ambacho hakitokei Duniani.......Huyo mke ni kiburi, asiyejua dhamani ya kupendwa...au anatikisa kibiriti na inaonekana una mapenzi ya kweli lakini huna mke wa kweli ipo siku mutaachana kabisa its like smooking Gun.....
 
Wakati Unamuoa ulimkuta akiwa na Mtoto Ukakubali kukaa naye SaSa vipi unamruka? huyo mi mtoto Wako tu! So Vumitia utayashinda. huyo mtoto Hana Kosa So hakuna haja ya Kumwonea

Mkuu hakuna msaada ambao hutolewa bila kuwa na matarajio mazuri kwa mtoaji msaada never.........na ukipewa msaada umshukuru yule akupae msaada na si kumtolea maneno ya kejeli lazima atasitisha msaada wake......Je mtaani kwenu hakuna watoto ambao wanahitaji kwenda shule na wanashindwa kwa kukosa mahitaji muhimu mbona hamuwasaidii na kama munawasaidia munatarajia kupata nini.....na kama hakuna matarajio ya eidha ya kujifaharisha, kupata heri za Mungu, na mambo mengine unategemea utatoa tu msaada hivihivi Subutuuuuuuuuuuuuuuuuuu...........
 
Kwanini mkeo hataki mwanae aende kwa baba yake?????

Kama ishu ya kupiga pasi nguo inaleta matatizo yanayomgusa mtoto asiye na hatia, najaribu kutafakari siku atakapogoma kukupashia moto kiporo. Zawadi alizopewa baba mkwe zitahusika walahi.

babu una mambo umenifurahisha sana
 
I see!....

Zezeta mkubwa wewe ni nani alikudanganya wanaume na wanawake wana haki sawa?? Mama yako anaweza kuwa na waume wawili? Je vipi kuhusu baba yako? Anaweza kuwa na mke zaidi ya mmoja au hawezi?

Hilo swali kamwulize mamako! Mavi kubwa wewe!!
 
Back
Top Bottom