Mtoto wa Mke wangu: Sheria inasemaje?

Mtoto wa Mke wangu: Sheria inasemaje?

Ngoja ngoja, hapa moja moja!
...
Case yako inafall under family law.
Kwa kuanzia tu, unapaswa utambue nini maana ya family:
Family is not limited to father, mother and children!
Eg: ukiishi pamoja na ndugu zako tu bila mke wala watoto hiyo ni family according to family law of Tz!
...
Ngoja nispecify!
Huyo mtoto wa mkeo ni part of ur family kwa sababu mbili:
1 ni mtoto wa mkeo!
2 mnaishi pamoja!
Wewe na mkeo kisheria mnajulikana kama ni mtu mmoja! Na ndio sababu wife and husband are not bound to provide any evidence against other!
Kwa maana hiyo, mtoto wako ni wake na mtoto wake ni wako, however watoto wa hivyo wanakua excluded kwenye kurithi tu!
Hata hivyo unaweza ukamrithisha kwa kumuadopt or by will!
...
As that is a family, head of family (ambae ni wewe) unakuwa bound to provide ALL necessary service to your family, includes DUTY OF CARE! So any legal loss itakayotokea ktk familia yako, inayotokana na wewe kushindwa jukumu lako (duty of care) utawajibishwa!
...
Hayo maneno yote yanamaana ya kuwa, unawajibu wa kumuhudumia huyo mtoto na wala sio option kama ufikiriavyo!!!
...
Kwa upande wa pili mkeo kutokupigia pasi ni kosa kiutamaduni, kidini na hata kiutu (moral) but sio kosa kisheria (statutory law) hiyo inamaana hauwezi hata kumfungulia kesi kwa issue hiyo!
...
Huu ni ushauri wangu kwako:
hudumia mtoto wenu na wala usihudumie hivyo ili upigiwe pasi!
Huyo mkeo hajitambui, na dawa yake ni kumtafutia mke wa pili if possible!
If not, washirikishe wazazi/walezi wake juu ya hilo tatizo!
...
For sure, mapenzi hayataki ushindani!!!
 
According to dini ya kiislamu: Mtoto wa mkeo ni mtoto wako, na anastahili malezi yote kutoka kwako including mirathi.
Mtoto wa mumeo (kama wewe ni mwanamke) SIO mtoto wako na hatambuliki kisheria.

Kama umechanganya?
 
According to dini ya kiislamu: Mtoto wa mkeo ni mtoto wako, na anastahili malezi yote kutoka kwako including mirathi.
Mtoto wa mumeo (kama wewe ni mwanamke) SIO mtoto wako na hatambuliki kisheria.

Ila na nyie alotunga sheria zenu sidhani kama alikuwa timamu,mara kuoa wake kumi kumi yani nachukia sanah
 
yan ningekuwa mimi nisingeongea chochote ningekuwa naondoka asbuhi cjanyoosha naingia kwenye gari naondoka na jion narud zmenyooka vzuri. Siku nikiona vp narud nimebadilisha nguo kabisa. Angepata adabu

Umekosea kumhusisha mtoto. Epuka kujibizana na mwanamke ndani ya ndoa. ukiona umemwambia hajakuelewa fanya kwa vitendo kimyakimya.

Mkuu Nyumba ndogo haijawahi kuwa TIBA ya matatizo ya NDOA wengine tulishapita humo 2najua!
 
Ngoja ngoja, hapa moja moja!
...
Case yako inafall under family law.
Kwa kuanzia tu, unapaswa utambue nini maana ya family:
Family is not limited to father, mother and children!
Eg: ukiishi pamoja na ndugu zako tu bila mke wala watoto hiyo ni family according to family law of Tz!
...
Ngoja nispecify!
Huyo mtoto wa mkeo ni part of ur family kwa sababu mbili:
1 ni mtoto wa mkeo!
2 mnaishi pamoja!
Wewe na mkeo kisheria mnajulikana kama ni mtu mmoja! Na ndio sababu wife and husband are not bound to provide any evidence against other!
Kwa maana hiyo, mtoto wako ni wake na mtoto wake ni wako, however watoto wa hivyo wanakua excluded kwenye kurithi tu!
Hata hivyo unaweza ukamrithisha kwa kumuadopt or by will!
...
As that is a family, head of family (ambae ni wewe) unakuwa bound to provide ALL necessary service to your family, includes DUTY OF CARE! So any legal loss itakayotokea ktk familia yako, inayotokana na wewe kushindwa jukumu lako (duty of care) utawajibishwa!
...
Hayo maneno yote yanamaana ya kuwa, unawajibu wa kumuhudumia huyo mtoto na wala sio option kama ufikiriavyo!!!
...
Kwa upande wa pili mkeo kutokupigia pasi ni kosa kiutamaduni, kidini na hata kiutu (moral) but sio kosa kisheria (statutory law) hiyo inamaana hauwezi hata kumfungulia kesi kwa issue hiyo!
...
Huu ni ushauri wangu kwako:
hudumia mtoto wenu na wala usihudumie hivyo ili upigiwe pasi!
Huyo mkeo hajitambui, na dawa yake ni kumtafutia mke wa pili if possible!
If not, washirikishe wazazi/walezi wake juu ya hilo tatizo!
...
For sure, mapenzi hayataki ushindani!!!

Umeanza vizur lakn ulipofika hapo pakumtaftia mke wa pili ndo umeharibu sana
 
Ndugu mleta mada Mizengwe na yf wako usimungize na Dogo! Utaonekana unamsaidia lkn Moyoni km hulidhiki flan Mtoto wakufikia inatakiwa akupende sio akuogope, Akikuogopa atajenga Dharau kuwa wee cbabaake nahiki ndo kinawakuta wa2 wengi waliofikia Watt anakubali kuishi nae lkn Kuna kipindi anajishtukia km kachemka flan! na mtt akigundua hiyo,,,!. Kuzinguana hom na Mwenzio ni jambo lakawaida ila malizaneni weneyewe!
 
yan ningekuwa mimi nisingeongea chochote ningekuwa naondoka asbuhi cjanyoosha naingia kwenye gari naondoka na jion narud zmenyooka vzuri. Siku nikiona vp narud nimebadilisha nguo kabisa. Angepata adabu

Umekosea kumhusisha mtoto. Epuka kujibizana na mwanamke ndani ya ndoa. ukiona umemwambia hajakuelewa fanya kwa vitendo kimyakimya.

Loh..na ukirudi na ugonjwa nani atakuhudumia?huyo anakupigia pasi nje?na nyie wanaume mnabadilikaga sana..kila kitu tuwafanyie jamani
 
According to dini ya kiislamu: Mtoto wa mkeo ni mtoto wako, na anastahili malezi yote kutoka kwako including mirathi.
Mtoto wa mumeo (kama wewe ni mwanamke) SIO mtoto wako na hatambuliki kisheria.

wewe ni muongo km hujui sheria z kiislam sio unakuja kuropokwa hapa otherwise lete andiko,huyo mtoto hana haki hata moja kwake na kisheria akichoka kumlea kiustaarb amwambie mamaake ampeleke or neither kw bb yke,huyo mtoto hna haki yoyote kw hyo baba,ila km anakaa kwke na yeye kakbli ndo kabeba mzgo na siku akishndwa autue kiustaarabu kwa mapenz,hyo ndio sheria ya dini ye2 tukufu ya kiislam sijui kwa ndugu ze2 wa kikristo inakuaje
 
Nashindwa kuelewa kabisaaa, unataka sharia ya ndoa, sharia ya watoto au sharia a kujamiiana?
 
Wanawake na sie kuna wakati utadhani akili zetu zinakwenda jalalani kwa muda!
 
Poleni wana ndoa.kwa hilo naona na kuhisia kuna shida kubwa kwenye ndoa yako.nayo ni jeuri ww ni jeuri na mkeo pia.mtoto hana kosa.jiulize angekuwa wako na mkeo amnyanyase ungejisikiaje.
 
maneno alomtolea ayahusiani na ugomvi walokuwa nao, kumlea mtoto aliamua mwenyewe ipo sku atahusisha na vitu alivyoweza kuvifanya kwao mwanamke km ndugu wa mwanamke wanaenda kuwatembelea na jamaa akasaidia sometimes nauli, atazisemea sku1 ktk ugomvi. Najiuliza ina faida gani yeye kutoa msaada kumbe inamuuma c angeacha tangia mwanzo? Msaada anaoutoa kwa mtoto havihusiani kabisa na ugomvi wa mke wake kutokuwajibika
Kama na huyo mke wake analijua hilo, alitakiwa awajibike tangia mwanzo kama mme wake alivyojitolea.Inawezekana mme wake alighafirika kidogo, lakini huyo mke ni jeuri rejea kauli ya mme wake.Kwa hatua hii, inapaswa kijana aambiwe Baba wa kumzaa ni nani, vinginevyo itakuwa lawama siku zijazo.
 
Ndo maana inashauriwa usioe mwanamke aambaye keshazaa tayari

Hilo si suluisho la tatizo,unaweza kuoa ambaye ajazaa ikawa mapichapicha zaidi.la maana kueshimiana,kupendana na mtu kujua taratibu zake akiwa kama mama wa familia.inaonyesha huyo mkeo akufundwa namna ya kuishi na mume au ni dharau ya kubadilika ukubwani,aache ujinga anataka nani akupigie pasi kama si yeye? Anatakiwa awe mtii,mnyenyekevu na mwenye busara kwako pia atambue wewe ni mume wake,pili makosa yenu ninyi wazazi haifai kupeleka hasira kwa mtoto ambaye hana hatia,kama uliweza kuishi na uyo mtoto tangu utotoni kwa nini leo hii vikwazo vidogo vikutese? Yakupasa kuyashinda majaribu.
 
Mpe mtoto haki yake ya msingi,na ndo mana uliamua kuishi nae ukiwa kama baba mlezi,kama sivyo ungemwambia amtafute baba wa mtoto tangu awali.je ingekua ni wakwako ungeongea haya ya kutaka kumnyanyapaa mtoto? Mgogoro wako na mkeo suluisheni na si kumchanganya mtoto.mnaonekana nyie ni wababe kwenye ndoa yenu embu jirekebisheni mtainjoy maisha,na pia mkeo atambue wajibu wake akiwa kama mama.
 
Umeanza vizur lakn ulipofika hapo pakumtaftia mke wa pili ndo umeharibu sana

Nimeona comment yako hapo juu ukilaani habari za uke wenza!
Nadhani unajudge kiimani instead of logic!
...
Uke wenza sio lazima ktk uislamu but kunamazingira flani yakitokea ktk ndoa ni vizuri mtu akatumia hiyo fursa!!!
...
Ngoja nije kiupande wako sasa!
Ivi wewe utafanyaje pindi umeolewa, na ukagundua mmeo hajatulia? Na jee itakuaje endapo atarudi safari, kabla ya kujigjig ukagundua ana VVU???
Nimekuuliza hivyo ili uache kuannoy dini za wengine! Hata dini yako inarules zisizoingia akilini!
Talaka ni muhimu sana, as well as binadamu tunatofautiana!
...
Back to topic!
Kwani ukewenza unamadhara gani?
Tuseme huelewi faida za ukewenza?
...
Tumia logic ktk kujibu maswali niliokuuliza!
 
Mchunguze vzuri mkeo, inawezekana anapokea huduma pia kutoka kwa baba wa mtoto wake

Nina wasiwasi hata ada ya shule analipa baba wa mtoto. Ila mke anasingizia kwamba huwa inalipwa na mjomba wa mtoto! Inawezekana kabisa, ndoa hii ikawa ina moto wa chini chini unaosubiri kulipuka....Mwanamke kukataa kupiga pasi nguo za mumewe, na mwanaume kusema kamba hatalea mtoto ni dalili ya kwamba kila mmoja na dukuduku laki ila hajapata pa kulitolea.
 
Kuwa na wajibu au kutokuwa na wajibu kisheria inategemeana na makubaliano yako na mke wako kabla ya ndoa.

Kwanza kama kabla ya ndoa mke wako alikuficha kuwa hana mtoto kisha baada ya ndoa akakujulisha kuwa ana mtoto huna wajibu wowote

Pili kabla ya ndoa kama mke wako alikujulisha kuhusu kuwa na mtoto hapa ndipo wajibu wako utatokea kutegemeana na makubaliano yenu ambayo kisheria ni mkataba wa ndoa yenu hii nayo ina sehem mbili ;

1. Kama alikueleza kuwa yuko tayari kuolewa na wewe kama utakubali kuishi na kumpa matunzo mtoto wake nawe ukakubali kisheria ni wajibu wako kutekeleza hayo makubaliano.

2.kama alikueleza kuwa yupo tayari kuolewa na wewe lakini matunzo ya mwanae itakuwa juu yake na mzazi halisi wa huyo mtoto huna wajibu wowote kisheria.

Pia kumbuka kuwa hata ukiwa na wajibu au kutokuwa nao kama hapo juu huyo mtoto hana haki yoyote kurithi kwenye mali yako. Haki yake ya kurithi ipo tu kwa mali anazomiliki mama yake . Huu pia ndo msimamo wa sheria ya kiislam
 
Nina wasiwasi hata ada ya shule analipa baba wa mtoto. Ila mke anasingizia kwamba huwa inalipwa na mjomba wa mtoto! Inawezekana kabisa, ndoa hii ikawa ina moto wa chini chini unaosubiri kulipuka....Mwanamke kukataa kupiga pasi nguo za mumewe, na mwanaume kusema kamba hatalea mtoto ni dalili ya kwamba kila mmoja na dukuduku laki ila hajapata pa kulitolea.

Kumbe mkuu na wew umeiona hiyo kitu???
 
Napenda wenye ufahamu wanisaidie kuhusu hili.
Nina mke wangu wa ndoa ambaye kabla sijamuoa nilimkuta na mtoto wa kiume wa miaka mitatu, mtoto huyo sasa hivi mkubwa na ameingia form one sekondari.
Mtoto huyu ana baba yake ambaye ni mtu mwenye uwezo mkubwa tu, lakini kutokana na jeuri ya mama yake (mke wangu) hataki kumshirikisha mtoto upande wa babake kwa jambo lolote, yaani hataki hata mtoto ajue kuna babake. Ada ya shule silipi mimi ila mjomba wa mtoto yaani kaka wa mke wangu.
Chakula, mavazi, uniform, nauli ya kwenda shule ya boarding na matumizi ya shule vyote natoa mimi.
Katika kukorofishana baada ya yeye kukataa kunipigia pasi nguo zangu kwa madai kupiga pasi ni option tu hufanyika akipenda yeye sio lazima na mimi nikamjibu ku supply education materials kwa mwanao ni option tu sio lazima kwani mtoto huyo ana baba yake aliye hai , labda asingekuwa naye (amekufa) ndo ingekuwa lazima!
Niliongeza kuwa wajibu wangu kwa mtoto wake huyo ni kumpa chakula ale na kumpa malazi alale tu na sio vitu vingine.
Swali langu sheria inasemaje kuhusu wajibu wetu kwetu sisi akina baba wenye watoto wa aina hii?

Ukipenda bog a si unapenda na ua lake.lalini mama akisha fua so unamsaidia kunyosha nguo mapenzi kusaidiana.
 
Back
Top Bottom