Mtoto wa kiongozi wa kundi la HAMAS abadili dini na kuwa MKRISTO na kuelezea yanayofanyika ndani ya Hamas

Mhaya

JF-Expert Member
Aug 20, 2023
1,658
4,866
Mtoto wa kiume kiongozi wa kundi la Hamas anayeitwa Mosab Hassan Youssef, amekuja wazi na kuonesha kutopendezwa na mienendo ya Kundi la Hamas, kitu ambacho kilipelekea kubadili dini na kuwa Mkristo na sasa anaishi kwa Amani. Mosab Hassan Youssef aliandaliwa kuwa kiongozi atakayerithi uongozi wa baba yake ila yeye akaamua kuachana na hayo mambo na kuwa Mkristo na badae kujikita kuandika vitabu mbalimbali ikiwemo kinachohusu kundi la Hamas, ikumbukwe kundi la Hamas linapigania kuchukua Palestina na kuifanya kuwa Nchi itakayoongozwa kwa misingi ya dini ya kiislam. Amesikika akisema

"HAMAS hawajali maisha ya wapalestina wala waisraeli au wamarekani, na hawajali maisha yao binafsi. Wanachojali ni kufa kwa ajili ya mitazamo yao na jinsi wanavyoabudu. Utaendelea vipi katika jamii ya namna hiyo?"

Aliongezea tena baada ya kuulizwa tena na mwandishi kuwa je utaweza kukaa sehemu moja na mtu anayetaka kumuangamiza; akajibu,

"Hamas hawataki kushirikiana kwa kuwa pamoja, wala mashauriano. Hamas wanachotafuta ni kupiga na kushinda, wanataka wao ndio wawe washindi kila mahali. Hata hivyo Hamas kuishambulia na kuipiga Israel sio lengo lao kuu la mwisho, lengo kuu la HAMAS ni kujenga utawala wa serikali ya kiislamu (Islamic Khilafah), kwa maana ya kuwa nchi nzima iwe ya kiislamu, na raia wote wawe chini ya dini ya kiislam. Hili ndilo lengo kuu la harakati zao"

Mtangazaji akauliza tena, Mosab kwenye kitabu chako umeelezea kuwa Hamas shabaha yao kuu ni kuwalenga Raia na kuwatumia kama dhana ya vita, tuambie Hamas unayoifahamu wewe toka ukiwa mdogo hadi unakuwa mkubwa huko West Bank;

Mosab akajibu "Ndani ya misikiti, Hamas walitufundisha bila kumwaga damu za wasio kuwa na hatia juu ya mitazamo yetu, tunataka kuwa na uwezo wa kutengeneza taifa litakalo kuwa chini ya uislamu. Na tulikuwa tunaandaliwa kabisa tukiwa wadogo sana, tukiwa na umri kuanzia miaka 5. Na haya ndio yalikuwa malengo yao ambayo walikuwa wakitulisha tukiwa wadogo. Na kiukweli ilikuwa ngumu au haiwezekani kwa mtu yeyote kutoboa na kuona ukweli juu ya nyuso za Hamas zisizokuwa za kweli, na kuweza kuachana nao kwa namna fulani. Na kama mnavyoona kwenye kesi yangu ilinibidi nipoteze kila kitu kwa ajili tu ya kuwakataa Hamas. Na leo nikiwatazama watoto wa Gaza, na ninajua nini wanalishwa, na ninajua hawana machaguo.

Hayo yalikuwa ni mahojiano yaliyofanyika na chombo cha habari za CNN dhidi ya Mosab Hassan Youssef. Tazama mahojiano hapo chini.
 

Huwa nashangaa sana nikisikia mtu anamuua mwenzake na wakati huo huo anasema "Mungu ni mkuu". Yaani unaamini kuua binadamu mwenzako kwakuwa haamini unachoamini wewe ni kumtukuza Mungu?
Mtu anaambatana na Jini, unafikiri anaweza kuwa na roho nzuri.... Jini lenyewe kazi yake ni kuvuruga mambo, alafu unataka huyu mvaa kobazi hasiwe katili
 
Mnatuchanganya,kiongozi wa hamas aliyeuawa anaitwa nani? Mbona majina hayafanani
Sacramento, Calif., Aug 14, 2008 / 14:10 pm

Masab-Joseph Yousef, a son of prominent West Bank MP Sheikh Hassan Yousef, has discussed his conversion to Christianity in an interview with the Israeli newspaper Haaretz. Praying that his family will “open their eyes to Jesus,” he expressed love for his enemies and claimed Muslims’ conversion to Christianity is the only way to have a chance for peace in the Holy Land.

Yousef, 30, said his first exposure to Christianity came in Jerusalem about eight years ago, when he was invited to learn about the faith. He converted four years ago, but did not tell his father.
“For years I helped my father, the Hamas leader, and he didn't know that I had converted, only that I had Christian friends,” he said to Haaretz.
His father, Sheikh Yousef, was a founder of the extremist group Hamas in the West Bank and was imprisoned for several years for his membership in the organization.
Masab-Joseph Yousef, the oldest of eight siblings, was expected to take an active role assisting in the political work of his father, whom he claimed is opposed to killing civilians. He characterized the Israelis’ arrests of his father as very influential events in his life.

“I only knew that the Israeli army had arrested my father repeatedly, and for me he was everything: a good, loving man who would do anything for me. He took care of us, bought us gifts, gave of himself, whereas the soldiers entered our house and took him away from me.”
Arrested at the age of 18 for his leadership role in his high school Islamic society, Yousef told Haaretz he discovered in prison that most Hamas members were not as admirable as his father.
“Their leaders in prison received better conditions, such as the best food, as well as more family visits and towels for the shower. These people have no morals, they have no integrity,” he said, alleging Hamas leaders also embezzle money meant for widowed families.
Yousef, who now lives in California, described how an invitation to learn more about Christianity led him to convert.
“I was very enthusiastic about what I heard. I began to read the Bible every day and I continued with religion lessons. I did it in secret, of course. I used to travel to the Ramallah hills, to places like the Al Tira neighborhood, and to sit there quietly with the amazing landscape and read the Bible.”
“A verse like ‘Love thine enemy’ had a great influence on me,” he continued. “At this stage I was still a Muslim and I thought that I would remain one. But every day I saw the terrible things done in the name of religion by those who considered themselves 'great believers.'”

He explained that further study of Islam did not satisfy him.
“I feel that Christianity has several aspects. It's not only a religion but a faith,” Yousef continued. “I now see God through Jesus and can tell about him for days on end, whereas the Muslims won't be able to say anything about God.”
Yousef said he now considers Islam to be a “big lie,” alleging that people who supposedly represent Islam “admired Mohammed more than God, killed innocent people in the name of Islam, beat their wives and don't have any idea what God is.” He said he had no doubt such people would go to Hell, and proclaimed that “the way of Jesus” is the “one way to Paradise.”
Yousef expressed hopes for his family’s conversion and his own future return to the Holy Land.
“I know that I'm endangering my life and am even liable to lose my father, but I hope that he'll understand this and that God will give him and my family the patience and willingness to open their eyes to Jesus and to Christianity. Maybe one day I'll be able to return to Palestine and to Ramallah together with Jesus, in the Kingdom of God,” he told Haaretz.
He said he was trying to start an organization to teach the occupied territories in Palestine about Christianity. He also appealed for the conversion of his former co-religionists so that “they'll have an opportunity to correct their mistakes, to become better people and to bring a chance for peace in the Middle East.”
“Many people will hate me for this interview, but I'm telling them that I love all of them, even those who hate me,” he commented. “I invite all the people, including the terrorists among them, to open their hearts and believe.”
 
Kuna kiongozi mwingine msumbufu amekuwa akitafutwa sana na israel anaitwa mohammed deif, kumbe hamas ina viongozi wengi na makamanda wapiganaji. Wengine itabidi wakimbilie uhamishoni kwa ndugu zao katika imani
 
Roho ya shetani pamoja na ujinga, ni wajinga tu. Huwezi kulazimisha kila mtu aamini unachoamini wewe, kama kutoamini kwake kutampeleka motoni, wewe inakuhusu nini?
Ukiona hivyo ujue anaogopa ukweli kuhusu Dini nyingine, kwamba ukweli halisi ulijulikana atapoteza wafuasi, hivyo anataka wote muwe wa dini yake kuziua dini nyingine.
 
Back
Top Bottom