agata edward
JF-Expert Member
- Nov 25, 2014
- 6,641
- 9,414
Wanaume wazuri wapoje?Nimeamini wanawake huwaga hamjui wanaume wazuri!!
Wanaume wazuri wapoje?Nimeamini wanawake huwaga hamjui wanaume wazuri!!
Hilo la elim ndo usiongee kabisa,JPM kalikuta na atakiacha hapahapa,gumu sana,kama una pesa peleka mtoto sehem yenye kueleweka akapate ELIMUkafanikiwa kupata elimu bora, matokeo yake kazi nzuri kafukuza umasikini. Watoto wetu wanaenda kwenye shule hazina vyoo na masomo uchwala, hawana matumaini ya kuuvuwa umasikini. Rais Magufuli kapigilia msumali elimu ya teens mothers kawasaliti kuwa masikini na watoto wao. Tutawashangilia watoto wao tu. Viwanda haviwezi kujengwa na watu wachache bali na taifa zima.
Mtoto wa zaman wa CDF wa sasa???Mimi nafahamu yule wa zamani,wa sasa sifahamu
maisha utayaona ganda la ndiziNdio uzuli wa kuwa na watoto wengi ....kisha ukawamudu kuwapa elimu .....yule rubani....huyu lawyer huyo Doctor
Kiongoz huyo mtoto mmemtoa wapi.ana sura kavu kama jangwa[emoji1] [emoji1]Majani huota penye unyevu hongera khalfan jk
Hivi yule mbunge aliyesema bangi ihalalishwe alikuwa wa chama gani?Wa ufipa wako bize kufundishwa kuuza madawa
Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
Akifanikiwa mtanzania mwenzenu
Ndio uzuli wa kuwa na watoto wengi ....kisha ukawamudu kuwapa elimu .....yule rubani....huyu lawyer huyo Doctor
Mhh, hapa wengine watafikiri Mzee ataruka kwenda majuu kila siku
Hakutaka kipost hivyo ila ndio shida ya hivi vitecno ukiweka point ya maana vinabadilisha!Broo naona umetumia TECNO W5 kuposti ujinga huu ujinga.
Sent from my TECNO-C7 using JamiiForums mobile app
Ndg yangu nimekuelewa kwa 100%.
Nasikia Makongoro Nyerere kama sio John Gwido Nyerere (RIP) alikuwa jet fighter pilot, na ashiriki vita ya Kagera,, je kwa viongozi wetu sasa kuna anayeweza kuruhusu mwanaye afanye jambo hilo?
Wao waliishi kama watoto wengine tu, as if baba yao si kiongozi, inawezekana walikuwa wanastuliwa na watoto wengine kuwa " mnafahamu kuwa baba yenu ni mtukufu?"Kwani ukoo wa hawa nao ni wa mabishororo na matangazo kwa wingi?
Na washawasha!
Wao waliishi kama watoto wengine tu, as if baba yao si kiongozi, inawezekana walikuwa wanastuliwa na watoto wengine kuwa " mnafahamu kuwa baba yenu ni mtukufu?"