Hapo umemaliza kila kitu,akifanikiwa kumaliza hapo chuo basi nafasi yake ni first officer kiti ambacho anaweza kukikalia muda mrefu sana kama si msikivu wa maelekezo ya captain maana hao ndio huwa wanatoa recommendation ukiachilia kuwa na masaa mengi uliyoruka na mitihani.ileweke pia kuwa first officer kwenye mashirika makubwa ya ndege si haba maana kiutendaji ndio warukaji wenyewe captain yuko pale kama msimamizi mkuu wa cabin crew japo kuna wakati pia anarusha.Labda First Officer lakini siyo "Captain".
hahaha hivi hatoi lift eeh kiddingMhh, hapa wengine watafikiri Mzee ataruka kwenda majuu kila siku
Lifti kwenye ndege? Hahahaaaa, labda Bombadiahahaha hivi hatoi lift eeh kidding
Sent from my TECNO-Y2 using JamiiForums mobile app
hhahaha cc baba jeskaLifti kwenye ndege? Hahahaaaa, labda Bombadia
hivi vitecno vipigwe marufuku kuingia humu maana ndio vinavyoleta fujoWa ufipa wako bize kufundishwa kuuza madawa
Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
We walumumba kazi yako kusuguliwa kinyeo wenzio babazao wanawapa maisha we unakalia kuisiliba cdm kwa posho ya buku sabaWa ufipa wako bize kufundishwa kuuza madawa
Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
Mkuu hapo umefunika, watu wanataka kutufanya wote watotoHawezi kuwa Captain at that age... ukiniambia ni first officer au flight engineer sawa, lakini siyo captain.
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
jamani acheni utani Khalfan huyu mkubwa wake na RitzHongera Khalfan piga kazi . The survival for the fittest.
Only for those who know.Failure is a tremendous accelerator of success.
Only for those who knows.
Mkuu,mpangaboy zinge mshushia hadhiAngekuja huku kuendesha vipangaboi vyetu huo ndiyo uzalendo, hahahaha amekimbia ubabaishaji wetu, hongera Kijana wetu
