Mtoto wa JK aula Etihad Airways

Mtoto wa JK aula Etihad Airways

Mkuu yanapatikana
Lakini ni sawa na kuuliza,kwani ukiwa na mtoto hawezi kusoma Ihungo Sekondari tulikosoma sisi na unaamua kumpeleka Feza School?
Ndg yangu nimekuelewa kwa 100%.

Nasikia Makongoro Nyerere kama sio John Gwido Nyerere (RIP) alikuwa jet fighter pilot, na ashiriki vita ya Kagera,, je kwa viongozi wetu sasa kuna anayeweza kuruhusu mwanaye afanye jambo hilo?
 
Labda First Officer lakini siyo "Captain". Anaweza kuwa mhudumu tu wa ndege anapitisha chakula na vinywaji
Ha ha ha ha ha you made my day! Agiza bill kwangu

Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
 
Anapata uzoefu kwanza.Alafu huku mnamajungu mengi, Angekuja msingekawia kusema amebebwa na hana ujuzi.

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Hahahaha huku tupo bize na majungu hahahaha
 
Back
Top Bottom