Taarifa ya kifo cha member wa Jamii Forum

Taarifa ya kifo cha member wa Jamii Forum

Mazima1

Senior Member
Joined
Dec 31, 2020
Posts
189
Reaction score
518
Kwa masikitiko makubwa nawataarifu kuhusu kifo Cha member mkongwe mwenzetu anayetumia ID ya Slave
Katika uhalisia huyu alikuwa fundi simu wilaya ya kahama na alikuwa anafahamika kwa jina maarufu la Dokta Zedi

Pia alikuwa mwenyekiti wa watu wenye uziwi hapo hapo wilaya ya kahama

Alazwe mahala pema peponi
 
Kwa masikitiko makubwa nawataarifu kuhusu kifo Cha member mkongwe mwenzetu anayetumia ID ya 'Slave'
Katika uhalisia huyu alikuwa fundi simu wilaya ya kahama na alikuwa anafahamika kwa jina maarufu la Dokta Zedi

Pia alikuwa mwenyekiti wa watu wenye uziwi hapo hapo wilaya ya kahama

Alazwe mahala pema peponi
Slave
 
Kwa masikitiko makubwa nawataarifu kuhusu kifo Cha member mkongwe mwenzetu anayetumia ID ya 'Slave'
Katika uhalisia huyu alikuwa fundi simu wilaya ya kahama na alikuwa anafahamika kwa jina maarufu la Dokta Zedi

Pia alikuwa mwenyekiti wa watu wenye uziwi hapo hapo wilaya ya kahama

Alazwe mahala pema peponi
Apumzike kwa amani.
 
Kwa masikitiko makubwa nawataarifu kuhusu kifo Cha member mkongwe mwenzetu anayetumia ID ya 'Slave'
Katika uhalisia huyu alikuwa fundi simu wilaya ya kahama na alikuwa anafahamika kwa jina maarufu la Dokta Zedi

Pia alikuwa mwenyekiti wa watu wenye uziwi hapo hapo wilaya ya kahama

Alazwe mahala pema peponi
Apumzike kwa amani
 
Kwa masikitiko makubwa nawataarifu kuhusu kifo Cha member mkongwe mwenzetu anayetumia ID ya 'Slave'
Katika uhalisia huyu alikuwa fundi simu wilaya ya kahama na alikuwa anafahamika kwa jina maarufu la Dokta Zedi

Pia alikuwa mwenyekiti wa watu wenye uziwi hapo hapo wilaya ya kahama

Alazwe mahala pema peponi

Slave huyu mwamba alikuwa active hapa jukwaani miaka ya nyuma ID yake ikiwa na avatar ya mtu aliyefungwa pingu...

R.I.P kama ni taarifa ya kweli...
 
Back
Top Bottom