Mtoto wa JK aula Etihad Airways

Mtoto wa JK aula Etihad Airways

Hongera kijana.

Sent from my HTC One using JamiiForums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: SDG
1. Ridhwani
2. Salama
3. Miraji
4. Khalfan
5. Khalfa
6. Rashid
7. Mwanaisha
8.
9.
Hua wapo tisa, wawili nimewasahau majina yao! Siku Obama kaja na watoto wake Tanzania, wakati wakuugwa pale JKIA! Jakaya alienda na watoto wake wote! Nahisi Obama aliuliza hawa wanao wote??
Ha ha ha
 
1. Ridhwani
2. Salama
3. Miraji
4. Khalfan
5. Khalfa
6. Rashid
7. Mwanaisha
8.
9.
Hua wapo tisa, wawili nimewasahau majina yao! Siku Obama kaja na watoto wake Tanzania, wakati wakuugwa pale JKIA! Jakaya alienda na watoto wake wote! Nahisi Obama aliuliza hawa wanao wote??
bado wengine awajatambulishwa
 
Maisha ni kama duara maskini huzunguka ktk umaskini na tajiri huzunguka ktk utajiri!!
 
BIG UP
 

Attachments

  • bitmoji-20170705113004.png
    bitmoji-20170705113004.png
    12.6 KB · Views: 54
MAASHAALAH

Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
 
Daahhh..safi sana

Sent from my TECNO_N9 using JamiiForums mobile app
 
Familia ya Jakaya na Familia ya Shehe Mansoor ni marafiki walioshibana! So dogo anaweza kua pale halipi hata cent moja!

Huyu dogo nilimwona Feza ya pale kawe mara ya mwisho mwaka 2016 akiwa mwanafunzi, na mwenzake yule Chodo a.k.
a Khalfa Sasa nawaza kafikaje hadi kua rubani?? Anya way Fweza ndo sabuni ya roho!!
duh hatari sana kwani urubani ni mwaka mmoja au ndio vyeti fake
 
Hongera,sana jk
Hatimaye umeanza kuona
Matunda yako uliyowekeza
Kwa mwanao
 
Back
Top Bottom