Mtoto wa JK aula Etihad Airways

Mtoto wa JK aula Etihad Airways

1. Ridhwani
2. Salama
3. Miraji
4. Khalfan
5. Khalfa
6. Rashid
7. Mwanaisha
8.
9.
Hua wapo tisa, wawili nimewasahau majina yao! Siku Obama kaja na watoto wake Tanzania, wakati wakuugwa pale JKIA! Jakaya alienda na watoto wake wote! Nahisi Obama aliuliza hawa wanao wote??



Kuzaa Raha sana!
 
"Captain" kumbe nl Student Pilot tu!? He still has a long way to go in his quest to earn his wings and attain his Private Pilot License. In the meantime, he can rest assured his loaded and well-connected ex-President dad will guaranteed pay-up whatever it takes in exorbitant flight school fees in order for him to at least obtain his PPL regardless of how mediocre a student he is.
 
Yupo chuoni ndio kaanza urubani, Etihad Flying School.. Sio kaajiriwa la!

Hiyo ni bar 1 tu begani meaning ni mwanafunzi rubani ktk ngazi ya awali kabisa.. Sidhani hata kama solo kaenda

Huyo Haki Ngowi hajui kitu.. Anajua kushona nguo tu.. Afunge mdomo
ushabiki na udananda bado aujaisha mjini Mkuu msameheni tu kijana wa watu.
 
Broo naona umetumia TECNO W5 kuposti ujinga huu ujinga.

Sent from my TECNO-C7 using JamiiForums mobile app
hapo hata hamchekani,wewe mwenyewe umetumia tecno-C7.

8f2550fed13599ceaa0ab295a54fb3dc.jpg
 
Hivi wanaosema kana walikamatwa China ni wa ufipa? Nani hao?
 
View attachment 538554
Moja ya darasa la wanafunzi wa urubani wa Chuo cha Etihad....

View attachment 538553
Moja kati ya ndege zao za mafunzo wakiwa chuoni.

View attachment 538552 Huyu kijana wa JK sidhani hata kama atakuwa amefikia level ya kama huyu kijana ya kuwa "Solo Pilot".Na ukiangalia begani kwa wote wawili,wana "bar" moja kuashiria bado wapo "darasani" au wapo tu chuoni kusoma na si kwamba wameajiliwa(Nipo tayari kusahihishwa ndani ya mjadala kama kaajiliwa)


Hongera sana kijana,hivi huyu ni Rashid au Khalfan!?Huwa ninawachanganya.
Hivi amepata ajira au yupo "Training" kwa ajili ya kupata masaa?Maana kwa pesa ya baba yake,sio kazi kulipa "Etihad Flying School" ili apate masaa ya kuwa rubani kamili baada ya kuwa darasani.

Maana hata ukiangalia begani ana bar moja tu,ili uwe "Pilot in Command" hapo begani lazima uwe na "Four bars".Sasa huyu dogo atakuwa ametoka tu shule huko Marekani then "field" anafanyia Etihad na mzazi akawa analilipa shirika ili mtoto apate masaa(Rating Hours) then anarudi bongo tu kurusha Boeing za ATCL.

Au anaweza akawa kwenye shule ya marubani iliyo chini ya kampuni ya ndege ya Etihad.Wakuu kuinua dude kama Boeing 737-800,Boeing 777,Boeing 787 au Airbus 380 au ile mpya A350 siyo kwa bar moja begani.Utauwa watu dakika moja tu.

Kitu kingine wazazi tunachopaswa kujua,a pilot is just a mere driver.Urubani ni kama udereva tu,training yake ni miezi sita baada ya hapo unaanza sasa kuruka ili upate masaa ya kuweza kukupa uzoefu wa kurusha ndege,unaanza kupata leseni ya kuruka ukiwa solo,then ya kuruka na abiria na baadae ndege za kibiashara.

Tatizo ni ada ilivyo ghalama.Kitu kilicho kigumu ni kuwa Engineer wa ndege na sio rubani.Ndio maana zile ndege pale nyumbani terminala one,vijana wengi waliishia kidato cha nne,sababu baba zao wana pesa,wakaenda course South Africa na USA na sasa wanarusha.

Mzee Mwinyi ana mwanae rubani,sema ile sio familia ya facebook na Instagram.

NB:Isionekane nina wivu
Mwanangu inavyoelekea hayo madude unayamanya vzur sana,hongera sana

Sent from my TECNO-N8 using JamiiForums mobile app
 
Wa ufipa wako bize kufundishwa kuuza madawa

Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
Kumbe hujui kuwa watoto wa Mbowe wamesoma? Au kwasababu hawajitangazi? Na Yule wa Feza girls Mwanaasha alikuwa mtoto wa Mbowe au wa Lowasa? Maana kama unavyosema Lumumba ma genius na ufipa vilaza. Kwa hiyo hata Jesica ni wa ufipa

Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
 
Huyu kijaña in mwenye adabu na heshima mno. Huwezi kumjua hadi uambiwe. Ni mtu wa chini sana anaweza kuishi popote. Nimfahamu bila kujua ni mtt wa rais. Ilinichukua mwezi kujua. He is honest &innocent boy. Mungu ambariki sana.

Sent from my TECNO-Y2 using JamiiForums mobile app
 
View attachment 538554
Moja ya darasa la wanafunzi wa urubani wa Chuo cha Etihad....

View attachment 538553
Moja kati ya ndege zao za mafunzo wakiwa chuoni.

View attachment 538552 Huyu kijana wa JK sidhani hata kama atakuwa amefikia level ya kama huyu kijana ya kuwa "Solo Pilot".Na ukiangalia begani kwa wote wawili,wana "bar" moja kuashiria bado wapo "darasani" au wapo tu chuoni kusoma na si kwamba wameajiliwa(Nipo tayari kusahihishwa ndani ya mjadala kama kaajiliwa)


Hongera sana kijana,hivi huyu ni Rashid au Khalfan!?Huwa ninawachanganya.
Hivi amepata ajira au yupo "Training" kwa ajili ya kupata masaa?Maana kwa pesa ya baba yake,sio kazi kulipa "Etihad Flying School" ili apate masaa ya kuwa rubani kamili baada ya kuwa darasani.

Maana hata ukiangalia begani ana bar moja tu,ili uwe "Pilot in Command" hapo begani lazima uwe na "Four bars".Sasa huyu dogo atakuwa ametoka tu shule huko Marekani then "field" anafanyia Etihad na mzazi akawa analilipa shirika ili mtoto apate masaa(Rating Hours) then anarudi bongo tu kurusha Boeing za ATCL.

Au anaweza akawa kwenye shule ya marubani iliyo chini ya kampuni ya ndege ya Etihad.Wakuu kuinua dude kama Boeing 737-800,Boeing 777,Boeing 787 au Airbus 380 au ile mpya A350 siyo kwa bar moja begani.Utauwa watu dakika moja tu.

Kitu kingine wazazi tunachopaswa kujua,a pilot is just a mere driver.Urubani ni kama udereva tu,training yake ni miezi sita baada ya hapo unaanza sasa kuruka ili upate masaa ya kuweza kukupa uzoefu wa kurusha ndege,unaanza kupata leseni ya kuruka ukiwa solo,then ya kuruka na abiria na baadae ndege za kibiashara.

Tatizo ni ada ilivyo ghalama.Kitu kilicho kigumu ni kuwa Engineer wa ndege na sio rubani.Ndio maana zile ndege pale nyumbani terminala one,vijana wengi waliishia kidato cha nne,sababu baba zao wana pesa,wakaenda course South Africa na USA na sasa wanarusha.

Mzee Mwinyi ana mwanae rubani,sema ile sio familia ya facebook na Instagram.

NB:Isionekane nina wivu
Mhhh wivu unaoo si bure... Ukitoka chuo unakua manager ama Graduate Trainee?..mi nlianzia Trainee...sijui wenzangu
 
Mhhh wivu unaoo si bure... Ukitoka chuo unakua manager ama Graduate Trainee?..mi nlianzia Trainee...sijui wenzangu
Sina wivu.Ningekuwa na wivu nisingefundisha vijana wote hao niliofundisha na kuwakuza katika Industry hii.Iwe ndani ya Tanzania au nje ya Tanzania,wengine tupo toka enzi za East Africa Airways,uje umuonee wivu mtoto mdogo kama huyu?

Mimi nilitaka kuweka sawa tu,kuwa huyu si rubani wa Etihad,bali ni mwanafunzi wa chuo cha Urubani cha Etihad..yaani Etihad Flight College.Na akimaliza hapo sio lazima apate ajira hapo,inategemea na ufaulu wake na uhitaji wa shirika.

Sina wivu mama LadyRed
 
Picha tu...huyu labda airhostess..
Lini kapata flying hours za kupaza ndege kubwa
 
Back
Top Bottom