Mtoto wa Gullam Dewji alikataa full scholarship ya kusoma MIT baada ya kuongoza shule IST mwaka 2007 sababu akafunzwe kuendesha biashara zao India

Wahindi wenzetu kila kitu wanachofanya wanafanya kwa mkakati
Nilimsoma pia andy chande rip kwenye kitabu chake kuwa baada ya kutaifishwa mali zao baba wa taifa alimwambia achague kazi yoyote kwenye mashirika ya kimataifa andy alikataa hizo kazi akamwambia anataka aendelee kusimamia biashara za familia 😀
 
Yaani MIT wakupe scholarship bila kuiomba?

Niambie aliiomba hapo sawa, ila sio kwamba walimpa tu bila yeye kuomba. Inawezekana ndio ni kichwa sio kwa kiasi hicho unavompamba.
Unapewa ukiwa kichwa cha uhakika tena bila ya kuomba. Wao wanaona ni prestige kuwa na mwanafunzi mwenye uwezo fulani ambao baadae utaleta sifa kwa chuo husika.
 
Sioni cha ajabu chochote.

Ingekua maajabu kama angekataa scholarship halafu akaanza sifuri, siyo kusimamia biashara za home.

Mbona Bakhresa watoto wake walisoma ndio wakarudi kwenye biashara za Baba yake.

Hata Mo dweji alienda shule Kwanza ndio akarudi kwenye biashara
sawa lakini inategemea na aina ya Elimu ambayo wazazi walitaka asome ili aweze kufiti ktk usimamizi wa Biashara.
 
Yaaani mtu aache kwenda kusoma kwenye elimu bora aende India? Mbona baba zake hawakwenda India? India ni kama bongo tu hakuna elimu kule
India wako vizuri sana kwenye elimu. Kwa mfano engineering, medicine, computer, mathematics, administration etc. Kuna ma CEO wengi Wahindi makampuni makubwa ya Marekani mfano Google etc
 

Attachments

  • Screenshot_2022-08-16-13-40-41-344_com.twitter.android.jpg
    Screenshot_2022-08-16-13-40-41-344_com.twitter.android.jpg
    141.3 KB · Views: 14
Habari wadau.

Wahindi wapo makini sana na biashara zao. Watoto wao wanasomeshwa kwa malengo yao tu.

Mtoto wa kaka yake na Mo dewji ambaye anaitwa Gullam Dewji alikuwa kichwa kweli kweli katika shule ya kishua ya IST.

Alipomaliza high school alifanya vizuri sana katika mtihani wake wa SAT na ACT ambayo scores zake ndizo kipimo kinatumika kuingia vyuo vikubwa marekani na vyuo vikuu vya nchi kubwa zilizoendelea kama oxfords etc. Maksi alizopata chuo kikuu namba 1 duniani kinachoitwa MIT kilimpa admission with full ride scholarship.. yaani kila kitu buree kazi yake kusomaa tu.

Cha kushangaza mtoto huyo alikataa hiyo offer ya MIT kwa sababu alipaswa aende kufundishwa jinsi ya kuendesha biashara za familia yao huko nchini india.

Tangu shule ya IST imeanzishwa hakujawai kutokea mwanafunzi wa ki Tanzania aliyekataa full ride scholarship ya chuo kikuu namba moja duniani zaidi ya huyo mtoto wa Gullam Dewji.

Najiuliza tu hivi kuna mzazi Tanzania ama Mtoto anaweza kataa mwanae asiende kusoma hata udsm tu sababu anapaswa kufundishwa biashara ya familia ?

ARWA GULLAM ABASS DEWJI alishangaza mpaka walimu wa IST kwa hiyo jeuri.

View attachment 2337842
Af kama hujui Gullamabbas ndo baba yake Mo!! Huyu Arwa sidhani kama ana uhusiano na kina Mo!! Labda kama ni mtoto wa Murtaza!! Au majina tu yanafanana
 
Back
Top Bottom